Mosi, taifa la Israel limeundwa mwaka 1948 na UNO kwa msaada mkubwa wa USA, USSR na Great Britain. Unaposema Israel na USA wamekutana njiani sielewie ulikuwa unamaanisha nini.
Ni Sawa kwamba Israel iliundwa tena na United nations mwaka 1948 Kwa resolution 181 na hao wote uliowataja Pamoja na mataifa mengine 30 yaliunga mkono Hilo azimio...Maana yangu kwamba Marekani na Israel wamekutana njiani ni Kwa sababu USA alikuwa reluctant kuikubali Israel kuwepo pale kwenye mipaka yake...Na Kwa mtazamo wangu alikubali Ile resolution kutokana na kukubaliwa na wenzie wengi.Na sababu ya hio reluctance ni mahusiano yake na mataifa ya kiarabu yasiomkubali israel akaona atapoteza marafiki wa kiarabu.Kwa hio ile israel kukubalika kabisa na kuwa mshirika mkubwa na trusted kwa marekani ilikuwa mpaka miaka ya 1972 chini ya Richard Nixon.
(Pili, unaposema taifa la Israel linaweza kuendelea bila hata msaada wa USA au taifa lolote lile bila kuleta ushahidi wa kuthibitisha hoja yako ni udhaifu mwingine mkubwa wa hoja yako. USA anaisaidia Israel DIPLOMATICALLY, FINANCIALLY, TECHNOLOGICALLY and MILITARILY, na ni mtu mjinga tu ndiyo anaweza kupinga hili. Kila mwaka, USA anaipa Israel msaada wa USD 3.8 Billion kama msaada wa kijeshi.)
Maana yangu ni Hii kwamba Israeli anayo nçhi tayari na wafanyabiashara wenye asili ya kiyahudi ni wengi Sana na wengine hufanya biashara zenye maslahi hata Kwa nchi Yao..Lakini wakijua hata kama watafukuzwa kama ilivyotokea Kwa ujerumani ya Nazi wanayo nchi Yao ya kukimbilia...USA anawapa Israel misaada ya kijeshi kutokana na Sera ya tokea wakati WA Richard Nixon qualitative military edge(QME)
Hii sio Sera ya faida Kwa Israel Tu hata Kwa Huyo USA inamfaidisha Zaidi.Usa kama akaamua kuwithdraw misaada Kwa Israel Israel ataweza kusurvive financially Kwa sababu anavyo vyanzo vingi ya income..Katika Nyanja zote wamepiga hatua kwenye innovation na entrepreneurship...Na watu wake walio ulaya ndio wenye viwanda,,makasino,,biashara za vinywaji na za vyakula na vyanzo vingine vingi vyenye maslahi hata kwa nchi yao ya israel.
Zaidi ninaamini hakuna nchi itaweza kurekebisha azimio namba 181 kuifanya Israel isiwe na uhalali WA kuwa nchi au kuiondoa kwenye mipaka yake hata Huyo USA.
Nne, Israel haijamsaidia USA kupata Misri. Marekani amekuwepo LEVANT hata kabla ya kuundwa Israel 1948. Ukisoma historia utafahamu kwamba, Middle East/Persian Gulf kushawahi toke THE IRAN CRISIS 1946, ambapo USA na USSR walikuwa wanagombania kutawala Iran baada ya WW2 kuisha. Harry Truman walivutana na Joseph Stalin hadi kupelekea USSR kuondoa vikosi vyake kule.
Hapa kuhusu Egypt ni kwamba Egypt alikuwa upande WA Soviet union Pamoja na mataifa mengi ya kiarabu ndio maana Silaha za vita ambazo nchi za kiarabu kama Syria,,Iraq,, Saudi na misri walizitumia kupigana na Israel walizipata Moscow ambaya ilikuwa kitovu cha USSR.Kwa hio Jeshi la Israel lilipoiteka miji ya misri Pamoja na kuwateka Askari wake 20,000 battalion moja na wakatishia kuwaua wale waarabu jangwani Anwar al Sadat alifanya concession,,alisign peace treaty na Israel,,akaitambua kama sovereign state na akakubali kujiondoa Katika ushirikiano wowote na USSR na akaanza kupokea misaada ya Marekani...Baada ya kuitambua Israel aliefuata ni Jordan...Saudi na washirika wake baadae walikuja kuwa pia washirika wa Marekani na wakaachana na misaada na influence ya Soviet union....
Kwa hio suala sio kuwepo middle east Kwa USA ila ni kuwa na influence na upper hand Kwa mataifa ya middle east Zaidi ya washindani WA Soviet Union.