FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kumbe hilo jamaa ni taahira kiasi hicho? Kwamba Afrika tutapata njaa sababu ya hiyo vita?! Hata hao Somalia na Bukinafaso kama pesa wanayo waje tuwauzie mahindi, chakula sio ngano pekee, ebo!