Kwa hiyo leo mnawafwata mabeberu?

NB: Sio kwamba wanamuenzi ni kwamba wanafurahia "uchwara" hayupo. Siku nyingine jifunze abc's za diplomasia.
Jamaa hawaeleweki kabisa, kipindi mabeberu wakimkosoa watetezi wake walisema ukiona wazungu wanakusifia jua una kasoro, ila leo wanadai mabeberu 'wanamuomboleza' as if ni kiumbe cha maana kimeondoka!!
 
Hapa mataga watawaona 'mabeberu ' watu wazuri kwa vile wanamjadili meko positively.

Hivi mataga kwani meko aliwapa nini? Kuna yule mlevi anayeongoza mkoa wa mbeya anasema alihisi labda yeye ndo amekufa.

Huyu mtu hata siku ya mwisho ya hukumu asifufuliwe kwa kweli, maana anaweza akaleta za kuleta kutaka kuwagawa wafu kwa misingi ya ukabila na uvyama, hafai hata kuongoza mapepo huko jehanamu
 
Hii ni kumbukumbu ya kawaida ya UN pindi kiongozi wa nchi mwanachama anapofariki. Hapakuwa na sifa za maana kwa magufuli isipokuwa tu lugha ya kawaida ya staha kwa wafiwa.
 
ukumbi umejaa has a,namuona rais Biden,Putin na Kiduku wa Korea na wrote wamevaa T-shirt za picha ya mwendazake

mbunge Msukuma na Silinde naona wanatuwakilisha...Deo Sanga anasinzia ukumbini
 
Mara nyingi huu huwa unaitwa unafiki wa kisasa. Hao hao walikuwa wanamzingua,sa hiv wanalipi jipya zaidi ya kujicontradict wenyewe.hawa watu siko zote siyo credible.ukiona hivyo kuna kitu wanataka kukipenyeza
 
Kweli wewe unafikiri alitenda mema wakati ameacha wengi waliotekwa na kupotea na wengine kuuwawa? Ninyi hata Hitler ni shujaa wenu.
Amekufa mioyoni mwa mabeberu ila mioyoni mwa wanyonge falsafa zake bado zinaishi.
fi Alice
 
Le baobao est tombe`mais son heritage la` ou`il se trouvait restera debout sans signes de tissage sous la pluie ou le soleil. Que Dieu repose son ame en paix. Amen 😭 😭 😭 😭 😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…