Umoja wa Mataifa (UN): Kumbukumbu ya Hayati Dkt. John Magufuli
Povu.com
Vumilia mkuu maumivu ya chuki ndio yalivyo
Sasa cha ajabu hapo ni nini?Ushamba mwingine ni mzigo wa kuonewa kinyaa kama [emoji90] :NI HIVI,JAMBO HILO NI LA KAWAIDA MNO NA HUFANYWA KWA KILA RAIS ANAYEFIA MADARAKANI.

Bila shaka hata Mfalme Huihui wa Wagagagigikoko naye alipewa hiyo tribute na UN ya wakati huo.
 
Alipewa mpako wa mwisho na Cardinal...
Ticket ya heaven kwa imani yake ya RC.

Wengi hatutafika kutokana na chuki
[emoji1787]
Hapa mataga watawaona 'mabeberu ' watu wazuri kwa vile wanamjadili meko positively.

Hivi mataga kwani meko aliwapa nini? Kuna yule mlevi anayeongoza mkoa wa mbeya anasema alihisi labda yeye ndo amekufa.

Huyu mtu hata siku ya mwisho ya hukumu asifufuliwe kwa kweli, maana anaweza akaleta za kuleta kutaka kuwagawa wafu kwa misingi ya ukabila na uvyama, hafai hata kuongoza mapepo huko jehanamu
 
Povu.com
[emoji1787][emoji1787]
ukumbi umejaa has a,namuona rais Biden,Putin na Kiduku wa Korea na wrote wamevaa T-shirt za picha ya mwendazake

mbunge Msukuma na Silinde naona wanatuwakilisha...Deo Sanga anasinzia ukumbini
 
Nani na nani waliwahi kufanyiwa mkuu?
Just kyuliazz[emoji1787]
Hii ni kumbukumbu ya kawaida ya UN pindi kiongozi wa nchi mwanachama anapofariki. Hapakuwa na sifa za maana kwa magufuli isipokuwa tu lugha ya kawaida ya staha kwa wafiwa.
 
Kumjadili huyu marehemu aliyeharibu nchi kuliko yeyote ni kujitakia mikosi tu! Kwanza mwili wake ulitakiwa uchomwe moto
Kwa kitaalamu tunaita ni taarifa mchakato.
Yani macho yakiona ubongo unachakata haraka sana na kutuma taarifa hizo kwenye kichwa cha chini. Ni tendo la muda mfupi sana ila taarifa zake ukizitia kwenye disk inajaa
Hapo kwenye bold, hiyo ndiyo fani yako huko kwingine unapuyanga tu!
 
haya mapovu mnayomwaga huku simkafulie hata boxa zenu, kusifiwa asifiwe magufuli alafu povu liwatoke nyie, yaani mnaonea wivu hadi marehem
 
Back
Top Bottom