Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Haters.com
[emoji1787]
[emoji1787]
Wamekosa kazi unless ni utaratibu wa kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekosa kazi unless ni utaratibu wa kawaida.
Kwa hiyo leo mnawafwata mabeberu?
NB: Sio kwamba wanamuenzi ni kwamba wanafurahia "uchwara" hayupo. Siku nyingine jifunze abc's za diplomasia.
Hahaa tena wa cash [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa cha ajabu hapo ni nini?Ushamba mwingine ni mzigo wa kuonewa kinyaa kama [emoji90] :NI HIVI,JAMBO HILO NI LA KAWAIDA MNO NA HUFANYWA KWA KILA RAIS ANAYEFIA MADARAKANI.
Bila shaka hata Mfalme Huihui wa Wagagagigikoko naye alipewa hiyo tribute na UN ya wakati huo.
kwenye avartar yako ni LIPS unatuonesha? una lips nzuriAmekufa mioyoni mwa mabeberu ila mioyoni mwa wanyonge falsafa zake bado zinaishi.
Shogangu bleed yako imekujia vby sana term hii meza panadol...Wewe ni fala kabisa na sijui kama unajielewa. Unasema haina maana kumzungumzia marehemu halafu unachangia uzi unaomzungumzia marehemu. PUMBAVU WEWE, FAMILIA YAKO NA UKOO WAKO WOTE!!!
Hapa mataga watawaona 'mabeberu ' watu wazuri kwa vile wanamjadili meko positively.
Hivi mataga kwani meko aliwapa nini? Kuna yule mlevi anayeongoza mkoa wa mbeya anasema alihisi labda yeye ndo amekufa.
Huyu mtu hata siku ya mwisho ya hukumu asifufuliwe kwa kweli, maana anaweza akaleta za kuleta kutaka kuwagawa wafu kwa misingi ya ukabila na uvyama, hafai hata kuongoza mapepo huko jehanamu
ukumbi umejaa has a,namuona rais Biden,Putin na Kiduku wa Korea na wrote wamevaa T-shirt za picha ya mwendazake
mbunge Msukuma na Silinde naona wanatuwakilisha...Deo Sanga anasinzia ukumbini
Hii ni kumbukumbu ya kawaida ya UN pindi kiongozi wa nchi mwanachama anapofariki. Hapakuwa na sifa za maana kwa magufuli isipokuwa tu lugha ya kawaida ya staha kwa wafiwa.
Kumjadili huyu marehemu aliyeharibu nchi kuliko yeyote ni kujitakia mikosi tu! Kwanza mwili wake ulitakiwa uchomwe moto
Hapo kwenye bold, hiyo ndiyo fani yako huko kwingine unapuyanga tu!Kwa kitaalamu tunaita ni taarifa mchakato.
Yani macho yakiona ubongo unachakata haraka sana na kutuma taarifa hizo kwenye kichwa cha chini. Ni tendo la muda mfupi sana ila taarifa zake ukizitia kwenye disk inajaa
mwambie akupe ushahidi utasikia matusi tuNani na nani waliwahi kufanyiwa mkuu?
Just kyuliazz[emoji1787]
Nilicho amini MAGUFULI ALIKUWA HAPENDWI JF TU ....BUT SIO KWA WATU WAKAWAIDA. RIP COMREDI
Yaaaani nitakuwa hapa comfort hotel nyakato national pana sieijii huku na vant languHiyo siku tutafte popcorn tu aise na minyagi ya kututoa stress
Basi huo ukiboko auendeleze huko kuzimu aliko,mbele ya mungu wake Lucifer.Meko ni kiboko ya mibavicha
Tena aliyekuwa analipa kwa cash kabisa kwa hela za ndani bila kuwaomba mkopoWanasikitika, Bombardier Inc wamepoteza mteja mwaminifu.
Taratibu za Serikali zinaruhusu manunuzi ya CashTena aliyekuwa analipa kwa cash kabisa kwa hela za ndani bila kuwaomba mkopo
Nakutana na kitu hiki mkuu,why?
View attachment 1753924