Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wajadili, ila sisi tuliokuwa naye ndo tunamfaham fika.
Nalifahamu hilo chaka aisee🤭😋! Mie najitupaga bundesliga..nyakato ukweni akuuuYaaaani nitakuwa hapa comfort hotel nyakato national pana sieijii huku na vant langu
Kumjadili huyu marehemu aliyeharibu nchi kuliko yeyote ni kujitakia mikosi tu! Kwanza mwili wake ulitakiwa uchomwe moto
Heaven ya chato labdaYuko heaven...
Malaika wa adhabu wanamgeuza geuza kama muhindi wa kuchomaYuko heaven...
Huko alipo sasa hivi anapakatwa na shetani, kila kiboko na kiboko yakeMeko ni kiboko ya mibavicha
Padre alienda akakuta mzoga tayari, hakumkuta meko.Alipewa mpako wa mwisho na Cardinal...
Ticket ya heaven kwa imani yake ya RC.
Wengi hatutafika kutokana na chuki
[emoji1787]
Eti wanamwenzi🤣🤣😋
Ah wapi... utakuwa mgeni wa dunia wewe...Dah, wabongo mlikua hamumpendi, yaani kuna watu walikua wanaomba asepe wapumue [emoji23][emoji23][emoji119], na angeendelea miaka miwili tu kuna watu wangehama nchi [emoji28]
Sasa cha ajabu hapo ni nini?Ushamba mwingine ni mzigo wa kuonewa kinyaa kama 💩 :NI HIVI,JAMBO HILO NI LA KAWAIDA MNO NA HUFANYWA KWA KILA RAIS ANAYEFIA MADARAKANI.
Bila shaka hata Mfalme Huihui wa Wagagagigikoko naye alipewa hiyo tribute na UN ya wakati huo.
Una wivu wa kike vipi hujaolewa bado?Waache wajadili, ila sisi tuliokuwa naye ndo tunamfaham fika.
Umefutikwa kitu nyuma ww sio bureHebu tumfufue halafu tumuue kwa maumivu zaidi
Basi huo ukiboko auendeleze huko kuzimu aliko,mbele ya mungu wake Lucifer.
We shangazi kumbe unajua kuimba taarabu na kunengua namna hii?tatizo lenu nyie mabinti wa mbowe hua mna mdomo sana alafu mnachoongea mkiambiwa mtoe ushahidi hua hamuwezi kumaliza maneno, wiki kma moja imepita ivi mwenzenu uku mtaani alibaki mwenyewe anamsfia lissu, hivi nnavoongea apa mpaka saaahv alipigwa shaba ya bega na kuna uwezekano yupo on life support maaana hakuna mtu anaruhusiwa kwenda kumuona hospital