Umoja wa Mataifa (UN): Kumbukumbu ya Hayati Dkt. John Magufuli


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
 


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Una umri gani?
Una elimu gani?
Umekula mlo kamili na chakula bora na ukatosheka?
 


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.

Wapumbavu wa kibongo wanamponda dunia ya wenye akili inamtambua. Nadhani hili litakuwa somo kwa kama wanazo.
 
..naona muwakilishi wa Tz haongei kiswahili.

..magufuli alisisitiza tuitangaze lugha yetu adhimu ya kiswahili.
 
Magufuli ameitangaza sana Tanzania huyu mwamba, dunia nzima inamtambua

..hapana.

..Tanzania ni kubwa kuliko Magufuli. Tanzania ndio imemtangaza Magufuli.

..hao mabalozi wanaoomboleza wanafanya hivyo kwasababu wanaiheshimu Tanzania, na wanapenda kuwa na mahusiano nayo mazuri.

..vijana mnatakiwa mfunguliwe darasa la diplomasia na mahusiano ya kimataifa.

cc MALCOM LUMUMBA
 
..hapana.

..Tanzania ni kubwa kuliko Magufuli. Tanzania ndio imemtangaza Magufuli.

..hao mabalozi wanaoomboleza wanafanya hivyo kwasababu wanaiheshimu Tanzania, na wanapenda kuwa na mahusiano nayo mazuri.

..vijana mnatakiwa mfunguliwe darasa la diplomasia na mahusiano ya kimataifa.

cc MALCOM LUMUMBA
Ngoja tuone mkuu
 
Back
Top Bottom