Umoja wa Mataifa (UN): Kumbukumbu ya Hayati Dkt. John Magufuli
..hapana.

..Tanzania ni kubwa kuliko Magufuli. Tanzania ndio imemtangaza Magufuli.

..hao mabalozi wanaoomboleza wanafanya hivyo kwasababu wanaiheshimu Tanzania, na wanapenda kuwa na mahusiano nayo mazuri.

..vijana mnatakiwa mfunguliwe darasa la diplomasia na mahusiano ya kimataifa.

cc MALCOM LUMUMBA
Wewe huwaga ni zero, nadhani ulishuhudia maelfu waliomzika, unashuhudia UN kumtambua, utashuhudia mengi sana. Sasa Hamishia kisirani chako kwa kagame, sababu utakuwa unapambana mfu, chuma kitakachoheshimiwa, milele, ukiwa na kumbukumbu kwamba chuma kiliongoza kwa span ya 5 yrs only.
 
Sio kila nchi ipo kwenye hiyo jumuia ya umoja wa mataifa. Hizo nchi ujue hazikuwemo umoja wa mataifa

Acha uongo bwana mdogo.
Mimi kwa macho yangu mwenyewe nilimuona Gadaffi akiwa anahutubia UN assembly mara kibao tu.
Tena baadaye alikuwa mtu mzuri tu, kila akihutubia nje ya Afrika alikuwa akisema nawasalimu katika jina la Umoja wa Afrika.

In the name of the African Union, I would like to greet the members of the General Assembly of the United Nations,

1618645223748.png


 
Wewe huwaga ni zero, nadhani ulishuhudia maelfu waliomzika, unashuhudia UN kumtambua, utashuhudia mengi sana. Sasa Hamishia kisirani chako kwa kagame, sababu utakuwa unapambana mfu, chuma kitakachoheshimiwa, milele, ukiwa na kumbukumbu kwamba chuma kiliongoza kwa span ya 5 yrs only.

Chuma:
Hakuwahi toka nje ya Afrika. Lakini habari zake zimevuma kote kote, huko na huko mpaka kwenye miisho ya dunia (yaani sayari yetu).

Wanaotaka kumuua Magufuli hawatafanikiwa.
 
Salama Wana Mapinduzi wa JF?

Ndugu zangu huko Duniani kwa sasa ni Viongozi wa Dunia wanavyomuenzi Mpendwa Wetu Hayati John Pombe Joseph Magufuli kwa kuelezea Uimara na Misimamo Yake thabiti katika Kuunganisha Taifa Letu na Mapinduzi Makubwa ya kiuchumi.

Link hii hapa chini karibu tufatilie uchambuzi yakinifu unaofanywa kumhusu Mpendwa Wetu JPM.

[emoji116]


Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa maarufu kama Baraza la 75 kukamilisha mkutano wake maalum uliolenga kumkumbuka na kumuenzi Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli aliyefariki dunia Machi 17 na kuzikwa Machi 26.

Baraza hilo limechukua hatua hiyo kutambua mchango wa Dkt. Magufuli aliyekuwa kiongozi wa nchi mwanachama miongoni mwa nchi 193 wanachama wa Baraza hilo la Umoja wa Mataifa.

Rais wa Baraza, Katibu mkuu na wenyeviti wa makundi matano yanayounda Baraza ambayo ni Afrika, Asia na Pasific, Ulaya Mashariki, Ulaya Mshariki, Amerika ya Kusini na Karibea kushiriki mkutano huo akiwemo mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa (UN) Balozi Prof. Kennedy Gastorn jijini New York, Marekani.

Akihutubia mkutano katika kumuenzi Hayati Magufuli, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Gutteres amesema, katika kumkumbuka kiongozi, UN itaenzi jitihada zake za kusimamia upatikanaji wa huduma za kijamii na mapambano dhidi ya rushwa.

Ameongeza kuwa aliyekuwa rais hayati Magufuli alijijengea umaarufu katika maendeleo ya miundombinu na viwanda ambayo ni dhana muhimu katika kukuza uchumi sambamba na kufanikisha nchi yake kuingia kwenye nchi zenye uchumi wa kati kabla ya kipindi cha makisio cha mwaka 2025.

Aidha akiendelea kutoa sifa za kiongozi huyo aliyedumu kwa miaka mitano na miezi michache madarakani, Guterres amesema, hayati Magufuli aliwezesha kuongeza idadi ya wanafunzi wapya kujiunga na shule za sekondari sambamba na kuboresha uwezo wa upatikanaji wa nishati ya umeme nchi nzima.

"Kwa niaba ya Umoja wa Mataifa, kwa mara nyingine tena ninapenda kutoa pole kwa familia ya Rais, Serikali na Watanzania kwa jumla. Tunatambua historia ya ushirikiano uliotolewa kimataifa na kikanda, na ninachukua nafasi hii kusisitiza na kurudia tena kusema Umoja wa Mataifa tutaendelea kufanya kazi kwa karibu na Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan na tunasimama na wananchi wa Tanzania katika kuendeleza na kusaidia mafanikio ya kimaendeleo kwa Watanzania wote.

Kwa wasioelewa wataona hivi lakini ni tofauti., UN wanatafuta getaway kupitia kwa mama samia kwa maslahi mapana ya mashrikiano, otherwise ni lazima waanzie kwa JPM kuonyesha sympathy fulani lakini actually hakuna uhalisia wowote wa hicho walichokiongea.
 
Hakuwemo kwenye umoja wa mataifa

Bwana mdogo kutuongopea hapa JF ni serious offence.
Wewe unasema Iraq siyo member wa UN wakati ni one of founding members.
Fyi only two countries are not members of UN. i.e. Vatican City and Palestine.
 


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Kumbe mabeberu mnawafatilia sana?
Situlikubaliana mabeberu sio watu wazuri? Inakuaje mnawafatilia mpaka kuwaona wa maana kwa kumkumbuka JPM?
 
Bwana mdogo kutuongopea hapa JF ni serious offence.
Wewe unasema Iraq siyo member wa UN wakati ni one of founding members.
Fyi only two countries are not members of UN. i.e. Vatican City and Palestine.
Bwana mdogo eliakeem utazeeka haraka kama kila kitu unakichunguza hiki uongo hiki kweli. Utakufa upesi kama kila kitu unakichukulia serious. Hii topic mbovu tu hii,unakomaa nayo
 
..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.

..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.

..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Leta ushahidi na sio uongo uliozoea
 


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.

Deep down hao wazungu wanajua kabisa jinsi Magufuli alivyokuwa rais wa mfano ambao hata wao wangetamani awaongoze! Ila sasa kuwepp kwake kulitishia maslahi yao! Kelele za pungu lisu walijua kabisa ni za kizushi tu ila walizihitaji kwa maslahi yao pia! Mungu tunaomba umrehemu na umpumzishe mpendwa wetu Mh Dr JPM mahala pema peponi penye raha ya milele shujaa wetu Mh Dr JPM 🙏😭!
 
Back
Top Bottom