Umoja wa Mataifa (UN): Kumbukumbu ya Hayati Dkt. John Magufuli
Bwana mdogo eliakeem utazeeka haraka kama kila kitu unakichunguza hiki uongo hiki kweli. Utakufa upesi kama kila kitu unakichukulia serious. Hii topic mbovu tu hii,unakomaa nayo

Bwana mdogo
aha haaa
🤣🤣🤣

Wewe ni mchanga sana kwenye jukwaa hili. Miaka 10 iliyopita when JF was real JF, tulikuwa haturuhusu uongo na uzushi. By then, watu walikuwa wanafanya research kweli kweli (kama unavyosema nakomaa). Huwezi kueleza kitu hapa bila ku cite authority. Kila mtu alikuwa atoa evidence based facts. Lkn siku hizi, kila mmoja anatoa maneno tu, bila hata ushahidi wowote.
 
Wewe baba yako angekuwa na akili angekubali kulea mtoto kama wewe uliyepatikana kwenye mikesha ya mwenge? Wewe huna hoja unayochangia umejipa kazi ya kuwatukana viongozi wa Chadema na hata kwa mada ambazo haziwahusu na mods wanakuchekea tu. Shida ndiyo hiyo kwa humjui baba yako halisi ndiyo maana huna adabu kwa watu unatukana ovyo
Lakini mkuu huyo lisu kweli amerukwa na akili i see!
 
Ulitegemea kuna mtu atamwongelea vibaya? Wanafanya utamaduni tu wa mwanachama wa UN akifariki basi watu huandaa hotuba za kumpamba huku wakijua hatarudi tena.
 
Lakini mkuu huyo lisu kweli amerukwa na akili i see!
Lissu mnamsema vibaya sababu za siasa zenu lakini Lissu binafsi nimemwona yupo vizuri sana kwenye hoja zake(sijaguarantee uwezo wake wa kuongoza nchi)
Ila ana hoja za maana sana.
 
Humu kuna wabobezi aisee
Siku inaweza haribika mapeeeema

Bora ujisomee mambo mengi ndo uje
Maana mpk kabila litaullizwa

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji28]
 


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.

Mfuate aliko tujue kweli unamkubali.
 


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.

JPM alikuwa chuma kweli kweli
 
Nilicho amini MAGUFULI ALIKUWA HAPENDWI JF TU ....BUT SIO KWA WATU WAKAWAIDA. RIP COMREDI
Kwani huku JF hakuna hao watu wa kawaida? Ninachojua mimi, hakuna mtu anayeweza kupendwa na watu wote au kuchukiwa na watu wote.
 
Lissu wazungu walishamtia najisi siwezi kumuamini tena. Tayari Lissu yuko compromised.

Hivi Lissu akishinda Urais si wabeligiji watajitwalia ziwa Nyanza liwe lao?
Hivi nikisema dish limeyumba nitakuwa nimekosea wajameni?
 
..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.

..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.

..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Huku kutafuta sifa kila mahali wala hakupendezi.

Amandla...
 


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Mnahangaika sana na marehemu wenu as if 2025 atagombea tena. Legacy yake kwishney as if hakuwepo vile, afu ni mwezi m1 tu
 
Ni lini walimwomboleza Saddam Hussein?
Kwani alifariki akiwa madarakani? Ni kwa sababu hiyo hiyo Nyerere, Mkapa, George H Bush n.k hawakuombolezwa. Wanaombolezwa wachache sana kama Mandela ambao mchango wao kwa dunia unaonekana kuwa zaidi ya urais wao.

Amandla...
 
..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.

..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.

..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Wacha MATAGA waendelee kunyegeka tu
 
..hapana.

..Tanzania ni kubwa kuliko Magufuli. Tanzania ndio imemtangaza Magufuli.

..hao mabalozi wanaoomboleza wanafanya hivyo kwasababu wanaiheshimu Tanzania, na wanapenda kuwa na mahusiano nayo mazuri.

..vijana mnatakiwa mfunguliwe darasa la diplomasia na mahusiano ya kimataifa.

cc MALCOM LUMUMBA
Wanawashwa kama sigara kali
 
Ni lini walimwomboleza Saddam Hussein?
Saddam alifia madarakani au aliuawa na hayo mabeberu ili kujinufaisha na rasilimali za mafuta. Sasa watamuomboleza vipi wakati waliiaminisha dunia kwamba wanawapa hifadhi magaidi kama al qaeeda na IS.

Hata Magufuli kama wangemtoa madarakani kijeshi wala asingeombolezwa kwakuwa tayari wangekuwa wameshamtafutia jina baya ili kuiaminisha dunia kwamba hafai.
 
nkurunzinza wa burundi kafia madarakani bt hatukuona akiombolezwa na UN wala bendera ya UN kupepea nusu mlingoti, magufuli ni rais bora wa africa kwa karne hii hata kama wapuuzi fulani hamtaki kusikia habari hizi.
 
Back
Top Bottom