Umoja wa Mataifa (UN): Kumbukumbu ya Hayati Dkt. John Magufuli
nkurunzinza wa burundi kafia madarakani bt hatukuona akiombolezwa na UN wala bendera ya UN kupepea nusu mlingoti, magufuli ni rais bora wa africa kwa karne hii hata kama wapuuzi fulani hamtaki kusikia habari hizi.
Mfuateni basi msitupigie kelele.
 
Halafu hao wanaoitwa wanyonge wanaishi wapi hapa TZ? Yaani kuna baadhi ya watu wameaminishwa kwamba watz ni wanyonge kama wanavyotaka kutuaminisha kwamba mwendazake ni shujaa wa Afrika!!!!
Ujinga unawangarimu sana watanzania...wameoumbazwa sana na mwendazake..
 
Walishagundua lisu dishi limeyumba, aka chaneli hazipandi, kwa hiyo they don't give a 'kcuf' about him

You are learned but foolish! Ni leo hao mnaowaita mabeberu wameonekana wana maana?? Kuwa sasa “mhuri” wao kwa watu aliokuwa akiwakebehi na kuwadhalilisha, una maana??!

Lissu kwa UN was not at the level of a sitting head of state. Protokali ya UN haimtambui Lissu! Usichukue mambo ya taifa moja na lingine ukapeleka UN.
 
1.Legacy ya Mwl.Nyerere UN ni kubwa mno , Kumbuka Nchi zisizofungamana na upande wowote, ukombozi kusini mwa bara la Africa ..hiyo ni kwa Uchache.
2.Ni utaratibu kwa nchi ambayo ni Active Member na Mtiifu hufanyiwa utaratibu huo (Sadam , Gadaf wapime hapa)
 
nkurunzinza wa burundi kafia madarakani bt hatukuona akiombolezwa na UN wala bendera ya UN kupepea nusu mlingoti, magufuli ni rais bora wa africa kwa karne hii hata kama wapuuzi fulani hamtaki kusikia habari hizi.
Kabisa mkuu
 
..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.

..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.

..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Huna akili
 
..kila raisi anayefariki huombolezwa na umoja wa mataifa / un.

..na hotuba nzuri-nzuri hutolewa ktk kumuomboleza.

..miaka yote alipokuwa raisi magufuli hakuwahi kuhudhuria vikao vya UN.
Nionyesha ya Mobutu sambamba na Nkurunziza
 
Hapa wale Anti-JPM hawataonekana na Kama wapo hapo walipo wanafura kwa wivu na uongo...
 


Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.

Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Unaelewa vigezo vya hili jambo?
 
Back
Top Bottom