Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Nawajua hao...[emoji16]
mwambie akupe ushahidi utasikia matusi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwambie akupe ushahidi utasikia matusi tu
Salama Wana Mapinduzi wa JF?
Ndugu zangu huko Duniani kwa sasa ni Viongozi wa Dunia wanavyomuenzi Mpendwa Wetu Hayati John Pombe Joseph Magufuli kwa kuelezea Uimara na Misimamo Yake thabiti katika Kuunganisha Taifa Letu na Mapinduzi Makubwa ya kiuchumi.
Link hii hapa chini karibu tufatilie uchambuzi yakinifu unaofanywa kumhusu Mpendwa Wetu JPM.
[emoji116]
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa maarufu kama Baraza la 75 kukamilisha mkutano wake maalum uliolenga kumkumbuka na kumuenzi Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli aliyefariki dunia Machi 17 na kuzikwa Machi 26.
Baraza hilo limechukua hatua hiyo kutambua mchango wa Dkt. Magufuli aliyekuwa kiongozi wa nchi mwanachama miongoni mwa nchi 193 wanachama wa Baraza hilo la Umoja wa Mataifa.
Rais wa Baraza, Katibu mkuu na wenyeviti wa makundi matano yanayounda Baraza ambayo ni Afrika, Asia na Pasific, Ulaya Mashariki, Ulaya Mshariki, Amerika ya Kusini na Karibea kushiriki mkutano huo akiwemo mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa (UN) Balozi Prof. Kennedy Gastorn jijini New York, Marekani.
Akihutubia mkutano katika kumuenzi Hayati Magufuli, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Gutteres amesema, katika kumkumbuka kiongozi, UN itaenzi jitihada zake za kusimamia upatikanaji wa huduma za kijamii na mapambano dhidi ya rushwa.
Ameongeza kuwa aliyekuwa rais hayati Magufuli alijijengea umaarufu katika maendeleo ya miundombinu na viwanda ambayo ni dhana muhimu katika kukuza uchumi sambamba na kufanikisha nchi yake kuingia kwenye nchi zenye uchumi wa kati kabla ya kipindi cha makisio cha mwaka 2025.
Aidha akiendelea kutoa sifa za kiongozi huyo aliyedumu kwa miaka mitano na miezi michache madarakani, Guterres amesema, hayati Magufuli aliwezesha kuongeza idadi ya wanafunzi wapya kujiunga na shule za sekondari sambamba na kuboresha uwezo wa upatikanaji wa nishati ya umeme nchi nzima.
"Kwa niaba ya Umoja wa Mataifa, kwa mara nyingine tena ninapenda kutoa pole kwa familia ya Rais, Serikali na Watanzania kwa jumla. Tunatambua historia ya ushirikiano uliotolewa kimataifa na kikanda, na ninachukua nafasi hii kusisitiza na kurudia tena kusema Umoja wa Mataifa tutaendelea kufanya kazi kwa karibu na Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan na tunasimama na wananchi wa Tanzania katika kuendeleza na kusaidia mafanikio ya kimaendeleo kwa Watanzania wote.
Heaven ya chato labda
Malaika wa adhabu wanamgeuza geuza kama muhindi wa kuchoma
Padre alienda akakuta mzoga tayari, hakumkuta meko.
Meko kaikosa mbingu hivi hivi yani, kafika tu jehanamu wale jamaa waliokuwa wanaungua kwenye tanuru wakaanza kumuita "kiongozi" "kiongozi"
Umoja wa mataifa una watu wenye akili. Ingawa Magufuli aliwaita mabeberu, wao wanaangalia substance kwenye uongozi wake siyo jinsi alivyowaita wao.Unapingana na mabeberu?
watu kibao walishahama Nchi siyo kwamba wangehamaDah, wabongo mlikua hamumpendi, yaani kuna watu walikua wanaomba asepe wapumue [emoji23][emoji23][emoji119], na angeendelea miaka miwili tu kuna watu wangehama nchi [emoji28]
Hahahahaa jamani mie bongo sihami..mimecheka had nimelia...nimeiscreen shot kbs nimtumie mama acheke🤣🤣🤣🤣🤣Malaika wa adhabu wanamgeuza geuza kama muhindi wa kuchoma
Hahahahahahahahaa jamani spare my ribs🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huko alipo sasa hivi anapakatwa na shetani, kila kiboko na kiboko yake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani nimeshindw jikaza nimecheka kwa nguvu🤣🤣🤣Padre alienda akakuta mzoga tayari, hakumkuta meko.
Meko kaikosa mbingu hivi hivi yani, kafika tu jehanamu wale jamaa waliokuwa wanaungua kwenye tanuru wakaanza kumuita "kiongozi" "kiongozi"
mfutiko unakutesaWanao penda hii michezo utawajua tu, mkuu tafuta dawa upate nguvu za kiume, unadhalilika kutamani mdiny o wa waume za watu
Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.
Haya sasa hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa, yamesema rais Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono na mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake.
Saddam hakufa, alinyongwa.Ni lini walimwomboleza Saddam Hussein?
Nikuletee maombolezo ya Bokassa?Ni lini walimwomboleza Saddam Hussein?
Huwezi kuelewa maana ya hayo maswaliNyumbu bhana