Umoja wa Mataifa (UN): Kumbukumbu ya Hayati Dkt. John Magufuli
Salama Wana Mapinduzi wa JF?

Ndugu zangu huko Duniani kwa sasa ni Viongozi wa Dunia wanavyomuenzi Mpendwa Wetu Hayati John Pombe Joseph Magufuli kwa kuelezea Uimara na Misimamo Yake thabiti katika Kuunganisha Taifa Letu na Mapinduzi Makubwa ya kiuchumi.

Link hii hapa chini karibu tufatilie uchambuzi yakinifu unaofanywa kumhusu Mpendwa Wetu JPM.

[emoji116]

Kwa hiyo wao wanamjua zaidi ya sisi wadanganyika wanyonge tuliopatwa na madhira ya utawala dhalimu chini ya malaika mkuu...
 
Hii ni kumbukumbu ya kawaida ya UN pindi kiongozi wa nchi mwanachama anapofariki. Hapakuwa na sifa za maana kwa magufuli isipokuwa tu lugha ya kawaida ya staha kwa wafiwa.
Hivi umesikiliza na kuelewa walichoongea kwenye hicho kikao au unapanua mdomo tu.
 
ukumbi umejaa has a,namuona rais Biden,Putin na Kiduku wa Korea na wrote wamevaa T-shirt za picha ya mwendazake

mbunge Msukuma na Silinde naona wanatuwakilisha...Deo Sanga anasinzia ukumbini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2223]
 
Wewe ni fala kabisa na sijui kama unajielewa. Unasema haina maana kumzungumzia marehemu halafu unachangia uzi unaomzungumzia marehemu. PUMBAVU WEWE, FAMILIA YAKO NA UKOO WAKO WOTE!!!
Naunga mkono kuwa jamaa kweli hazimtoshi.
Eti anakataa kumzungumzia marehemu halafu anachangia.
 
Hapa mataga watawaona 'mabeberu ' watu wazuri kwa vile wanamjadili meko positively.

Hivi mataga kwani meko aliwapa nini? Kuna yule mlevi anayeongoza mkoa wa mbeya anasema alihisi labda yeye ndo amekufa.

Huyu mtu hata siku ya mwisho ya hukumu asifufuliwe kwa kweli, maana anaweza akaleta za kuleta kutaka kuwagawa wafu kwa misingi ya ukabila na uvyama, hafai hata kuongoza mapepo huko jehanamu
Meko ni kiboko ya mibavicha
 
Back
Top Bottom