Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Naunga mkono hojaHiyo siku tutafte popcorn tu aise na minyagi ya kututoa stress
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaHiyo siku tutafte popcorn tu aise na minyagi ya kututoa stress
Mpumbavu wewe. Si ungekaa kimya sasa. Umechangia kwanini?Tumjadili marehemu? Ashakufa
Numby.....nyie ndo mnamtaja...tuacheni hii tabia jamani
Salama Wana Mapinduzi wa JF?
Ndugu zangu huko Duniani kwa sasa ni Viongozi wa Dunia wanavyomuenzi Mpendwa Wetu Hayati John Pombe Joseph Magufuli kwa kuelezea Uimara na Misimamo Yake thabiti katika Kuunganisha Taifa Letu na Mapinduzi Makubwa ya kiuchumi.
Link hii hapa chini karibu tufatilie uchambuzi yakinifu unaofanywa kumhusu Mpendwa Wetu JPM.
[emoji116]
Halafu hao wanaoitwa wanyonge wanaishi wapi hapa TZ? Yaani kuna baadhi ya watu wameaminishwa kwamba watz ni wanyonge kama wanavyotaka kutuaminisha kwamba mwendazake ni shujaa wa Afrika!!!!Wanyonge gani? Labda sukuma gang ...
Hivi umesikiliza na kuelewa walichoongea kwenye hicho kikao au unapanua mdomo tu.Hii ni kumbukumbu ya kawaida ya UN pindi kiongozi wa nchi mwanachama anapofariki. Hapakuwa na sifa za maana kwa magufuli isipokuwa tu lugha ya kawaida ya staha kwa wafiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2223]ukumbi umejaa has a,namuona rais Biden,Putin na Kiduku wa Korea na wrote wamevaa T-shirt za picha ya mwendazake
mbunge Msukuma na Silinde naona wanatuwakilisha...Deo Sanga anasinzia ukumbini
Watanzania tumefikia huko!Hebu tumfufue halafu tumuue kwa maumivu zaidi
Safi mkuuMpumbavu wewe. Si ungekaa kimya sasa. Umechangia kwanini?
Na wana kiwewe nae kweli!Ashakufa lakini bado mnamtaja taja duh
Sasa mbona unateseka?Sasa cha ajabu hapo ni nini?Ushamba mwingine ni mzigo wa kuonewa kinyaa kama [emoji90] :NI HIVI,JAMBO HILO NI LA KAWAIDA MNO NA HUFANYWA KWA KILA RAIS ANAYEFIA MADARAKANI.
Bila shaka hata Mfalme Huihui wa Wagagagigikoko naye alipewa hiyo tribute na UN ya wakati huo.
Naunga mkono kuwa jamaa kweli hazimtoshi.Wewe ni fala kabisa na sijui kama unajielewa. Unasema haina maana kumzungumzia marehemu halafu unachangia uzi unaomzungumzia marehemu. PUMBAVU WEWE, FAMILIA YAKO NA UKOO WAKO WOTE!!!
Meko ni kiboko ya mibavichaHapa mataga watawaona 'mabeberu ' watu wazuri kwa vile wanamjadili meko positively.
Hivi mataga kwani meko aliwapa nini? Kuna yule mlevi anayeongoza mkoa wa mbeya anasema alihisi labda yeye ndo amekufa.
Huyu mtu hata siku ya mwisho ya hukumu asifufuliwe kwa kweli, maana anaweza akaleta za kuleta kutaka kuwagawa wafu kwa misingi ya ukabila na uvyama, hafai hata kuongoza mapepo huko jehanamu
Kwa hiyo unapinga?Hii ni kumbukumbu ya kawaida ya UN pindi kiongozi wa nchi mwanachama anapofariki. Hapakuwa na sifa za maana kwa magufuli isipokuwa tu lugha ya kawaida ya staha kwa wafiwa.
Wanajikomoa wenyewe.Na wana kiwewe nae kweli!
Si unaona sasa hivi yameungana na ccm kumshangilia Samia eti ili kumkomoa marehemu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa watu ni hasara tupu
Eti wengi walitekwa na kuuawa.Kweli wewe unafikiri alitenda mema wakati ameacha wengi waliotekwa na kupotea na wengine kuuwawa? Ninyi hata Hitler ni shujaa wenu.
fi Alice
Hao jamaa wameishachanganyikiwa. Walifikiri watafifisha legacy ya JPM kumbe ndio wanaimwagia petroli!Naunga mkono kuwa jamaa kweli hazimtoshi.
Eti anakataa kumzungumzia marehemu halafu anachangia.
Hata Mobutu Sese Seko UN walimuenzi