Umoja wa mataifa, watangaza kuwa M23 inakaribia Bukavu, makao makuu ya Kivu kusini

Umoja wa mataifa, watangaza kuwa M23 inakaribia Bukavu, makao makuu ya Kivu kusini

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Kiongozi wa Umoja wa Mataifa Jean Pierre Lacroix, kitengo cha mambo ya usalama, ametangazia kamati ya Umoja huo kwamba kundi la M23 linaukaribia mji wa Bukavu, ambao ni makao makuu ya jimbo la Kivu kusini.

Mji huu hauna ulinzi na upinzani mkali kama ilivyokuwa kwa Goma. M23 ilikuwa umbali wa km60 kutoka mjini Bukavu.

Pia ikumbukwe, baada ya anguko la Goma, M23 iliweza kupata vifaa na magari, hivyo uwezekano wa Bukavu kuanguka ukawa wa haraka sana ukilinganisha na Goma
 
SADC wametuma JESHI huko tulia mda si mrefu Kuna watu watajuta kuzaliwa
Sasa SADC itatuma jeshi sehemu gani wakati Waasi wa Congo River Alliance wameelekea Kisangani na M23 wameelekea Bukavu?

Sasa hivi itakuwa kazi kuwa contain labda jeshi la SADC liwe 100,000 strong na liwe na air power liwe na ndege za bombers na jet fighters Helicopters ect.

Ni kwanini Tishekedi asiongee na M23 ili wao wajionde kwenye Rebellion.
 
Sasa SADC itatuma jeshi sehemu gani wakati Waasi wa Congo River Alliance wameelekea Kisangani na M23 wameelekea Bukavu?

Sasa hivi itakuwa kazi kuwa contain labda jeshi la SADC liwe 100,000 strong na liwe na air power iwe na ndege za bombers na jet fighters.

Ni kwanini Tishekedi asiongee na M23 ili wao wajionde kwenye Rebellion.
Hatuko tiar kuongea na waasi sisi
 
Hatuko tiar kuongea na waasi sisi
Waasi wataanza kupokea Dolar za Tesla na I phone Samsung wazidi kujilimbikizia Silaha za kisasa kufumba na kufumbua mtajikuta mnafukuzwa na kufia musituni.

Na hivi Trump amekata misaada hivyo vikodi vya raia wenu havitatosha kuendesha vita kubwa msituni.

Vita inakula pesa sio mchezo guruneti la RPG moja sio chini ya Dolar 5000-7000 bado ammunitions zingine na chakula cha wanajeshi madawa nk.

Mazungumzo hayatumii pesa nyingi kama vita.

Option ya Mazungumzo ni Best option.
 
Kiongozi wa Umoja wa Mataifa Jean Pierre Lacroix, kitengo cha mambo ya usalama, ametangazia kamati ya Umoja huo kwamba kundi la M23 linaukaribia mji wa Bukavu, ambao ni makao makuu ya jimbo la Kivu kusini.

Mji huu hauna ulinzi na upinzani mkali kama ilivyokuwa kwa Goma. M23 ilikuwa umbali wa km60 kutoka mjini Bukavu.

Pia ikumbukwe, baada ya anguko la Goma, M23 iliweza kupata vifaa na magari, hivyo uwezekano wa Bukavu kuanguka ukawa wa haraka sana ukilinganisha na Goma
Ukisoma between lines unaona hapa kuna uongo, propoganda au ushabiki
 
Back
Top Bottom