imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wanatoa sababu gani?!Utawala wa Kigali haupo tayari bado kwa hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatoa sababu gani?!Utawala wa Kigali haupo tayari bado kwa hilo.
Kiongozi wa FDLR ni nani?Mbona Sasa hataki kuongea na FDLR?
Ukiambiwa uchague uishi kati ya Rwanda au Burundi utachagua wapi?Kwani hamjaanza kusikia Malalamiko ya Kagame...!?
Ukitaka kujua kinachoendelea Congo juu ya M23, wewe uwe unamsikiliza tu Kagame.
Sasa hivi keshaanza kusema Congo na Washirika wake wanapaka kwenda kumpindua...!
Na Jana namsikia anasema anataka Meza ya Majadiliano kuhusu Congo......!
Ukitaka kujua tabia za Watutsi mtizame Kagame, Ndo utajua Kwa Nini Wahutu walidhamilia kuwafuta Rwànda na Burundi.
Unawatuhuma kuwa na agenda za kuendeleza 'genocide'.Wanatoa sababu gani?!
Kiongozi wa FDLR ni nani?
Wametajwa humo kwenye orodha ya vikwazoAchana na Marekani, hao sasa hivi nao ni kama hawajielewi, wanajiendea tu. Wewe nitajie jina la kiongozi wa FDLR.
Kwahiyo hata wakiweka silaha chini wakarudi kama raia na wapewe elimu ya uraia na kuwaondoa hiyo Idiolojia ya Genocide.Unawatuhuma kuwa na agenda za kuendeleza 'genocide'.
Huyo Mzee ni tatizo
Mwambie aongee naye tena, Kikwete wanamuona kama sisimizi tu.Unakumbuka Kikwete alipomwambia Kagame aongee na waasi? Aliongea nao?
Na nyie Wahutu mnafanini huko maporini, mnaua hao Watusi ili mpate nini. Wacheza mayenu wamesanda sasa ingieni warfront muwapambanie.sema watutsi wenzio nyie ndo mnaua waafrica wenzenu muibe madin muwauzie madin wazungu
Unaongea na waasi if it's the only option of surviving, PK anawamudu sasa aongee nao kwa sababu zipi wakati anawafurumusha hadi kwenye mayandaki yao.
Mkuu jeshi la Rwanda linataka suluhisho na akina nani? kwani liko vitani? mbona vita iko congo au Rwanda inaisaidia congo kupigana na m23?Pia Jeshi la Rwanda limeshaandika tamko kwamba wanataka usuluhisho wanaomba kukaa mezani na EAC na SADC
Ni dharau kubwaa saana kufanya hivo bora waichukue kinguvu, ili vizaz vitakavgokuja vijue baba zao waliuawa kuitetea nchi yao. Then wao waamue nini kifanyike.Raisi muelewa DRC angefanya mazungumzo rudisha AMANI YA KUDUMU DRC halafu jenga Nchi ya DRC jenga Jeshi jenga UCHUMI mpaka HESHIMA inarejea ikifikia hivyo jakuna mtu atakaeisogelea DRC na itakuwa Super Power ya Afrika.
Hilo hujui, il unajua kuhusu cause ya M23 sio?FLDR ni Rebels without a cause wanapigania nini hebu niambie?
Mbona iko wazi.Hilo hujui, il unajua kuhusu cause ya M23 sio?
Sawa, ila lengo ni kukuonesha ugumu wa mwenyenyumba kufanya majadiliano na jambazi aliyevamia.Mwambie aongee naye tena, Kikwete wanamuona kama sisimizi tu.
Noma sana!Kiongozi wa Umoja wa Mataifa Jean Pierre Lacroix, kitengo cha mambo ya usalama, ametangazia kamati ya Umoja huo kwamba kundi la M23 linaukaribia mji wa Bukavu, ambao ni makao makuu ya jimbo la Kivu kusini.
Mji huu hauna ulinzi na upinzani mkali kama ilivyokuwa kwa Goma. M23 ilikuwa umbali wa km60 kutoka mjini Bukavu.
Pia ikumbukwe, baada ya anguko la Goma, M23 iliweza kupata vifaa na magari, hivyo uwezekano wa Bukavu kuanguka ukawa wa haraka sana ukilinganisha na Goma