Umoja wa mataifa, watangaza kuwa M23 inakaribia Bukavu, makao makuu ya Kivu kusini

Umoja wa mataifa, watangaza kuwa M23 inakaribia Bukavu, makao makuu ya Kivu kusini

Kwani hamjaanza kusikia Malalamiko ya Kagame...!?

Ukitaka kujua kinachoendelea Congo juu ya M23, wewe uwe unamsikiliza tu Kagame.

Sasa hivi keshaanza kusema Congo na Washirika wake wanapaka kwenda kumpindua...!

Na Jana namsikia anasema anataka Meza ya Majadiliano kuhusu Congo......!

Ukitaka kujua tabia za Watutsi mtizame Kagame, Ndo utajua Kwa Nini Wahutu walidhamilia kuwafuta Rwànda na Burundi.
Ukiambiwa uchague uishi kati ya Rwanda au Burundi utachagua wapi?
 
U.S. Department of the Treasury (.gov)
Treasury Targets Individuals Contributing to Increased Conflict ...
Achana na Marekani, hao sasa hivi nao ni kama hawajielewi, wanajiendea tu. Wewe nitajie jina la kiongozi wa FDLR.
 
Unawatuhuma kuwa na agenda za kuendeleza 'genocide'.
Kwahiyo hata wakiweka silaha chini wakarudi kama raia na wapewe elimu ya uraia na kuwaondoa hiyo Idiolojia ya Genocide.

Hivi idadi yao inaweza kufikia ngapi?!
 
sema watutsi wenzio nyie ndo mnaua waafrica wenzenu muibe madin muwauzie madin wazungu
Na nyie Wahutu mnafanini huko maporini, mnaua hao Watusi ili mpate nini. Wacheza mayenu wamesanda sasa ingieni warfront muwapambanie.
 
Pia Jeshi la Rwanda limeshaandika tamko kwamba wanataka usuluhisho wanaomba kukaa mezani na EAC na SADC
Mkuu jeshi la Rwanda linataka suluhisho na akina nani? kwani liko vitani? mbona vita iko congo au Rwanda inaisaidia congo kupigana na m23?
 
Raisi muelewa DRC angefanya mazungumzo rudisha AMANI YA KUDUMU DRC halafu jenga Nchi ya DRC jenga Jeshi jenga UCHUMI mpaka HESHIMA inarejea ikifikia hivyo jakuna mtu atakaeisogelea DRC na itakuwa Super Power ya Afrika.
Ni dharau kubwaa saana kufanya hivo bora waichukue kinguvu, ili vizaz vitakavgokuja vijue baba zao waliuawa kuitetea nchi yao. Then wao waamue nini kifanyike.
 
Kiongozi wa Umoja wa Mataifa Jean Pierre Lacroix, kitengo cha mambo ya usalama, ametangazia kamati ya Umoja huo kwamba kundi la M23 linaukaribia mji wa Bukavu, ambao ni makao makuu ya jimbo la Kivu kusini.

Mji huu hauna ulinzi na upinzani mkali kama ilivyokuwa kwa Goma. M23 ilikuwa umbali wa km60 kutoka mjini Bukavu.

Pia ikumbukwe, baada ya anguko la Goma, M23 iliweza kupata vifaa na magari, hivyo uwezekano wa Bukavu kuanguka ukawa wa haraka sana ukilinganisha na Goma
Noma sana!
 
Back
Top Bottom