imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Nimeilimganisha kutokana na swali lako na kama umeishiwa hoja ni bora ujinyamanzie.Umeona akili yako ilivo haina akili Kwaiyo unaringanisha uovu kwa uovu???
Nyie mnalaana nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeilimganisha kutokana na swali lako na kama umeishiwa hoja ni bora ujinyamanzie.Umeona akili yako ilivo haina akili Kwaiyo unaringanisha uovu kwa uovu???
Nyie mnalaana nyie
Hawa ni askari!?Daah
unavofanya ulinganifu fanya kati ya kizuri na kibaya!!Nimeilimganisha kutokana na swali lako na kama umeishiwa hoja ni bora ujinyamanzie.
Kagame anataka Tshekedi aongee na M23 ila yeye hataki kuongea na FDLR.Unakumbuka Kikwete alipomwambia Kagame aongee na waasi? Aliongea nao?
Kweni Kagame kakataa kuwa Wanyarwanda wenye asili ya Kihutu waliokimbilia Kongo baada Genocide sio raia wa Rwanda?
Mbona Sasa hataki kuongea na FDLR?Kweni Kagame kakataa kuwa Wanyarwanda wenye asili ya Kihutu waliokimbilia Kongo baada Genocide sio raia wa Rwanda?
Warudi nyumbani bila silaha hawana cause.
Mimi nina hii ID moja wewe unaniijia na maelfu ya ID lakini unajisahau kwenye mwandiko pole.unavofanya ulinganifu fanya kati ya kizuri na kibaya!!
Acha ushetani we m23 terrorist
FLDR ni Rebels without a cause wanapigania nini hebu niambie?Mbona Sasa hataki kuongea na FDLR?
Wanataka kurejea kwenye nchi yao ya asili (Rwanda).FLDR ni Rebels without a cause wanapigania nini hebu niambie?
Hakuna aliyewakataza bali waache silaha huko Kongo wazikabidhi UN halafu warejee.Wanataka kurejea kwenye nchi yao ya asili (Rwanda).
Utawala wa Rwanda hauwataki.Hakuna aliyewakataza bali waache silaha huko Kongo wazikabidhi UN halafu warejee.
Sidhani labda wameweka masharti ya kurudi.Utawala wa Rwanda hauwataki.
Wangekubalika na utawala wa Kigali wangesharudi miaka mingi sana ila utawala huo unawaona maadui.Sidhani labda wameweka masharti ya kurudi.
sawa hongeraMimi nina hii ID moja wewe unaniijia na maelfu ya ID lakini unajisahau kwenye mwandiko pole.
Wanataka kurudi na Silaha kwenda kuuondoa utawala wa Rwanda.Wangekubalika na utawala wa Kigali wangesharudi miaka mingi sana ila utawala huo unawaona maadui.
Hapana hizo ni propaganda tu za kuwazuia kurudiWanataka kurudi na Silaha kwenda kuuondoa utawala wa Rwanda.
Nadhani makubaliano yanayokuja itabidi warudishwe kwao waache kuwasumbua Watutsi wa Kongo.Hapana hizo ni propaganda tu za kuwazuia kurudi
Utawala wa Kigali haupo tayari bado kwa hilo.Nadhani makubaliano yanayokuja itabidi warudishwe kwao waache kuwasumbua Watutsi wa Kongo.