Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Kesho wanaichukua bukavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 tupo serious ujuePorojo tu hizo. SADC ipo Congo kama kasongo yeye mobali ba ngai. Mbona Goma imeanguka mbele ya macho yao
kasaidie m23 wenzioTishekedi aongee na Waasi kabla mambo hayajakuwa makubwa kama enzi za Laurent Kabila. Waasi wengine wameelekea Kisangani kwenye Mto Kongo.
Mimi kwasasa sina tena umri wa kujiunga na jeshi lakini kama ningekuwa bado ni Barubaru ningeenda kwanini Mamluki kutoka Ulaya wale pesa za Mwafrika za bure halafu mimi niwe nasaga kandambili kuzunguka kutafuta ajira wakati hata hazipatikani.kasaidie m23 wenzio
We kama Rais wa nchi unaweza ongea nao nini wakati unajua wanachotaka ni uhaini yaani kugawa nchi kwa jirani na baadae uje upewe heshima, ni bora kupinduliwa ijulikane kuwa umeshindwa na siyo kuongeza mikataba yenye utata kwa kizazi kijacho kama ule kihuni wa remela maana labda kizazi cha baadae kitaweza kujiokoa.Sasa SADC itatuma jeshi sehemu gani wakati Waasi wa Congo River Alliance wameelekea Kisangani na M23 wameelekea Bukavu?
Sasa hivi itakuwa kazi kuwa contain labda jeshi la SADC liwe 100,000 strong na liwe na air power liwe na ndege za bombers na jet fighters Helicopters ect.
Ni kwanini Tishekedi asiongee na M23 ili wao wajionde kwenye Rebellion.
I salute you. AlitoguzemasiNdo maana platform. Watu wote hawana taarifa sawa kuhusu jambo fulani. Pia,habari hupatikana sehemu tofauti. Napendekeza na wewe kutuletea unazozijua.
Raisi muelewa DRC angefanya mazungumzo rudisha AMANI YA KUDUMU DRC halafu jenga Nchi ya DRC jenga Jeshi jenga UCHUMI mpaka HESHIMA inarejea ikifikia hivyo jakuna mtu atakaeisogelea DRC na itakuwa Super Power ya Afrika.We kama Rais wa nchi unaweza ongea nao nini wakati unajua wanachotaka ni uhaini yaani kugawa nchi kwa jirani na baadae uje upewe heshima, ni bora kupinduliwa ijulikane kuwa umeshindwa na siyo kuongeza mikataba yenye utata kwa kizazi kijacho kama ule kihuni wa remela maana labda kizazi cha baadae kitaweza kujiokoa.
sema watutsi wenzio nyie ndo mnaua waafrica wenzenu muibe madin muwauzie madin wazunguMimi kwasasa sina tena umri wa kujiunga na jeshi lakini kama ningekuwa bado ni Barubaru ningeenda kwanini Mamluki kutoka Ulaya wale pesa za Mwafrika za bure halafu mimi niwe nasaga kandambili kuzunguka kutafuta ajira wakati hata hazipatikani.
Mimi umri wangu kwasasa ni kutoa ushauri kwa Waafrika wenzangu.
Unapambana na mtu anayekomboa nchi yake, Tshekedi hali pasaka akiwa ikulu ya kinshasaLile JESHI lilikuwa la walinda aman siyo la mapambano
Hili lililotumwa ni la mapambano siyo la kulinda Aman
We ni m23 full stopM23 wangekuwa waasi makatili wangeuwa raia, wao wanasema wananyanyaswa pia congo ni dhaifu sana, na wanatafuta kuipindua hiyo serikali ya congo, raisi na serikali yake, wanawauwa wananchi pia askari wao ni wabakaji, kuna jambo halijakaa sawa katika serikali ya kongo na watawashinda wasipokuwa makini, japo pia M23 Ni wakongo na rwanda ndani yake!
Umeona eh? Kumbuka huo umoja wa mataifa, una wababe ndani yao Na wengine, wanaitegemea Congo hiyo hiyo. Watafanyaje!Ina maana huu umoja wa mataifa jeshi lake halina vifaa vya kisasa kuzidi M23? Mbona kama Kuna kamchezo
Mbona hata Mkapa aliwafukia wachimbaji wadogo wadogo wa Kiafrika huko Bulyankulu halafu akawapa Madini Wazungu nayeye ni Mtutsi?sema watutsi wenzio nyie ndo mnaua waafrica wenzenu muibe madin muwauzie madin wazungu
Alafu wamoe masharti ya kuwakatia eneo au aachie kiti.Tishekedi aongee na Waasi kabla mambo hayajakuwa makubwa kama enzi za Laurent Kabila. Waasi wengine wameelekea Kisangani kwenye Mto Kongo.
Masharti ya M23 ni madogo sana wanataka warudishiwe uraia wao wa Kongo walionyang'anywa na Mobutu.Alafu wamoe masharti ya kuwakatia eneo au aachie kiti.
Umeona akili yako ilivo haina akili Kwaiyo unaringanisha uovu kwa uovu???Mbona hata Mkapa aliwafukia wachimbaji wadogo wadogo wa Kiafrika huko Bulyankulu halafu akawapa Madini Wazungu nayeye ni Mtutsi?
Au akifanya mtu mwingine sawa akifanya Mtutsi inakuwa ni nongwa?
Huku mbona kama ni sudanDaah
umoja wa mataifa wa mchongoIna maana huu umoja wa mataifa jeshi lake halina vifaa vya kisasa kuzidi M23? Mbona kama Kuna kamchezo