Umoja wa Mataifa: Zaidi ya Watu 10,000 wameuawa katika eneo la Gaza

Umoja wa Mataifa: Zaidi ya Watu 10,000 wameuawa katika eneo la Gaza

Mambo kama haya yakitokea congo, Libya,. Syria, Kenya, Rwanda and other parts of Africa Inaonekana waafrica ni manyani flani hivi ndo maana haya yanatokea.

Yakitokea Gaza, they call for Global attention.

Stupid.
 
View attachment 2806573
Kwa mujibu wa taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, mashambulizi yanayoendelea #Gaza pia, yamesababisha athari kubwa kwa Watoto ambapo kila baada ya dakika 10 Mtoto mmoja anauawa.

Guterres amesema hadi sasa takriban Watoa Huduma 89 wa UN wamepoteza maisha wakati wakiwa katika zoezi la kutoa misaada kwa waathirika wa mapigano kati ya #Israel na #Hamas.

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Euro-Med Monitor, limesema karibu Watoto 52,500 wako hatarini kukumbwa na Njaa, Magonjwa na Vifo na Wajawazito 55,000 hawana uhakika wa Usalama wakiwemo 5,500 wanaokaribia kujifungua mwezi Novemba.

========

The number of Palestinians killed in Gaza since Hamas attacked Israel on October 7 has surpassed 10,000, according to the Palestinian Ministry of Health in Ramallah drawing from sources in the Hamas-controlled enclave.

More than 70% of those killed were children, women and the elderly, while some 24,000 people have been injured, according to the ministry.

On Monday, the Hamas-controlled health ministry in Gaza said the death toll in the enclave had risen to more than 10,000.

Some background: Israel declared war on Hamas after the Islamist militant group launched a brutal attack on October 7, killing 1,400 in Israel and kidnapping more than 240. Israel retaliated by launching an air and ground offensive on Gaza, vowing to eliminate the militant group.

Thousands more Palestinians have been killed in Gaza in the past month than during conflicts with Israel spanning the past 15 years.

The United Nations Human Rights Office said the attacks last week on Gaza’s largest refugee camp “could amount to war crimes” given the scale of casualties and destruction.

CNN
Dunia kwa kukubali shinikizo la Marekani, Uingereza na baadhi ya madola ya magharibi wameamua kufumbia macho jinai zinazoendelea huko Gaza.
 
Wewe una akili za matope kati ya binadamu. Yaani Israel inafanya uhalifu wa kivita wewe unashabikia. Kwanza wanakalia ardhi ya watu kimabavu, halafu wanaua hadi watoto wa Kipalestina katika ardhi yao. halafu wewe unawashabikia!!! mama aliyekuzaa amekula hasara na nchi imekula hasara.
Vipi mkuu, Mbona Unamtetea mchokozi? Si ni HAMAS waliliamsha tar.7/10/2023 na wakashangilia sana? Mwamba akawa mtaarabu na kutoa masaa 24 ili waungwana waondoke kupisha Gaidi ashughulikiwe. Huyo HAMAS aliwazuia kwa nguvu watu eti wasiondoke kwa madai kwamba wao (HAMAS) wanalimudu game la Myahudi. Wajinga na Wadanganyika wa kiPalestina wakawasikiliza wakiwemo hao wenye watoto, wenye mimba na baadhi ya wazee.
Sasa Swali: Ungekuwa ni wewe Myahudi ungefanyaje? Damu inayomwagika itakuwa ni juu ya HAMAS na washirika wake. Kama tunasema ni uhalifu, basi tuanzie na tukio la tar.07/10/2023. Israel hajakurupuka na alisema atakachokifanya ili hata hao HAMAS wapate muda wa kufanya maandalizi ya kujibu mkong'oto. Badala ya kujibu kipondo wanaanza kulia lia hapa Oh, haki za binadamu, Watoto, wenye mimba, wazee na mambo ya Dini, nk nk. No way! HAMAS triggered this war.
 
Ninyi si mliwaua kwa upanga mayahudi kipindi cha mtume wenu na bado kipindi cha Adolf Hilter mliwaua mayahudi milioni sita,tulieni nae alipize kisasi
Nakazia hoja: Myahudi akikumbuka hayo 👆 👆 hasira zake zinawaka moto mno hadi anashindwa hata kusikiliza kelele na vilio vya hao jamaa.
 
View attachment 2806573
Kwa mujibu wa taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, mashambulizi yanayoendelea #Gaza pia, yamesababisha athari kubwa kwa Watoto ambapo kila baada ya dakika 10 Mtoto mmoja anauawa.

Guterres amesema hadi sasa takriban Watoa Huduma 89 wa UN wamepoteza maisha wakati wakiwa katika zoezi la kutoa misaada kwa waathirika wa mapigano kati ya #Israel na #Hamas.

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Euro-Med Monitor, limesema karibu Watoto 52,500 wako hatarini kukumbwa na Njaa, Magonjwa na Vifo na Wajawazito 55,000 hawana uhakika wa Usalama wakiwemo 5,500 wanaokaribia kujifungua mwezi Novemba.

========

The number of Palestinians killed in Gaza since Hamas attacked Israel on October 7 has surpassed 10,000, according to the Palestinian Ministry of Health in Ramallah drawing from sources in the Hamas-controlled enclave.

More than 70% of those killed were children, women and the elderly, while some 24,000 people have been injured, according to the ministry.

On Monday, the Hamas-controlled health ministry in Gaza said the death toll in the enclave had risen to more than 10,000.

Some background: Israel declared war on Hamas after the Islamist militant group launched a brutal attack on October 7, killing 1,400 in Israel and kidnapping more than 240. Israel retaliated by launching an air and ground offensive on Gaza, vowing to eliminate the militant group.

Thousands more Palestinians have been killed in Gaza in the past month than during conflicts with Israel spanning the past 15 years.

The United Nations Human Rights Office said the attacks last week on Gaza’s largest refugee camp “could amount to war crimes” given the scale of casualties and destruction.

CNN
Hamas wanatakiwa kuacha kurusha kombora na wajisalimishe na kuachia mateka. israel ana haki ya kujilinda, raia wake zaidi ya 200 wameshikiliwa mateka na hamas, ni haki kwa israel kupambana kuwarudisha mateka, pia, rocket zinarushwa hadi sasaivi kule israel zikitokea kwa hamas, israel hawezi kukaa kimya ana haki ya kujilinda. pia wapalestina gaza waliambiwa waondoke na walipewa muda, hawataki kuondoka na hamas anakaa katikati yao anarusha roket israel, unategemea israel angenyamaza tu ili aumie? lawama ziende kwa hamas na wapalestina wenyewe aliobaki kwa kujitolea kufa, wala huwezi kuilaumu israel.
 
HAMAS hawajavamia Israel. Wanatetea ardhi yao iliyoporwa mwaka 19478 kimabavu. Uporaji uliendelea mwaka hadi mwaka. Ile nchi yoye kabla ya mwaka 1948 ni ardhi wa wapelstina na waarabu wachache na wayahudi wachache waliokuwepo pale miaka maelfu kwa maelfu. Israel haina ardhi tena pale, ni Wamamizi na waporaji.
Jamani ni jambo la kushangaza sana na kusikitisha mno. Hebu tuwe wakweli: Dunia (Ardhi) ina Umri wa mamilioni ya miaka. HAMAS wameanza harakati zao juzi-juzi tu hapa. Wanadai eti wana ardhi yao.(sijui waliitengeneza lini).
Tunajisahau sana. Hakuna binadamu aliyewahi kuondoka hapa duniani hata na chembe ya ardhi. Wanadamu tumeikuta ardhi tunaitumia na tunaiacha hapa-hapa. Myahudi anaitumia ardhi kama walivyo wanadamu wengine na ataiacha. Kinachotakiwa hapa ni Hekima na Ustaarabu tu.
Ukorofi wa Yangu ...Yangu unatumaliza sisi Wanadamu (Including HAMAS).
 
Hiyo ni ardhi ya wayahudi,kasome historia vzr,wapalestina walikalia kwa muda mrefu haiwafanyi iwe yao.

Hamas ndio chanzo cha maumivu ya raia wa palestina,kinachofanyika ni kuondoa hamas kwa gharama yoyote.
 

Attachments

  • 88BEE4E2-2189-4FF8-BC46-131738CCB06A.MP4
    13.4 MB
Hamas wanatakiwa kuacha kurusha kombora na wajisalimishe na kuachia mateka. israel ana haki ya kujilinda, raia wake zaidi ya 200 wameshikiliwa mateka na hamas, ni haki kwa israel kupambana kuwarudisha mateka, pia, rocket zinarushwa hadi sasaivi kule israel zikitokea kwa hamas, israel hawezi kukaa kimya ana haki ya kujilinda. pia wapalestina gaza waliambiwa waondoke na walipewa muda, hawataki kuondoka na hamas anakaa katikati yao anarusha roket israel, unategemea israel angenyamaza tu ili aumie? lawama ziende kwa hamas na wapalestina wenyewe aliobaki kwa kujitolea kufa, wala huwezi kuilaumu israel.
U nailed it. Congratulations.
 
Hiyo ni ardhi ya wayahudi,kasome historia vzr,wapalestina walikalia kwa muda mrefu haiwafanyi iwe yao.

Hamas ndio chanzo cha maumivu ya raia wa palestina,kinachofanyika ni kuondoa hamas kwa gharama yoyote.
Ibrahim alitoka nchi gani ?
 
Wakome wajitenge na ugaidi
Havi Hawa si ndio walio kuwa wanateseka ulaya hadi kutafutiwa hifadhi hapo middle east Sasa iweje watesi wao ndio wamekua watetezi wao
Kunakitu kimejificha hapa tuache udini ili tujue ukweli.
 
kwasababu ni kiongozi wa dini na amenizidi umri, naomba nitofautiane naye kwa heshima, kila alichoongea ni story za vijiweni, wamedanganywa sana na wasikilizaji wake wanaendelea kuaminishwa uongo mkubwa sana. huyu shehe ni kama anatajiru kuwaaminisha watu kuwa wayahudi halisi ni Falasha wa Ethiopia. naomba nimweleweshe kwamba hao ni mojawapo tu ya wayahudi, ial hata hao waliopo israel ni wayahudi kweli.

Falasha au kwa jina lingine BETA-ISRAEL, ni wayahudi weusi waliotokana na kizazi cha Mfalme suleiman kuzaa na mkushi/muethiopia aliyekuwa malkia, Biblia inaeleza kwamba Malkia huyo wa Kush alimtembelea Suleimani na alikuwa mzuri sana, na suleiman kwa historia iliyopo hakumwacha salama, alilala naye hivyo malkia alivyorudi Africa alirudi na mimba. icho ndio kizazi cha Wayahudi weuzi wa Ethiopia na sio wote, ni wachache tu na wote walikuwa wanajitambua na wamekuwa wakiabudu uyahudi tangu enzi. Ethiopia ina makabial mengi, mfano, kuna OROMO, kuna TIGRAY, kuna HOSANA na wengine, wote wanatambuana hivyo hata hawa beta israel walikuwa wanajitambua kama distinct tribe ambayo mbegu yao ilitoka israel.

kwa habari ya Wayahudi, hata kwenye Biblia ipo wazi, mfano, Biblia inaeleza mwonekano wa Daudi kipindi kile anaenda kupakwa mafuta na alipoenda kupigana na Goliati na baadaye Sauli, kuwa alikuwa kijana mzuri mwekundu, hivyo hakuwa mweusi, alikuwa mzungu mwekundu kama hao watu wa iraq n.k. hakuwa mweusi, waisrael halisi ukiondoa ile mbegu sulemani aliweka kwa malkia wa sheba/kushi sio weusi kama sisi, ni weupe tangu enzi zote. sasa baada ya kuchukuliwa uhamishoni Babeli na kwengine (mfano tunakumbuka jinsi walivyochukuliwa uhamishoni Iran na Iraq, soma kitabu cha Esta story za Esta na Modekai, na kitabu cha Jeremia), walizaliana uko walikoenda. hao ashkenaz anaowasema ni wayahudi waliochanganywa na damu ya wazungu wa ulaya, na ni kawaida kuchangamana damu kwani myahudi akioa mzungu mwingine si atazaa mtoto? yule mtoto hatakua myahudi? na si atakuwa chotara fulani wa kizungu na kiyahudi?

kote wayahudi wameenda wamezaa na wazawa, africa tu hawakuja ila wangekuja wangezaa na wazawa na tungekuwa na kipande kingine cha wayahudi weusi ukiondoa wala falasha/beta israel ambao majority wameshapelekwa israel. pia mheshimiwa shehe angetusaidia kujua kama haya hapa chini ni ya kweli au uongo na kama ya kweli, ile ardhi ni ya nani?

1. Yesu Kristo alikuwa myahudi aliyeishi nchi ya kiyahudi, mji wake ulikua Nazareth ambao ni mkoa ndani ya Israel. sasaivi.

2. Mfalme Daudi alikuwa Mfalme wa Waisrael, na alijenga mji wa hebron (ambako kunatawaliwa na wapalestina) na Yerusalem, vipo hadi leo.

3. Mfalme suleiman alijenga hekalu, likaja kubomolewa pale Yerusalemu, bahati mbaya walisahau kubumoa lote, wakaacha baadhi ya kuta zipo hadi leo, ndio ule ukuta wa maombolezo wayahudi hua wanaenda kuombolezea upo hadi leo.

4. karubi la mariam mamake Yesu, karubi la Absalom mtoto wa Mfalme Daudi aliyetaka kumpindua babake na karubi la Daudi, lipo hadi leo. hao wote walikuwa waisrael.

5. miji yote ya israel imetajwa kwenye Biblia kama miji ya waisrael, na ipo hadi leo. mfano, Kapernaumu, Yafa, Yerusalem, Nazareth, Galilaya na kadhalika.

6. upo ushahidi mwingine mwingi sana.
 
Havi Hawa si ndio walio kuwa wanateseka ulaya hadi kutafutiwa hifadhi hapo middle east Sasa iweje watesi wao ndio wamekua watetezi wao
Kunakitu kimejificha hapa tuache udini ili tujue ukweli.
hiyo ni ardhi yao, walikuwa wanarudi kwao.usimsikikilize uyo kiongozi, anawadanganya na hata hajui anahcoongea.
 
Waache kusitiri magaidi ili wasalimike pia wawashinikize Hamas waache uchokozi wa moto wasiouweza

Yes Hamas ndio wakulaumiwa! Wanachokoza moto halafu wanakimbilia mapangoni kama mijusi huku wakiacha akina mama na watoto wakiteseka na vita.

Free Palestine from Hamas terror
 
Back
Top Bottom