Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
HAMAS hawajavamia Israel. Wanatetea ardhi yao iliyoporwa mwaka 19478 kimabavu. Uporaji uliendelea mwaka hadi mwaka. Ile nchi yoye kabla ya mwaka 1948 ni ardhi wa wapelstina na waarabu wachache na wayahudi wachache waliokuwepo pale miaka maelfu kwa maelfu. Israel haina ardhi tena pale, ni Wamamizi na waporaji.
Ndio mnavyofundishana huu upuuzi huko madrasa [emoji848]