Umoja wa Ulaya: Afrika iungane na dunia yote kuipinga Urusi

EU kupitia wanachama wenye ushawishi , kwa kuanzia waanzishe mchakato ili baadhi ya Nchi wanachama wa UN hasa nchi za Afrika zipate nafasi kuamua baadhi ya masuala ya kiusalama kupitia kura ya veto.
Lakini waangalie namna nyingine ya mfumo wa uendeshaji wa sera na mifumo ya kulinda Amani ya Dunia.
Ingelipendeza sana UN ingelibadilishwa kukidhi Dunia ya leo na kuundwa chombo kimoja kitakachoondoa jumuiya za Kibara na Kikanda bila kuathiri Sovereignty za Nchi husika.
 
Mi Bado siamini kama hatujawaunga mkono,Sijasikia mwanasiasa yeyote au kiongozi akiongelea hili ingawa wananchi wanaonesha msimamo....Halafu kwa nn Hili Tangazo wamekuja kulitolea huku kwetu inatia mashaka sana. Ngoja tusikie...
 
Dawa imewaingia kweli kweli
 
Utapangiwa tuu,una nini mpaka usipangiwe? Anapangiwa mchina sembuse wewe
... sidhani kama atakuelewa huyo. Machina leo kapeleka msaada Ukraine. Ila pro-Putin wana traits fulani hivi za ajabu ajabu.
 
Hatupazi sauti, kama zenu haziwatoshi ongezeni na speaker. Pumbav zenu Congo mpaka leo wanauwana sababu ni nyie ili mpate kuiba madini yao mbona hatukuwasikia kulaani. Nchi zote ulimwenguni zinazopigana vita vya wenyewe kwa wenyewe sababu ni nyie ili muibe madini, mafuta, gas asilia na vinginevyo. Ingawa vita sio nzuri hata kidogo watesekao ni watoto,wazee na watu wasio kuwa na hatia.
Mkome kuyuingiza kwenye vita zenu.
 
In context, Putin gave Ukraine an entire year to resolve the issue diplomatically. Instead of doing that, Ukraine followed the US's lead and kept poking the bear. When Putin poked back the US stepped aside and let Ukraine take the full force of it.
 
Wasituingize katika ujinga wao....

Shetani hajawahi kuwa rafiki wa madhabahu ya BWANA......

#Siempre JMT🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…