Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 634
- 436
Mbona wametushupalia sana kama mshipa wa shingo? Tukipinga ndio vita inaisha au wanatutafutia sababu tu 😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fourth world inawanyemelea....! Waache wajijaze kibri!Mtuache third world
Wakamsikile Malema wa EFF, SA.Hatupangiwi.
Waache ujinga. Kila mtu na maamuzi yake
.bona wameshindwa kumpangia Mrusi?Utapangiwa tuu,una nini mpaka usipangiwe? Anapangiwa mchina sembuse wewe
ulitaka waache Urusi aendelee kuwaua raia wa Ukraine ?Huyu wa EU anaongea ujinga eti tunanunua silaha na kuwapa ukraine ili iwaue warusi. Sasa hapo vita inaishaje?
kuunga mkono uvamiz ni.kugunguka kiakili ? kesho China anavamia wadeni wake wanaopeleka mikia Ulaya , huko ndo kufunguka kiakili ? sisi ndio wahanga wa kuvamiwa ila tunashabikia uvamizi kwa taifa dhaifu sn , hii.ndo ilikuwa sehemu mojawapo ya kukemea mataifa makubwa kutoyaheshimu mataifa machanga kisa hayana jeshi imara kuwakabiri , kesho uvamiz huu utazid kutanuka na sio kuelekea magharibi ya ulaya bali.kushuka kuja kwetu huku Asia na Afrika na hata America ya kusini piaNiitaman nam ntoe yangu ya moyoni but inaonekana... waafrika tumefunguka kiakili... its our time... weee leta pepsi bariiidiii.... uraaaa
hawajawai ingia kwenye mipaka ya Urusi bali USA ndo alikuwa ndan ya Ukraine na sio NATO kuwepo ndani ya UkraineWasitupangie Ujinga wao..... Wanafanya Nini kwenye Mipaka ya Urusi??? Sijui wanadhani sisi Hamnazo?? walipomuua Gadafi walidhani Sisi Malofa,??? HATUJASAHAU ULE UNYAMA...
Tuelezee unavyoweza kuitenganisha Nato na USAhawajawai ingia kwenye mipaka ya Urusi bali USA ndo alikuwa ndan ya Ukraine na sio NATO kuwepo ndani ya Ukraine
Hapa alikuwa akimjibu Zitto Kabwe
Naona umekazia kabisa na double t,
Jamaa atawapelekesha sana
Asipokabidhi wanachukua kwa nguvuAache ujinga akabidhi nchi kwa wenyewe
Asipokabidhi wanachukua kwa nguvu
Na waendelee kuchapana tu washenzi hawa, zamani walikuwa wanaona vita ni haki ya Waafrika...