Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Umewaza vizuri sana nnje ya box, safi sana.Viongoz watulie hyo vta sio yetu, ukikubar tu baadae utaambiwa changia wanajeshi wa kwenda kutoa msaada vitan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza vizuri sana nnje ya box, safi sana.Viongoz watulie hyo vta sio yetu, ukikubar tu baadae utaambiwa changia wanajeshi wa kwenda kutoa msaada vitan
😍Wapambane na hali zao,Tumeshashuhudia Vita kibao na wala hatujaona sehemu wanaomba Pumzi kutoka Africa.
Hii ndiyo akili sasaMi Bado siamini kama hatujawaunga mkono,Sijasikia mwanasiasa yeyote au kiongozi akiongelea hili ingawa wananchi wanaonesha msimamo....Halafu kwa nn Hili Tangazo wamekuja kulitolea huku kwetu inatia mashaka sana. Ngoja tusikie...
[emoji847]Hatupazi sauti, kama zenu haziwatoshi ongezeni na speaker. Pumbav zenu Congo mpaka leo wanauwana sababu ni nyie ili mpate kuiba madini yao mbona hatukuwasikia kulaani. Nchi zote ulimwenguni zinazopigana vita vya wenyewe kwa wenyewe sababu ni nyie ili muibe madini, mafuta, gas asilia na vinginevyo. Ingawa vita sio nzuri hata kidogo watesekao ni watoto,wazee na watu wasio kuwa na hatia.
Mkome kuyuingiza kwenye vita zenu.
Angewatishia ile mijicho yake mikubwa
AiseeeIn context, Putin gave Ukraine an entire year to resolve the issue diplomatically. Instead of doing that, Ukraine followed the US's lead and kept poking the bear. When Putin poked back the US stepped aside and let Ukraine take the full force of it.
Wakati Ubelgiji na Marekani wanamuuwa Patrice Lumumba kupitia vibaraka wao kule Congo hawakuja kulaaani.Sis halituhusu hilo, mbona mulimuua Gaddafi hamukulaani ?
Karma imewarudiaWakati Ubelgiji na Marekani wanamuuwa Patrice Lumumba kupitia vibaraka wao kule Congo hawakuja kulaaani.
Nchi ya Congo imepoteza maelfu ya wa kwa vifo na ukimbizi sababu ya machafuko yaliyo chochewa na hawa hawa wanaokuja kutuomba tulaani matukio ya Ukraine!!!
Waendelee kulaani tu.....Puttin wala hajali.Umoja wa Ulaya (EU) umetoa tamko la kuendelea kulaani kitendo cha Urusi kuivamia Ukraine na kushawishi mataifa mbalimbali zikiwemo nchi za Afrika kuipinga Urusi kwa kitendo chake cha kuivamia Ukraine kijeshi...
Kabisaaa Hicho chuma kilikuwa habari nyingine,Bila ya kutajwa Hayati JPM hili andiko lako ni batili.
Wameua wengi tu hawa umbwaSis halituhusu hilo, mbona mulimuua Gaddafi hamukulaani ?
Naona umekazia kabisa na double t,Waendelee kulaani tu.....Puttin wala hajali.