Uchaguzi 2020 Umoja wa Ulaya (EU) wasikitishwa na baadhi ya mambo katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Umoja wa Ulaya (EU) wasikitishwa na baadhi ya mambo katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Neno mahali pa kutumia 'kura' wewe umelirudia rudia kuwa ni 'kula'!

Nikawa ninawaza: kwa kuwa umesema waTz wengi ni masikini wasio na uwezo wa kumiliki vyombo vyenye kutumia internet,hivyo wanayaishi maisha yao kwa ajili ya kula na ngono zembe ama ulimaanisha 'kura' kiuhalisia?

Kuna sababu gani ya kupotosha spelling kwenye mada muhimu kama hii?

Itoshe kusema mantiki ya andishi lako imeeleweka vyema.

Ila sisi tusio na vyama ama kuegemea upande, kama haya maneno yasemwayo ya ghushi yakawa yalitokea kweli, basi hao waliyofanya hayo wameamua kumpaka matope rais Magufuli kwa makusudi mazima na bila ya ulazima wowote kwa sababu rais Magufuli hata uchaguzi urudiwe leo na wasimamizi wakawa ni malaika,yeye ni mshindi tu kutokana na anavyokubalika.

Hujuma kwa watawala sazingine hufanywa kisayansi na watu waovu na wapinzani wao wa ndani kwa ndani kuonesha kama wanaunga mkono upande wanaodhamiria kuhujumu.

Hilo liwe ni jambo la kwanza kuchunguzwa katika hadidu za rejea kama wataunda tume.

Kwa tuhuma zinazochefua hivi, haikutakiwa kuzikanusha kisiasa siasa na blah blah za majukwaani.

Walitakiwa kabla ya kutoa tamko lolote, waunde tume ikiwezekana juu ya tume kuchunguza ukweli wa jambo hili kama limetokea na limetendeka kweli, kina nani waliohusika, nani aliwatuma, wajulikane kwa majina na washitakiwe si kwa kuvuruga uchaguzi tu bali na kwa uhujumu uchumi pia.

Ikibainika figisu zozote kufanywa na watu waliolishwa viapo vya uadilifu ili kutenda haki, wakanajisi viapo vyao wachukuliwe hatua madhubuti zenye kuogofya mtu yeyote mwenye nia kama hiyo ovu kuja kutamani kufanya vitendo hivyo milele.

Rais Magufuli anakubalika sawa, je tume ya uchaguzi iliwajibika bila ya mawaa?
Yote hayo sasa yanatakiwa kujulikana kwa uwazi.
 
Hawa mabeberu wawe makini mpaka sasa wameshindwa kuidhibiti Corona, wanapojaribu kupambana na serikali ya CCM wajue ni hatari kuliko Corona, wamuulize Professa Lipumba anajua.
 
Uliposema tu kuwa hakuna kilichoibiwa, nikakudharau na kukuona mtu unayestahili kusaidiwa kujua thamani ya utu wako ambayo hujengwa kwenye ukweli na utii kwa dhamira yako, kitu ambacho kwa sasa, wewe huna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnatafuta msaada kwenye tuta? Kesho Chuma kinaaapishwa,tulieni chini,kalisheni makalio chini.
 
Hawa mabeberu wawe makini mpaka sasa wameshindwa kuidhibiti corona, wanapojaribu kupambana na serikali ya CCM wajue ni hatari kuliko corona, wamuulize Professa Lipumba anajua.
Ni kweli CCM ni hatari kuliko CORONA!
 
Unaongelea Tanzania ipi? Maana umeongea kama Mbibi wa Kizungu, aliyeijua Tanzania ya miaka ya 80. Unazo takwimu za watumiaji wa mitandao Tanzania?? Umetembea nchi hii ukaona watu wangapi wana smart phone??
 
2/3 ya watanzania hawakupiga kura, na hizo kura za wizi tumeziona kwa macho yetu, tena nyingine zikiwa zimebebwa na vyombo vya dola. Sasa sijui hayo maelezo yako marefu hakuyaona hayo?
 
2/3 ya watanzania hawakupiga kura, na hizo kura za wizi tumeziona kwa macho yetu, tena nyingine zikiwa zimebebwa na vyombo vya dola. Sasa sijui hayo maelezo yako marefu hayakuona hilo?
Wasimamizi wote walikuwa ni makada wa CCM ndiyo walibebeshwa kura haramu, hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi huu kwa njia haramu za kishetani
 
Acha ufala wako wana JF wana ndugu zao wanawapa taarifa na pia watanzania wengi walihudhuria mikutano ya chadema kusikia sera na mapungufu ya CCM, huko vijiji kote ni waathirika wa uonevu manyanyaso ya utawala wako na wenu hawaitaki CCM, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ameipa CCM kura acha kuishi kwa kukariri Akili za polepole mnufaika wa udhalimu wa CCM kwa wapinzani
 
Nipe sababu ya kuamini nilichoandika ni pumba.

Otherwise ulichoandika ni uongo ulioegemea emotions.
Hivyo ni sawasawa na kujiongelewa mwenyewe.

Yaani umeprove kauli yako ni pumba.

Pia huwezi kunielewa sababu unasikiliza bongo fleva.
Sasa nenda katoe taarifa celebrity forums kwamba diamond ametoa nyimbo mpya na cloud tv hawajaionyesha.

NB:nasikitishwa sana kuona africans wenye ufahamu uliodumaa.
Wewe unaishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM na chakubanga Polepole huna unachokijua zaidi ya kuamini CCM ni mungu na kila wanachofanya kinatoka kwa mungu na malaika, unaishi kivingine kabsa upo kishetani zaidi.
 
Mnatafuta msaada kwenye tuta? Kesho Chuma kinaaapishwa,tulieni chini,kalisheni makalio chini.
Kuapishwa pasipo baraka za wapiga kura haina maana yeyote endelea kutawala kimabavu tu maana Nchi haijapata uhuru kesho ni muendelezo wa ukoloni kaburu mweusi
 
Kuapishwa pasipo baraka za wapiga kura haina maana yeyote endelea kutawala kimabavu tu maana Nchi haijapata uhuru kesho ni muendelezo wa ukoloni kaburu mweusi
Nani kasema hamna baraka za wapiga kura? Ukoloni mweusi unatokea wapi?
 
Hakuna uchaguzi umefanyika Tanzania zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani
 
Back
Top Bottom