Uchaguzi 2020 Umoja wa Ulaya (EU) wasikitishwa na baadhi ya mambo katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Umoja wa Ulaya (EU) wasikitishwa na baadhi ya mambo katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Wewe mwenyewe isingekuwa mnufaika wa blackmail mtengeneza kesi za uonevu pengine isingekuwa ukijitoa fahamu kuutetea ushetani wa CCM
Mimi nanufaika na nini? Mimi ni mzalendo ninae sema ukweli tu.
 
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana hawanaga ujanja bila hivyo vyombo vyao binafsi plus TBCCCM
 
Kama wewe unavyojiendekeza kwa Jiwe ili kusudi wanao waende chooni sivyo?
 
Na wewe ni msomi?

Kama Palamagamba,ama kama Lipumbavu?

Ni nahisi usomi wako ni wa Pierre Liquid kama sikosei
 
Watu wa JF mnashangaza na kuchekesha.

Tanzania ina asilimia kubwa ya watu masikini ambao hawana hata hiyo elimu ya kukariri.
Na wengi kati ya hao masikini hawajui internet ni nini hivyo hata mitandao ya kijamii kama JF hawaitambui ambako CHADEMA ndipo walipokuwa.
Ila CCM ilisikika kwenye radio ambazo asilimia kubwa watu wasiojiweza ambao ni masikini wanazo sababu radio ni cheap kuliko simu yenye internet.

Hawajui yanayotokea kama kutoongezwa mishahara au kukosa ajira sababu hata shule hawakwenda na hata hawajaajiriwa na serikali.
Hivyo hayo hawayaoni.

Jamii Forums ina members 1000000 tu.
Na kwa kukisia asilimia 50-65 tu kati ya hao ndo walikuwa CHADEMA.
Na wengi ni wanachuo waliokosa ajira.
Wafanyakazi wa serikali ambao hawajaongezwa mishahara.
Wastaafu waliokosa mafao yao.
Wafanya biashara nk
Pia hao ni wachache ukilinganisha na masikini walioko Tanzania.

Sasa fikiria watu 550000 wa JF ulinganishe na mamilioni ya masikini wengi wasio na elimu yoyote ambao wao wanaishi ili wapate chakula na ngono.
Hata ukiwapa chakula,kofia,nguo basi watapiga kula chama chochote kile.
Wao kupiga kura ni kama ushabiki wa simba na yanga.
Ndio maana huku mtaani kwangu watu walikuwa wakicheza uchi barabarani sababu ya ushindi.
Hawajali kuhusu mazingira mabovu wanayoishi au mfumo mbovu wa elimu wala haki zao mradi wao waendelee kuishi tu wapate chakula na ngono.

Hivyo mnavyoandika kama JamiiForums ndio Tanzania nzima lazima nitilie shaka ufahamu wenu.

Hao wazungu wangekuja kuona uhalisia wa watu waliopiga kura.
Asilimia kubwa hawajitambui sababu ya umasikini physically and mentally.

NB: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za kisiasa.
Nimeandika ili muone uhalisia na sio kulalamika bila ya kufikiri.

Hakuna kilichoibiwa isipokuwa mindset ya kushindwa inapojaribu kupambana na uhalisia.
Na hao wazungu kujali maslahi yao binafsi.

Tokeni humu JF nendeni nje ya nyumba zenu tembeeni mitaa ya uswahilini na huko vijijini mkaone wapiga kula.
Na hao wazungu kumbe nao hawana akili kufikiri watanzania wote wanatumia mitandao au wanazo akili ila wanajali maslahi yao zaidi.
Jamiiforums sio Tanzania nzima mkumbuke.
Sasa na wewe mbona umo humu?
 
JF kuna watu huanzisha mada, wakiwa walishaloweka nguo hawana sabuni, wanatafuta mapovu! 😅 😅 😅

Mleta mada nahisi umeloweka mablanketi, maduvet, mataulo, mashuka, winter jackets, za huko Swiss Alps unatafuta povu la kufulia, siyo bure!🤣

Everyday is Saturday................................😎
 
Watu wa JF mnashangaza na kuchekesha.

Tanzania ina asilimia kubwa ya watu masikini ambao hawana hata hiyo elimu ya kukariri.
Na wengi kati ya hao masikini hawajui internet ni nini hivyo hata mitandao ya kijamii kama JF hawaitambui ambako CHADEMA ndipo walipokuwa.
Ila CCM ilisikika kwenye radio ambazo asilimia kubwa watu wasiojiweza ambao ni masikini wanazo sababu radio ni cheap kuliko simu yenye internet.

Hawajui yanayotokea kama kutoongezwa mishahara au kukosa ajira sababu hata shule hawakwenda na hata hawajaajiriwa na serikali.
Hivyo hayo hawayaoni.

Jamii Forums ina members 1000000 tu.
Na kwa kukisia asilimia 50-65 tu kati ya hao ndo walikuwa CHADEMA.
Na wengi ni wanachuo waliokosa ajira.
Wafanyakazi wa serikali ambao hawajaongezwa mishahara.
Wastaafu waliokosa mafao yao.
Wafanya biashara nk
Pia hao ni wachache ukilinganisha na masikini walioko Tanzania.

Sasa fikiria watu 550000 wa JF ulinganishe na mamilioni ya masikini wengi wasio na elimu yoyote ambao wao wanaishi ili wapate chakula na ngono.
Hata ukiwapa chakula,kofia,nguo basi watapiga kula chama chochote kile.
Wao kupiga kura ni kama ushabiki wa simba na yanga.
Ndio maana huku mtaani kwangu watu walikuwa wakicheza uchi barabarani sababu ya ushindi.
Hawajali kuhusu mazingira mabovu wanayoishi au mfumo mbovu wa elimu wala haki zao mradi wao waendelee kuishi tu wapate chakula na ngono.

Hivyo mnavyoandika kama JamiiForums ndio Tanzania nzima lazima nitilie shaka ufahamu wenu.

Hao wazungu wangekuja kuona uhalisia wa watu waliopiga kura.
Asilimia kubwa hawajitambui sababu ya umasikini physically and mentally.

NB: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za kisiasa.
Nimeandika ili muone uhalisia na sio kulalamika bila ya kufikiri.

Hakuna kilichoibiwa isipokuwa mindset ya kushindwa inapojaribu kupambana na uhalisia.
Na hao wazungu kujali maslahi yao binafsi.

Tokeni humu JF nendeni nje ya nyumba zenu tembeeni mitaa ya uswahilini na huko vijijini mkaone wapiga kula.
Na hao wazungu kumbe nao hawana akili kufikiri watanzania wote wanatumia mitandao au wanazo akili ila wanajali maslahi yao zaidi.
Jamiiforums sio Tanzania nzima mkumbuke.
Ingawa siipendi ccm
Ila umeongea fact
 
Uonevu wote unaotekelezwa na CCM wewe ni mnufaika namba moja.
minyoo naomba tuheshimiane. Kama kuna uonevu wewe ungekuwa unavuta bangi na kunywa konyagi huku unashinda Jf kuandika upuuzi na ushenzi kutetea maslahi ya matapeli wa kisiasa.
 

Representative on behalf of the EU on the elections in Tanzania​

The Tanzanian National Electoral Commission and Zanzibar Electoral Commission have declared the results of the elections.

Election day was well organised and peaceful in many parts of the country. Nonetheless, the European Union (EU) notes with regret the disruption of social media before, on and after election day, claims of opposition candidates that they did not benefit from a level playing field during the electoral process, as well as the limited possibilities for electoral observation. Reports of irregularities in some districts are also raising concern. These serious allegations have an impact on the transparency and overall credibility of the process. They should be processed through legal means of redress.

In Zanzibar, tensions were reported, with deadly violence, including allegations of excessive use of force by State organs. The EU hopes that it will be possible to lay the foundation for a sustainable reconciliation between all stakeholders, in order to contribute to long-lasting peace and stability in the archipelago.

The EU encourages an open, constructive and inclusive dialogue between the Government of Tanzania, opposition political parties and civil society, and recognises peaceful expressions of opinions as essential to multi-party democracy and civic freedoms.

Tanzania has a strong record of stability, peaceful cohabitation and tolerance among its people. The EU and Tanzania have a long history of good relations, and the EU reaffirms its preparedness to contribute to joint next steps for political dialogue and economic cooperation.
Too many plain calls are dysfunctional..

Such a soft statement cannot have any meaningful impact on a ruthless dictatorial regime like ours.

Only concerted stern actions or rather, firm statements stipulating required corrective measures within certain timeframes, outlining consequences for non performance can have any tangible outcome
 
Kama CHADEMA ni wachache namna hiyo na wapiga kura wengi ni wajinga na maskini hivyo ni mtaji wa CCM mbona ubabe na rafu wanazotumia CCM kujiweka madarakani ni kubwa kuliko porojo zako?
 
Mawazo ya kimasikini sana haya; mkuu unajua kuna watu wanasoma na kupata degree/vyeti through internet? unajua kuna watu wamejiari kupitia mitandao? Unafahamu kuna watu wanafanya biashara ya kuuza vitu vyao na wanaishi kwa njia ya hizo bidhaa wanazo uza through mitandao? Watu wanatangaza na kuuza bidhaa zao through whatsApp, telegram, instagram nk? Hivi unafahamu top richest people in the world sio wauza dhahabu, almasi wala vitu unavyo vijua bali ni watu wa soft were? Kuifungia mitandao kwasababu za CHADEMA na ccm ambao sidhani kama hata wanazidi 20 milioni ni wazo la kufikirika sana. Bt again, uchaguzi wa siku moja ni 5 years time ndio usimamishe shughuli za kimaisha kwa zaidi ya wiki? Wenzetu hua mnafikira kwa kutumia viongo gani vya mwili?
 
Watu wa JF mnashangaza na kuchekesha.

Tanzania ina asilimia kubwa ya watu masikini ambao hawana hata hiyo elimu ya kukariri.
Na wengi kati ya hao masikini hawajui internet ni nini hivyo hata mitandao ya kijamii kama JF hawaitambui ambako CHADEMA ndipo walipokuwa.
Ila CCM ilisikika kwenye radio ambazo asilimia kubwa watu wasiojiweza ambao ni masikini wanazo sababu radio ni cheap kuliko simu yenye internet.

Hawajui yanayotokea kama kutoongezwa mishahara au kukosa ajira sababu hata shule hawakwenda na hata hawajaajiriwa na serikali.
Hivyo hayo hawayaoni.

Jamii Forums ina members 1000000 tu.
Na kwa kukisia asilimia 50-65 tu kati ya hao ndo walikuwa CHADEMA.
Na wengi ni wanachuo waliokosa ajira.
Wafanyakazi wa serikali ambao hawajaongezwa mishahara.
Wastaafu waliokosa mafao yao.
Wafanya biashara nk
Pia hao ni wachache ukilinganisha na masikini walioko Tanzania.

Sasa fikiria watu 550000 wa JF ulinganishe na mamilioni ya masikini wengi wasio na elimu yoyote ambao wao wanaishi ili wapate chakula na ngono.
Hata ukiwapa chakula,kofia,nguo basi watapiga kula chama chochote kile.
Wao kupiga kura ni kama ushabiki wa simba na yanga.
Ndio maana huku mtaani kwangu watu walikuwa wakicheza uchi barabarani sababu ya ushindi.
Hawajali kuhusu mazingira mabovu wanayoishi au mfumo mbovu wa elimu wala haki zao mradi wao waendelee kuishi tu wapate chakula na ngono.

Hivyo mnavyoandika kama JamiiForums ndio Tanzania nzima lazima nitilie shaka ufahamu wenu.

Hao wazungu wangekuja kuona uhalisia wa watu waliopiga kura.
Asilimia kubwa hawajitambui sababu ya umasikini physically and mentally.

NB: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za kisiasa.
Nimeandika ili muone uhalisia na sio kulalamika bila ya kufikiri.

Hakuna kilichoibiwa isipokuwa mindset ya kushindwa inapojaribu kupambana na uhalisia.
Na hao wazungu kujali maslahi yao binafsi.

Tokeni humu JF nendeni nje ya nyumba zenu tembeeni mitaa ya uswahilini na huko vijijini mkaone wapiga kula.
Na hao wazungu kumbe nao hawana akili kufikiri watanzania wote wanatumia mitandao au wanazo akili ila wanajali maslahi yao zaidi.
Jamiiforums sio Tanzania nzima mkumbuke.
Ww hujui tu. Kule Lindi watu wa kawaida tu wasio na simu janja wameishikisha adabu ccm.

Kule Tarime kuna mahali mgombea wa udiwani wa CDM alishinda, wasimamizi wakaanza figisu Kama kawa ili watangaze wa ccm aliyeshindwa. Waliokuwepo wakapiga ukunga (yowe), wananchi kwa mamia wakaja na mishale, mikuki, nk.. wasimamizi wakanywea wakatangaza wa CDM aliyeshinda.

Hata hivo Kuna maeneo mengine huko huko policcm tokea mjini Tarime waliwahi kufika kabla wananchi hawajajipanga, wakashinikiza kutangazwa kwa maccm walioshindwa.

Kwa hiyo unakosea sana kusema wanamitandao pekee ndo hawataki ccm
 
Mkuu Safii Sana

Mimi natamani niyatukane, wakijazana humu Jamii forums wanajiona wao ndio wana Haki ya kushinda Uchaguzi, Wapiga kura halisi wako uraia

FALA SANA WEWE KAMTUKANE MUMEO
kigogo2.jpg
 
Watu wa JF mnashangaza na kuchekesha.

Tanzania ina asilimia kubwa ya watu masikini ambao hawana hata hiyo elimu ya kukariri.
Na wengi kati ya hao masikini hawajui internet ni nini hivyo hata mitandao ya kijamii kama JF hawaitambui ambako CHADEMA ndipo walipokuwa.
Ila CCM ilisikika kwenye radio ambazo asilimia kubwa watu wasiojiweza ambao ni masikini wanazo sababu radio ni cheap kuliko simu yenye internet.

Hawajui yanayotokea kama kutoongezwa mishahara au kukosa ajira sababu hata shule hawakwenda na hata hawajaajiriwa na serikali.
Hivyo hayo hawayaoni.

Jamii Forums ina members 1000000 tu.
Na kwa kukisia asilimia 50-65 tu kati ya hao ndo walikuwa CHADEMA.
Na wengi ni wanachuo waliokosa ajira.
Wafanyakazi wa serikali ambao hawajaongezwa mishahara.
Wastaafu waliokosa mafao yao.
Wafanya biashara nk
Pia hao ni wachache ukilinganisha na masikini walioko Tanzania.

Sasa fikiria watu 550000 wa JF ulinganishe na mamilioni ya masikini wengi wasio na elimu yoyote ambao wao wanaishi ili wapate chakula na ngono.
Hata ukiwapa chakula,kofia,nguo basi watapiga kula chama chochote kile.
Wao kupiga kura ni kama ushabiki wa simba na yanga.
Ndio maana huku mtaani kwangu watu walikuwa wakicheza uchi barabarani sababu ya ushindi.
Hawajali kuhusu mazingira mabovu wanayoishi au mfumo mbovu wa elimu wala haki zao mradi wao waendelee kuishi tu wapate chakula na ngono.

Hivyo mnavyoandika kama JamiiForums ndio Tanzania nzima lazima nitilie shaka ufahamu wenu.

Hao wazungu wangekuja kuona uhalisia wa watu waliopiga kura.
Asilimia kubwa hawajitambui sababu ya umasikini physically and mentally.

NB: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za kisiasa.
Nimeandika ili muone uhalisia na sio kulalamika bila ya kufikiri.

Hakuna kilichoibiwa isipokuwa mindset ya kushindwa inapojaribu kupambana na uhalisia.
Na hao wazungu kujali maslahi yao binafsi.

Tokeni humu JF nendeni nje ya nyumba zenu tembeeni mitaa ya uswahilini na huko vijijini mkaone wapiga kula.
Na hao wazungu kumbe nao hawana akili kufikiri watanzania wote wanatumia mitandao au wanazo akili ila wanajali maslahi yao zaidi.
Jamiiforums sio Tanzania nzima mkumbuke.
Yote uliyosema hujakosea kabisa...kama una unakumbuka ITV na televisions nyingine nyingi zilikuwa zinatoa midaalo kuhusu maendeleo na kujitambua kama mtanzania, hivyo vyote vimepigwaa marufuku au mada itakayo ongelewa itabidi ikachunguzwe kwanza alafu watu wajadilii,kwaiyo tatizo sio ujinga wetu sisi watanzania wenye hali ya kipato cha chini tatizo ni viongozi wetu waliopewa mamlaka ya kuwalinda watanzania na taasisi zilizo undwa kwa maslai yao.
 
Kwani kichwa chako ni kigumu kuelewa!Wao wanazungumzia dosari katika uchaguzi ambazo zilijitokeza,wewe unakuja na porojo zako!Jibu hoja kama kweli dosari hizo zilikuwepo au hazikuwepo!
Kama umeshindwa kutambua nilichoandika ni hoja je una uhakika gani kwamba utaweza kutambua nitakachokujibu ni hoja?
 
Back
Top Bottom