Uchaguzi 2020 Umoja wa Ulaya (EU) wasikitishwa na baadhi ya mambo katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Wewe mwenyewe isingekuwa mnufaika wa blackmail mtengeneza kesi za uonevu pengine isingekuwa ukijitoa fahamu kuutetea ushetani wa CCM
Mimi nanufaika na nini? Mimi ni mzalendo ninae sema ukweli tu.
 
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana hawanaga ujanja bila hivyo vyombo vyao binafsi plus TBCCCM
 
Kama wewe unavyojiendekeza kwa Jiwe ili kusudi wanao waende chooni sivyo?
 
Na wewe ni msomi?

Kama Palamagamba,ama kama Lipumbavu?

Ni nahisi usomi wako ni wa Pierre Liquid kama sikosei
 
Sasa na wewe mbona umo humu?
 
Hahaha tunataka action, kusikitishwa haitoshi.
 
JF kuna watu huanzisha mada, wakiwa walishaloweka nguo hawana sabuni, wanatafuta mapovu! 😅 😅 😅

Mleta mada nahisi umeloweka mablanketi, maduvet, mataulo, mashuka, winter jackets, za huko Swiss Alps unatafuta povu la kufulia, siyo bure!🤣

Everyday is Saturday................................😎
 
Ingawa siipendi ccm
Ila umeongea fact
 
Uonevu wote unaotekelezwa na CCM wewe ni mnufaika namba moja.
minyoo naomba tuheshimiane. Kama kuna uonevu wewe ungekuwa unavuta bangi na kunywa konyagi huku unashinda Jf kuandika upuuzi na ushenzi kutetea maslahi ya matapeli wa kisiasa.
 
Too many plain calls are dysfunctional..

Such a soft statement cannot have any meaningful impact on a ruthless dictatorial regime like ours.

Only concerted stern actions or rather, firm statements stipulating required corrective measures within certain timeframes, outlining consequences for non performance can have any tangible outcome
 
Kama CHADEMA ni wachache namna hiyo na wapiga kura wengi ni wajinga na maskini hivyo ni mtaji wa CCM mbona ubabe na rafu wanazotumia CCM kujiweka madarakani ni kubwa kuliko porojo zako?
 
Mawazo ya kimasikini sana haya; mkuu unajua kuna watu wanasoma na kupata degree/vyeti through internet? unajua kuna watu wamejiari kupitia mitandao? Unafahamu kuna watu wanafanya biashara ya kuuza vitu vyao na wanaishi kwa njia ya hizo bidhaa wanazo uza through mitandao? Watu wanatangaza na kuuza bidhaa zao through whatsApp, telegram, instagram nk? Hivi unafahamu top richest people in the world sio wauza dhahabu, almasi wala vitu unavyo vijua bali ni watu wa soft were? Kuifungia mitandao kwasababu za CHADEMA na ccm ambao sidhani kama hata wanazidi 20 milioni ni wazo la kufikirika sana. Bt again, uchaguzi wa siku moja ni 5 years time ndio usimamishe shughuli za kimaisha kwa zaidi ya wiki? Wenzetu hua mnafikira kwa kutumia viongo gani vya mwili?
 
Ww hujui tu. Kule Lindi watu wa kawaida tu wasio na simu janja wameishikisha adabu ccm.

Kule Tarime kuna mahali mgombea wa udiwani wa CDM alishinda, wasimamizi wakaanza figisu Kama kawa ili watangaze wa ccm aliyeshindwa. Waliokuwepo wakapiga ukunga (yowe), wananchi kwa mamia wakaja na mishale, mikuki, nk.. wasimamizi wakanywea wakatangaza wa CDM aliyeshinda.

Hata hivo Kuna maeneo mengine huko huko policcm tokea mjini Tarime waliwahi kufika kabla wananchi hawajajipanga, wakashinikiza kutangazwa kwa maccm walioshindwa.

Kwa hiyo unakosea sana kusema wanamitandao pekee ndo hawataki ccm
 
Mkuu Safii Sana

Mimi natamani niyatukane, wakijazana humu Jamii forums wanajiona wao ndio wana Haki ya kushinda Uchaguzi, Wapiga kura halisi wako uraia

FALA SANA WEWE KAMTUKANE MUMEO
 
Yote uliyosema hujakosea kabisa...kama una unakumbuka ITV na televisions nyingine nyingi zilikuwa zinatoa midaalo kuhusu maendeleo na kujitambua kama mtanzania, hivyo vyote vimepigwaa marufuku au mada itakayo ongelewa itabidi ikachunguzwe kwanza alafu watu wajadilii,kwaiyo tatizo sio ujinga wetu sisi watanzania wenye hali ya kipato cha chini tatizo ni viongozi wetu waliopewa mamlaka ya kuwalinda watanzania na taasisi zilizo undwa kwa maslai yao.
 
Kwani kichwa chako ni kigumu kuelewa!Wao wanazungumzia dosari katika uchaguzi ambazo zilijitokeza,wewe unakuja na porojo zako!Jibu hoja kama kweli dosari hizo zilikuwepo au hazikuwepo!
Kama umeshindwa kutambua nilichoandika ni hoja je una uhakika gani kwamba utaweza kutambua nitakachokujibu ni hoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…