Uchaguzi 2020 Umoja wa Ulaya (EU) wasikitishwa na baadhi ya mambo katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

poor thinker, ichi ulichoandika ni upuuzi mtupu, sasa kama JF ina members milioni1 unafkiri ndivyo ilivyoanza? kila kitu umepotosha itikadi ya kisiasa ndiyo iliyokusukuma kuandika ulichoandika
nipe sababu ya kukujibu.
Pia niambie wapi hujaelewa.

Alafu hakuna sehemu Nimeandika itikadi za kisiasa ndio zimenituma kuandika kama ipo hiyo sehemu weka niione au utakuwa ulichoandika wewe ndio upuuzi namba moja sababu umepotosha.
 
Hizo hoja zako za kipuuzi ulizokuja nazo ndio umeona uko na hoja za maana kumbe upuuzi mtupu. Acha kujifanya desclipine master wakati huna lolote zaidi ya kujipendekeza kwa watawala.
Umejuaje mimi nimeona hoja zangu ni za maana bila wewe kuona ni za maana.
Kumbe hoja zangu ni za maana ila unajifanya kukataa mbeke ya keyboard.

Mnanishangaza nyie waafrika.
 
 
Umejuaje mimi nimeona hoja zangu ni za maana bila wewe kuona ni za maana.
Kumbe hoja zangu ni za maana ila unajifanya kukataa mbeke ya keyboard.

Mnanishangaza nyie waafrika.

Kaa kwa kutulia maana huna jipya.
 
I think they have concerns
I think they are making same comments regarding US Election lkn huwezi kuwasikia. Lakini always chaguzi za Afrika tu na whole idea kuzifanya haziwezi kuji manage.
 
Tunasubiri tamko rasmi la EU juu ya election fraud inayoendelea huko Marekani, Donald Trump anakataa matokeo kwa sababu ya wizi wa kura🙂
Hivi walikaribisha waangalizi wakimataifa?

It's a genuine question.
 
waambie wakimaliza kusikitika tanzania wakasikitike na marekani.
 
Tatizo wapinzani hawana mtu ambaye anaweza kusimama na kuongoza nchi, kwanza hawajiamini ndio maana wanasema ccm hawana viongozi au ni viongozi wabaya ila hao hao viongozi wa ccm wakitoka cccm wanapewa uongozi wa juu kweye upinzani, mfano lowasa , sumae nyarandu , membe na wengine, wanatakiwa wawe na msimamo na kujiamin ciyo kiongozi akiwa ccm wamuone mbaya lakini akija kwao anakuwa msafi, upinzani unajiua wenyewe kwa kuyumbisha wafuasi wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…