Umoja wa Ulaya (EU) watoa msaada wa bilioni 84 kwa Tanzania kuisaidia kusambaza umeme Vijijini na kwenda Zambia

Ila mkianza kuchanjwa kuondolewa vizazi na Bill Hates msianze kuruka tu, hela zao mnafurahia, lkn lazima mchanjwe na Bill Hates , ...
Mkuu ikija chanjo kachanje tu, kizazi chako kitakuwa salama tu.
 
Hela mmepewa na ufaransa au jumuiya ya Ulaya?? Hizo hela wametoa ufaransa kwa mgongo wa umoja wa Ulaya wala sio umoja wa Ulaya ndo mana hapo wapo wafaransa tu...
Jidanganye, jitekenye kisha cheka mwenyewe mkuu. Wawakilishi gani waliopo hapo.
 
Hata wakitokea hiyo misaada, msimamo wetu uko pale pale.Haramu ni haramu tu.

Hakuna fedha ya msaada au mmkopo inayoweza kulingana na utu wa mwanadamu, hivyo misaada au mikopo haiwezi kutunyamazisha wala ku-justfy uovu dhidi ya wanadamu....
Mungu wabariki wazungu...
Erythrocyte.
 

Kumbe pesa za mabeberu tamu!
 
Hyo SIO sababu ya kuhalalisha UJAMBAZI wenu
Hivi mnaamini kabisa kuwa chadema ndio jicho la nchi za ulaya hapa tz? Kwamba hawana mabalozi na wawakilishi waliopo field hapa tz?
Chadema bhana, ishakufa
 
Hapa tunaongelea Bilioni 84 za umeme sio barabara ya Chalinze. BTW, unafurahi tukikosa pesa?
 
Kimsingi wazungu wanaangalia maslahi yao zaidi kuliko ya mtu ,kwa kuwa kwao ni muhimu Sana kuwa na Tzn kwenye himaya yao kuliko kuiachia China ushawishi
 
HAUWEZI ukasema chadema imekufa you mliwaibia kura
Hivi mnaamini kabisa kuwa chadema ndio jicho la nchi za ulaya hapa tz? Kwamba hawana mabalozi na wawakilishi waliopo field hapa tz?
Chadema bhana, ishakufa
 
Hizi ni habari njema kwa nchi yetu.

Muhimu uwe ni msaada na si mkopo!

Hongera Rais Magufuli na watendaji wote mliofanikisha hili.


Magu kila siku anakuambia duniani hatuna wajomba wa kutusaidia, ---- hiyo ni mikopo watakayolipa wana Chadema, wana ACT na Wana CCM.
 


Hao ni wafadhili au mabeberu??!!
 
Rudisheni ruzuku ya nov mliyoipokea kutokana uchaguzi mlioubatiza "haramu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…