Nakuongezea mkuuNachopenda ni kuona tunaomba wakati huohuo tunajipiga vifua kuwa tunatumia za ndani[emoji23]
Nachopenda ni kuona tunakopa wakati huohuo tunajigamba tunaweza kukopesha[emoji23]....
EU wamegundua Tundu Antipas Lissu ni muongoKumbe sio mabeberu tena...
Haijalishi sisi tumepokea mpunga. Wakitupatia bila ya masharti ya kipuuzi ni washirika wa maendeleo, ya kijinga ni mabeberu
Kumbuka hao kuna wakati wanakuwa Wafadhili na kuna wakati wanakuwa mabeberu.Tanzania Serema, na Magufuli serema!!!
Pesa zao tunazitaka, Ila masharti ya kijinga hatuwezi kuyavumilia
Hao was ulaya mnawaitaje vile?Hizi ni habari njema kwa nchi yetu.
Muhimu uwe ni msaada na si mkopo!
Hongera Rais Magufuli na watendaji wote mliofanikisha hili.
Pole sanaHata wakitokea hiyo misaada, msimamo wetu uko pale pale. Haramu ni haramu tu....
Eeeh sasa dona kantri na misaada wapi na wapiSisi no donor country!
Hata wakitokea hiyo misaada, msimamo wetu uko pale pale. Haramu ni haramu tu.
Hakuna fedha ya msaada au mmkopo inayoweza kulingana na utu wa mwanadamu, hivyo misaada au mikopo haiwezi kutunyamazisha wala ku-justify uovu dhidi ya wanadamu.
Vile vile, wakiamua kutoa misaada na kwa vyama vya siasa, tusisikie mnawaita mabeberu huku fedha zao mnapokea.
Wazungu hawa wakisimama upande wa haki, tutwaunga mkono, na wakisimama upande wa dhuluma, tutawapinga.
Nitasimama upande wa haki hata kama shetani ndio atakuwa anatoa haki hiyo, na nitapinga dhuluma hata kama inatoka kwa au ina mkono wa malaika.
Mwisho, wazungu hawa angekuwa na roho za chuki na visasi kama wakoloni weusi, hiyo misaada na mikopo wasingeitoa kwa jinsi wanavyodhalilishwa kwa kuitwa mabeberu huku Kabudi akiwatolea maneno yasiyofaa.
Msisahau na za matundu ya choo kwa watoto wetu huko St. Kayumba.
Nyinyi ni fungu la kukosaHata wakitokea hiyo misaada, msimamo wetu uko pale pale. Haramu ni haramu tu.
Hakuna fedha ya msaada au mmkopo inayoweza kulingana na utu wa mwanadamu, hivyo misaada au mikopo haiwezi kutunyamazisha wala ku-justify uovu dhidi ya wanadamu.
Vile vile, wakiamua kutoa misaada na kwa vyama vya siasa, tusisikie mnawaita mabeberu huku fedha zao mnapokea.
Wazungu hawa wakisimama upande wa haki, tutwaunga mkono, na wakisimama upande wa dhuluma, tutawapinga.
Nitasimama upande wa haki hata kama shetani ndio atakuwa anatoa haki hiyo, na nitapinga dhuluma hata kama inatoka kwa au ina mkono wa malaika.
Mwisho, wazungu hawa angekuwa na roho za chuki na visasi kama wakoloni weusi, hiyo misaada na mikopo wasingeitoa kwa jinsi wanavyodhalilishwa kwa kuitwa mabeberu huku Kabudi akiwatolea maneno yasiyofaa.
Msisahau na za matundu ya choo kwa watoto wetu huko St. Kayumba.
Wapuuzi tu nyie, nchi maskini si muhameRudisheni hela za mabeberu kama mna ubavu. Ki-nchi masikini ila majigambo utadhani kina uwezo! Pathetic!
Si munaita mabeberu leo sio mabeberuHao jamaa wa Ufipa hawakawii kukwambia kuwa mikataba iliishaniwa enzi za Mzee Mwinyi ndio maana wameleta mkopo. Ahahahahahahahah!
Vp hawa sio MabeberuCC Zitto na Lissu kokote walipo maana kila wanalofanya wanapuuzwa kuanzia ndani hadi nje ya nchi.
Akili fupi,Beberu ni mbuzi dume, kama wao wakiwa mabeberu na nyie kwa wakati huo mnakuwa nani?
Ulishawahi kupitia bajeti ya nchi au unaongea tu kama upo kijiwe cha gahawaMsimseme TL,nchi Haina pesa,
Nyie wazungu mnawaita mabeberu,sasa kwanini pesa zao mnachukua,zile mbwembwe za jiwe kwamba TZ, ni donor country,na kwamba tunajenga miradi kwa pesa za ndani,zimeisha,sasa hv ni kutembeza bakuri tu,