Pre GE2025 Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vyama 14 lakini wanachama wake hawafiki hata elf 3 nchi nzima kwa ujumla
Mbona mbali huko.Wakishtukizwa wajitambulishe usishangae kati ya vyama hivyo 14 wakapatikana watu 12.Hutokea mara nyingi wakati wa kujitambulisha ndiyo wanaanza kunong'onezana..."usisahau wewe utajitambulisha kama ...(-)..!Kwa ufupi hivyo vyama kiuhalisi,havipo.
Na hata hayo wanayoyaeleza ni uongo waliotungiwa wauseme na watu wa CCM.Wanajua CCM inajua u-fake wao wakikataa maagizo wataumbuliwa na kukosa riziki za familia.These people are purely thieves and heathens as well. Believe it or don't!
 
Hivi ni vyama gani kwanza vile vya kwenye frash au sio tukutane 24,

Unakuta chama hata wanachama mia walio hai hakuna shame on them
 
wapumbavu hao
 
"Wale" wameitisha maandaamano kwa lengo la kupaza sauti kwa niaba ya wananchi, "wao" wanapinga maandamano kwa niaba ya nani?
 
Ruzuku ya CDM ni 130M ya CCM ni 3B hakuna anayetaja ya CCM watu wanatolea macho 130 ya CDM sababu ya mafanikio yake
Siitetei CHADEMA, na sidhani kama itakuja kutokea niitetee Chama fulani. Lakini naamini, hata bila hiyo 130m, bado CHADEMA ingesurvive!
 
Halafu huyo Mwenyekiti wao anadai baada ya leo watakutana kupanga maandamano ..... sasa anapinga maandamano ya CDM halafu wanataka kupanga maanamano mengine .... ya kupinga maandamano ya CDM sijui!!?
Nao wanataka kupanga siku yao ya kuandamana?

Kwa hiyo wanayapinga ya wenzao kwa kuwa yatafanyika siku ya "usafi" au wanawaonea wivu?
 
chadema wanacho hitaji ni machafuko ndani ya nchi hilo halita fumbiwa macho wallah
 
..au wale vijana waliovaa sare za Cdm na kuita press conf wakidai hawataki Katiba Mpya.
Wakati mwingine Siasa za nchi hii zinatia kichefuchefu! Sijui ni kwa sababu watu wengi wangali "wajinga" au ni njaa tu😀
 


Maandamano ni haki ya Raia tatizo ni nini? Kama wewe hutaki kuandamana kaa nyumbani acha watu waandamane ni uhuru wao.
 
Huo umoja wenyewe unatumbulika kwa wananchi?

Hawaoni kuwa kwa kufanya hivyo ndiyo wanazidi kupaisha CHADEMA kisiasa?

Utakuwa ni mchuano wa CHADEMA vs Serikali na washirika wake: CCM na vyama 13 vya siasa.

Kwa mantiki hiyo, watakuwa wanatoa ujumbe kuwa CHADEMA ni very powerful hivyo namna pekee ya kuikabili ni Serikali na vyama vya Siasa kuungana kuipinga.
 
Huu ni umoja wa machawa ya yule mchafu
 
Chama cha upinzani ambacho ni pinzani wa Chama kikuu cha upinzani!! Kna wkt nliskia ilikuwa ili kiandkishwe, Chama ni lazma kikubalike Zenji pia. Sjui kama hiv navo vilipata usajili huko. Vngefikaje? Havikua na nauli!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…