Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

Uzuri wa mke wake una uhusiano gani na huo mkutano. Mwanaume kamili huwezi kuwa na ujinga wa kusema mke wangu mzuri hata kama ni kwenye vijiwe vya kahawa tu.
yule mdada engineer alimtesa sana makonda kisaikolojia hadi kasema vile,mara kaanza mkulinganisha na mke wake
 
Mary Chatanda atakuwa ametumwa atoe tamko kama hilo 👁

Sisi tuliosomea Cuba na USSR tumeshafahamu whats cooking 👁😂

Individually Mary Chatanda asingekuwa na courage hiyo !

After all mtu kusema mimi nina mke tena mzuri sioni kama ni udhalilishaji 👁🙄😷
tena atakuwa katumwa na chadema siyo bure
 
kati ya mkuu wa mkoa na yule dada nani alikuwa anamdalilisha mwenzake .tuanzie hapo.maana tumezoea kuitwa waheshimiwa.mfano unapoongea na mkuu wako lazima utangulize neno mheshimiwa.......lakini yule dada alikuwa mara nyingin hasemi ..mheshimiwa mkuu wa mkoa.nafikiri ndiyo maana mh Makonda akakasiririka .alikuwa naongea kama kweli anaongea na mchumba wake.

anywhere ,tusiangalia mabaya kidogo yaliyofanywa na Mheshimiwa makonda ,bali tunayakuze mema zaidi kwa ajiri ya chama chetu.Hivi kati ya yule dada na Mh Mankonda nani ni wa kuamini sana kuwa ni mwana CCM wa kukifia chama? CCM mjue kuwa kuna kikunda kinapambana kuona Makonda anaondolewa CCM kwa maslahi yao na si maslahi ya CCM
huo uheshimiwa muitane mkiwa kwenye vikao vyenu vya ccm
 
WaTanzania hamnaga akili! Huyu makonda mnae-mjudge kwa vitu vyepesi hivi mtakuja kumkumbuka.
 
Makonda mwoga sana,anapiga mayowe na kumtajataja Rais ili apate kinda. Angekuwa mwamba wala asingejibishana nao yeye angepiga kimya tu liwalo na liwe.
 
Watanganyika sikilizeni hi video
 

Attachments

  • VID-20240527-WA0033.mp4
    11.8 MB
  • VID-20240528-WA0009.mp4
    17.1 MB
Makonda Magogoni 2025 na Silaa waziri mkuu,nchi ingefanana na nchi za ulaya.

Tupeni Hawa vijana CCM kama mnatupenda
 

Attachments

  • 5728172-221084fb768f69a4a784a0e2340c6553.mp4
    2.7 MB
Kila Halmashauri zenye ded jinsia Ile Zina matatizo na wizi mkubwa.
1. Monduli
2. Mwanga
3. Moshi manispaa
4.
 
Baada ya kufuatilia ziara yako kwenye halmashauri za Karatu, Monduli, Longido na Arumeru, nimebaini changamoto kadhaa zinazosababisha utumiaji mzuri wa fedha za umma.

Kimsingi, nimegundua kuwa fedha za umma zinatumwa kwa halmashauri hizi, lakini wakuu wa idara na wakurugenzi ambao ni wamama hawana uzoefu na umakini wa kusimamia miradi ya halmashauri kwa ufanisi. Hali hii inasababisha kuwa fedha hizi mara nyingi huhamia mikononi mwa wanaume ambao ndiyo wadukuzi wa mifumo na wizi wa fedha hizo.

Kwa hiyo, ninapendekeza serikali ijipange upya katika kuwapata wakurugenzi na wakuu wa idara kupitia usahili na uzoefu wa muda mrefu. Hatua hii itasaidia kuhakikisha kuwa fedha za umma zinatumika ipasavyo na miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.

Natumaini mapendekezo haya yatazingatiwa na kutekelezwa ili kuboresha usimamizi na matumizi ya fedha za umma katika halmashauri hizi. Pia natoa shukrani kwa kazi nzuri unayofanya katika kuimarisha maendeleo ya mikoa yetu.
 
Baada ya kufuatilia ziara yako kwenye halmashauri za Karatu, Monduli, Longido na Arumeru, nimebaini changamoto kadhaa zinazosababisha utumiaji mzuri wa fedha za umma.

Kimsingi, nimegundua kuwa fedha za umma zinatumwa kwa halmashauri hizi, lakini wakuu wa idara na wakurugenzi ambao ni wamama hawana uzoefu na umakini wa kusimamia miradi ya halmashauri kwa ufanisi. Hali hii inasababisha kuwa fedha hizi mara nyingi huhamia mikononi mwa wanaume ambao ndiyo wadukuzi wa mifumo na wizi wa fedha hizo.

Kwa hiyo, ninapendekeza serikali ijipange upya katika kuwapata wakurugenzi na wakuu wa idara kupitia usahili na uzoefu wa muda mrefu. Hatua hii itasaidia kuhakikisha kuwa fedha za umma zinatumika ipasavyo na miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.

Natumaini mapendekezo haya yatazingatiwa na kutekelezwa ili kuboresha usimamizi na matumizi ya fedha za umma katika halmashauri hizi. Pia natoa shukrani kwa kazi nzuri unayofanya katika kuimarisha maendeleo ya mikoa yetu.
 
Baada ya kufuatilia ziara yako kwenye halmashauri za Karatu, Monduli, Longido na Arumeru, nimebaini changamoto kadhaa zinazosababisha utumiaji mzuri wa fedha za umma.

Kimsingi, nimegundua kuwa fedha za umma zinatumwa kwa halmashauri hizi, lakini wakuu wa idara na wakurugenzi ambao ni wamama hawana uzoefu na umakini wa kusimamia miradi ya halmashauri kwa ufanisi. Hali hii inasababisha kuwa fedha hizi mara nyingi huhamia mikononi mwa wanaume ambao ndiyo wadukuzi wa mifumo na wizi wa fedha hizo.

Kwa hiyo, ninapendekeza serikali ijipange upya katika kuwapata wakurugenzi na wakuu wa idara kupitia usahili na uzoefu wa muda mrefu. Hatua hii itasaidia kuhakikisha kuwa fedha za umma zinatumika ipasavyo na miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi.

Natumaini mapendekezo haya yatazingatiwa na kutekelezwa ili kuboresha usimamizi na matumizi ya fedha za umma katika halmashauri hizi. Pia natoa shukrani kwa kazi nzuri unayofanya katika kuimarisha maendeleo ya mikoa yetu.
 
Aliyeiweka hospital ya mirembe mkoani Dodoma hakukosea akaweka na ukumbi wa bunge mjini Dodoma. Mungu ambariki sana.
 

Attachments

  • VID-20240529-WA0005.mp4
    7.2 MB
  • 5729399-6eda963cd4ef758fbb31352f6fc296a3.mp4
    1.7 MB
Wanawake wana vituko na wivu wakijinga sana na huenda kuna Kundi lina watumia hawa wa mama to save their interest sasa mtu kusema Nina mke nzuri ndio kusema kusema kwamba tumechoka na tabia hii ya uzalilishaji kwa wanawake as if spana anazopiga Makonda hapo Arusha kwa watu wazembe wanaofanyiwa hivyo ni wanawake peke yao.
 
Back
Top Bottom