Uliamini kwakua umeambiwa uamini au kwakua ulikuwa unaangalia facts?
 
Kwann mnamwonea bashe?tulikuwa hatuwasikii mawaziri wa kilimo ni km hyo wizara haipo,leo iko kwa bashe mnatupia mawe. why? huyu jamaa ni mchapakaz napia ni hodari.bashe piga kazi wache wapige kelele watanyamaza
Kuwajibu hawa ni sehemu ya uchapa kazi wake kwa hiyo ni matarajio yetu kuwa atawajibu
 
Hapa hata Mimi nilishangaa sana, japo na support utetezi wake kwasababu ya facts za Mpina, lakini kwenye watanzania hapana, hakutenda haki
 
Mpina hawezi kumalizika kirahisi hivyo.

Spika Tulia ameamua kulinda ufisadi
Spika Tulia anatoka chama gani?

Mpina anatoka chama gani??

Wabunge waliopo bungeni 99.9% ni chama gani??

Nani ali-engineer bunge kibogoyo la namna hii?

Kwenye hii angle najua utaruka ila mkitaka asifiwe pia mkubali kuna mahali pia amelifikisha taifa hivyo mtulie tu.

Samia ni mrithi wa huyo shujaa wenu na karithi 100% ya watu wake.

Nyumba inawaka moto wakati mlimuona mtu kaingia na sigara iliyowaka ndani halafu kaiangusha kwenye sponge halafu mseme hamjui moto ulianzia wapi?

Who is fooling who??
 
Kwann mnamwonea bashe?tulikuwa hatuwasikii mawaziri wa kilimo ni km hyo wizara haipo,leo iko kwa bashe mnatupia mawe. why? huyu jamaa ni mchapakaz napia ni hodari.bashe piga kazi wache wapige kelele watanyamaza
Kuchapa kazi ndio wajibu wake na analipwa kwa hilo. Hivyo hilo halimhalalishii kujingiza kwenye ufisadi
 
Nitakuwa mtu wa ajabu kuamini Ame Mpunga wa Iilovo na Seif A Seif wa Kagera/,Mtibwa ni watu Safi hawatafuti super profits na wana huruma kubwa na wananchi.
 
Reactions: Ame
Nitakuwa mtu wa ajabu kuamini Ame Mpunga wa Iilovo na Seif A Seif wa Kagera/,Mtibwa ni watu Safi hawatafuti super profits na wana huruma kubwa na wananchi.
Wanatafuta kwenye kuzalisha na siyo kuagiza sukari
 
Reactions: Ame
Bashe alitaka kuwaangishia jumba bovu Watengeneza sukari naona wamekataa
 
kuna wakati namwelewa mpina, na kuna wakati namwelewa msomali. wafanyabiashara wa sukari kila mwaka wamekuwa wakihodhi ili bei ipande, walimonopolize sana soko, na kwa wenzetu waislam, kila mfungo ukija huwa wanajiandaa kupanda sukari kwasababu wafanyabiashara wanajua tu lazima watu watakunywa sukari, uji au kuweka sukari kwenye vitafunwa au tambi n.k wanapandisha sukari, masikini wanateseka mno. hivi wewe kama ni waziri, kwanini usiagize sukari hata kwa kuvunja vifungu ili kukomoa wafanyabiashara?

nikurudi kwa mpina,anapotoa tuhuma kwamba inawezekana kuna kina abdul wameongeza kabei ambako kanaenda mfukoni mwao, hapo naogopa naona tena bora wafanyabiashara. hili jambo liwekwe wazi. tuna maslahi nao wananchi.
 
Mpina yuko sahihi 100%

Huyu nsomali afukuzwe aende anakokujua!
 
Watoto wa 2000 hamumjui huyo Balozi msitaafu tunayemjua tunajua ni mtu wa namna gani.
 
Hapa sijapaelewa vizuri.ina maana huwa tunauza sukari nje ya nchi?
Hivi viwanda kiutaratibu kipindi cha low season hupewa vibali na serikali waagize sukari ije nchini kutoka nchi nyingine.

Lakini kwa wakati huo hawakupewa vibali kwa wakati. Bila shaka hili lilisababisha pia upotevu wa sukari sokoni. Ila wao kwa kutumia ukubwa wao, kuna meli ilikuwa inapeleka sukari nchi nyingine, hivyo wakajiongeza ilete hapa nchini wakati wakiendelea kufuatilia vibali.

Sisi kuuza nje sio rahisi, maana nchi jiran kwanza wanasukari bei nafuu.
 
hivi mkuu haya maelezo yanakuingia akilini? yaani uagize meli ya sukari huyui inaenda wapi? vipi wangenyimwa vibali ingekuwaje?

kwanini ahusishe biashara ya vocha na bishara ya sukari hizi ni bidhaa mbili tofauti na sio substitute, kwanza upuuzi wa kukagua wamama kwa kutumia mbwa kule tanzania one hatujasahau, kuwavua nguo vijana wetu na kuwamulika kwa ct scan kuona kama wamemeza zanzanite hatujasahau, halafu anatupiga kwenye mshono, no way
 
sijaelewa, kwenye maelezo yako unaelezea ishue za ujinga, upi? nani unaona ni mjinga mie au nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…