Wanakuwaga wagumu hao kuelewa somo; kwa ule ushahidi wa Mpina hayuko peke yake nyuma yake kuna kundi.

Kwa kifupi Bashe ongea na ‘bi-tozo’ gurudumu la ufisadi kilimo ampe mtu mwingine akutoe hapo kwa usalama wako. Jamaa wamekuchoka na ujambazi unaofanya huko, uamini subiri.

Report ya CAG kila ikija imeja madudu ya upigaji sehemu zenyewe unakuta Bashe ndio alilazimisha hela zipelekwe huko.
 
Mjinga huyu, dalali anayetumiwa kufanya lobbying serikalini, alianzia Tanzanite. Hii kampuni ya Kilombelo ndio Mkapa aliichukua kwa mgongo wa wananchi.

Hawa wajinga ndio wamemuhonga Mpina na kulipia vyombo vya habari kila kimoja 10,000,000
 
Ndugu yangu Balozi Mpungwe kasema ukiona watoto wa Simba wanacheza pekee yao kuwa makini!,

Je unakijua kisa Adolf Mkenda kutolewa kwenye hiyo wizara huku akiitwa NOSENSE . Tafuta hiyo clip na ujiulize kwa nini alitukanwa tusi kubwa hivyo mbele ya wageni IKULU

Nchi hii sasa ni rasm inaongozwa na Magenge ya wahalifu watukutu kwa koti la siasa na Demokrsia.
Kwa hiyo Bashe ni KATAWI tu kwenye hiyo genge la WAHAINI wa nchi hii.
 
Siku moja uwe na ujasiri wa kutueleza Abdul na genge wanatumia pesa kutoka wapi. Wafadhiri wa Kiarabu?

Wataweza kuwanunua waTanzania wote?
 
Madam ,hivi hili suala la Kampuni za Vocha n Vistationery ' kioewa kibali Cha kuuagiza Sukari wewe uknakizungunziaje,au ni uzushi wa kina Mpina na Lissu'"?
Kama wana fedha na wameweza kuleta tatizo nini?

Hata Azam ana mashamba ya sukari lakini anauza mandazi.

Ni poyoyo tu asiyeelewa kuwa moja ya biashara kubwa ni vocha Tanzania hii.
 
Tano, kasema Sukari bidhaa nyeti hivyo haiwezi kupakiwa tu kwenye meli yoyote iso na sifa ya kubeba chakula.

Na pia kawashauri watu wa media wakasome tena waelewe maana ya neno Cartel maana lina maana yake mtambuka.
Balozi hakunishawishi sana; isingekuwa maelezo ya ziada ya ufafanuzi yaliyo tolewa na huyo mwingine, ningeanza kuwa na mashaka juu ya huu ushirika wa hawa wenye viwanda. Hizi habari za "bidhaa nyeti na upatikanaji wa meli ni hoja hafifu sana..

"Cartel" haina maana ya zaidi ya ushirikiano wa wachache wanaotumia nafasi zao kujinufaisha dhidi ya kulinda maslahi ya watumiaji bidhaa husika.
Hawa watu wa sukari wanaweza sana kujenga 'cartel' kama udhibiti haupo.
 
Huwezi kuelewa kwa sababu unaangalia juu juu tu. Ni lazima uunganishe dots ili uelewe!
 
Ai
Mkuu wa kundi kubwa la wahalifu wa Marekani na Italia (Mafia Cartel) huitwa Capo di Tuti Capi (boss wa maboss)
Ami Mpungwe ndiye alikuwa mwenyekiti wa Tanzanite One kipindi madini hayo ya kiuzwa duninia na Africa Kusini alipokuwa balozi kuliko Tanzania yanapo chimbwa hadi mgodi ulipokauka akasepa.
Sasa Don Ami kahamia kwenye mgodi

mwingine uitwao sukari na kampuni ya Africa Kusini pia. True definition of Capo .
Sufiani wa Bagamoyo ana jiingiza kichwa kichwa kwenye haya mambo ambapo Bagamoyo sugar bado hawana clue sugar Cartel kwa Ina muda mfupi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…