Umoja wa wazalishaji wa sukari Tanzania (TSPA) Wajitetea kuhusu kupanda kwa Sukari. Hawajawahi kuficha Sukari, Si kazi yao kuagiza Sukari nje
... CAT OUT OF THE BAG!
Kuna siku panya walifanya kikao cha kutafuta namna ya kumdhibiti paka ili asiendelee kuwa tishio kwao na kuwamaliza.

Panya wakaja na azimio kwamba watengeneze kengele na kisha kengele hiyo wamvalishe shingoni paka ili iwe rahisi kufahamu nyendo zake na wawe wamestushwa kuwa paka yupo around.

Lakini kazi ikawa ni namna panya hao watavyoweza kumvalisha paka huyo hiyo kengele.

Hivyo hilo tatizo bado (la paka kuwala panya) limeendelea hadi leo kwasababu hakuna panya alie tayari kumvalisha paka kengele.
 
Wanasiasa wengi wapo out of touch na wananchi ambao ndo waajiri wao.

Wameamua kuwatumia wananchi haohao kuwa mitaji ya upigaji wao.

Huwezi kuvunja sheria ya sukari kwa kumpa muuza vifaa vya ofisi zabuni ya kuagiza sukari, tena wampa kibali karibu na muda wa kuaguza sukari hiyo kwisha.

Mwisho wa kuagiza sukari kutoka nje ilikuwa ni mwezi Mei 2024.

Ndo maana askofu Bagonza kasema wanasiasa hawa wailizwe na wapiga kura wao wamefanya nini kwenye majimbo yao ifikapo wakati wa kampeni.
Yule ndio bagonza kanifurahisha sana,

Kila mbunge akisimama ni shukrani kwa raisi, raisi kafanya hiki kafanya kile sasa wakija kwenye uchaguzi waulizwe wao wamefanya nini 🤣😂
 
Yule ndio bagonza kanifurahisha sana,

Kila mbunge akisimama ni shukrani kwa raisi, raisi kafanya hiki kafanya kile sasa wakija kwenye uchaguzi waulizwe wao wamefanya nini 🤣😂
Yaani Generation Z iwe reference kwa sisi wapiga kura wa Tanzania.

Hakuna vurugu wala kero shughuli yote kwenye kumsikiliza mbunge wakati wa kampeni na kisha kumpa masuali ajibu, kafanya nini kwenye jimbo lake na kaleta maendeleo yepi bungeni na yaonekane kwa mifano hai.

Yaani atoe mchanganuo mzima kafanya hiki na hiki na sio hiki na kile.
 
niko kazini sina earphone, kasema nini huyu mwamba ?

Tatizo Spika Tulia bunge haliwezi.

Tofauti ya Tulia na kina Mkwawa, Msekwa, Sitta, Makinda ni kwamba hawa

1/ hawakupewa U-Spika na mamlaka za nchi

2/ walitokea sehemu nzito serikalini ambako walishajijengea heshima na hivyo hawakuiogopa sana serikali

Ndugai hakutokea serikalini lakini alishakaa bungeni miaka lukuki ambako palimjengea uhuru na uwezo japo kiasi kwa saab hakujiona kama ni chombo cha serikali


Tulia kaokotwa jalalani chuo kikuu, kalala mwalimu, masikini kapuku, kaamka spika wa bunge la watu milioni 60.... Kwa hiyo ni mnyenyekevu, mjipendekezi, obsequious, lap dog, mbwa wa mapajani, kwa mamlaka zilizomtoa jalalani. Ndio maana anachemka. Hata taaluma ya sheria kaweka pembeni.

Mpina kamchambua uwezo wake mdogo wa kisheria, kasema sheria aliyotumia Spika kum punish ni sheria ya vyombo vya habari vinapo cover bunge, sio mbunge anapoongea mitaani. Tulia Ackson is worst speaker in the history of legislature.

Tulia ni Spika bora kuwahi kutokea bongo kwa mizani yote. Huo ndo ukweli. Anything short of that ni chuki binafsi tu.
 
inamaana sukari ikiingia haita kaguliwa na shirika la viwango nchini (Tbs)?
Hakuna shida kuleta sukari nchini isipokuwa sheria ya uagizaji sukari kutoka nje ifuatwe na waagizaji wawe ni wale wenye viwanda nchini, period,

Sasa mwenye kuuza stationaries aendelee na biashara ya stationaries ok?

Wenye viwanda wana sourse ya suppliers na wana uzoefu na uhakika wa kupata sukari bora na salama.

Wapigaji hawana source ya suppliers uzoefu na pia wanaweza ingiza nchini sukari iso bora na salama kwa matumizi ya binadamu, period.
 
Hali ya Bashe sasa itadhidi kuwa mbaya baada ya Kilombero Ssugar kutema cheche


View: https://youtu.be/6MEvRMkDrW0?si=rgGZ18xvLqC57ii2


Hapa ni lazima Baze avukuzwe .
Mwikulu avukuzwe.
Speke ajuzuru kwa kulinda wezi wa fedha za humma.

Doro Buseko afukuzwe kwenye nafasi hewa ya unaibu PN.
Cheo hewa cha Doro Buseko kipo kwa ajili ya kumzuia PM wa ukweli na wa katiba asifanye kazi ya kuzuia wizi na uhuni wa Mawhasiri .

Tangu Doro Biseko amewekwa pale kwenye nafasi hewa biashara hewa na michongo imeongezeka sana.
Anapaswa kuvukuzwa haraka sana.
Whasiri wa viwhanda na viasara naye avukuzwe araka.
Whavunge wote wasiruusiwe kukanyaga jengo la Vunge kuanzia zaza.
Turua Axzon muzt go immediately.
She is a real devil agent.

Maimai hana kabisa sifa ya sio tu kugombea bali hata kuchukua fomu ya kugombania uraiz 2025.

Mpina arudishwe Bungeni na aombwe razi.

Nilijiuliza wale wabunge waliokua wanawakashifu wamiliki wa Viwanda vya sukari kwenye jengo tukufu la Bunge kwa nini hawakusikiliza upande wa pili.

Mzigwa naye amelamba Sukari .

Sukari hoyeee!
Vocha hoyeeee .
Makunguni na machawa na machawi yote ziiiiii.

Hii msg ni kwa hisani ya robot la Nepi!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mpaka sasa nimewasikiliza jwa dakika 30, naendelea kuwasikiliza lakini cha kusikifisha wanaongelea siasw na porojo nyingi. Kuwa "watazalisha" sukari ya kutosha kuanziq mwaka huu.

Pambaf kabisa, walikuwa wapi siku zote mpaka Bashe kaja kuwatia vidole vya masikio ndiyo wanasikia kuwa Watanzania wameathiriwa na bei za sukari?

Hawa wazalishaji hawatakiwi kutupigia porojo, wanatakiwa wazalishe sukari ishuke bei.

Ujinga mtupu.
Madam ,hivi hili suala la Kampuni za Vocha n Vistationery ' kioewa kibali Cha kuuagiza Sukari wewe uknakizungunziaje,au ni uzushi wa kina Mpina na Lissu'"?
 
Tulia ni Spika bora kuwahi kutokea bongo kwa mizani yote. Huo ndo ukweli. Anything short of that ni chuki binafsi tu.

Unaangalia vyeti vyake au unaangalia Nchi kwanza.
Huyu atalipelleka taifa hili kubaya sana . Huyu kama ingekua kenya angsababisha jengo letu ligaribiwe . Yule ni wakala wa shetani kamili kama hujui.

Shetani anatumia watu wenye elimu kubwa kiuharibu ulimwengu kwa mbadilishano na madaraka na ufahari.

Shetani alitaka mpaka Yesu amsujudie kwa ahadi ya kumpa fahari na milki ya dunia.
Kama ulimsikiliza Tulia alisema kuwa yeye anaheshimika sana duniani kwa hiyo mpina amemdharau.
Pale aliweka Chuki mbele.


Kiongozi ni pamoja na kuwa na Busara sio kusoma tu kama ni Elimu hawejamzidi Prof. Kabudi. Wala Mwabukusi inreality ni kiburi cha pesa tu alicho nacho na mgongo wa dola la CCM . Ni mtu wa kawaida sana kuliongoza Bunge. Kuna akina Rose Migiro wamekua mpaka Naibu katibu mkuu wa UN lakini hakua na Kiburi .

Yupo Prof . Tibaijuka ni msomi nguli aliyekua mkurugenzi wa makazi duniani nafasi ya kisomi sio siasa za matapeli wa dunia lakini alikua mstarabu na alikiri alipokosea na kama alipewa pesa isivyo halali alirudisha . Tulia analinda wizi mkubwa na pia anatumia nguvu kubwa sana kulinda heshima yake hata kule mbeya ni rushwa tupu.

Mtu kama Tundu Lisu angekua ni Chawa wa CCM nadhani dunia hii angetambulika kama mwanasheria Bora kabisa duniani. Na machawa wote na wachawi wote na majini yote ya CCM yangejitokeza kumtukuza.
 
Madam ,hivi hili suala la Kampuni za Vocha n Vistationery ' kioewa kibali Cha kuuagiza Sukari wewe uknakizungunziaje,au ni uzushi wa kina Mpina na Lissu'"?
Huyu ni mtu wa ajabu sana achana naye . Ukiona mtu kichwa kinapinga na kuona mtu kama Balozi kwa sababu ya kumshabikia Msomali aliyekuja kutuibia kwa sababu anaona tumelala basi msamehe bure. Balozi ni mzoefu mkubwa kwenye sekta hiyo bashe ni mwanasiasa tu mbinafsi .
Angekua kwao Somalia akajaribu kuiba leo angekua ameshakatwa shingo!

Balozi ameeleza vizuri sana ni wehu tu wasiotaka kukubali . Na laiti Tanzania ingekua ni nchi yenye wasomi walioelimika na kuwa na uchungu na nchi yao basi CCM na bunge lake na rais wake wangekua wana wakati mgumu sana Mwaka huu na mwaka kesho na ungekua ndio mwesho wa kiburi chao na wizi na hujuma ya makampuni ya na taasisi za umma na hata binafsi .

Nilijiuliza hivi kweli sukari Tani Elfu 60 inaweza ikaagizwa na wauza vocha na makava ya simu ikasmbazwa nchini kweli halafu bei isishuke . Tani Elfu 60 toka brazili bei isishuke kweli . ?!!

Sukari haikuingia bali ni ujanja na usanii wa kundi la bashe na wajanja wenzake kutafuta pesa za kuwanunua wapinzani na uchaguzi ujao. Full stop.
 
Back
Top Bottom