financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Yaani atatahiriwa bila ganzi?? Duh 😌😌 hayo maumivu yake, itakuaje?Kuhusu umri not so sure ila bila shaka miaka mitatu,minne hadi sita ila isizidi kumi sio mbaya coz sisi kipindi hicho tulicheza humo......
What i know binafsi siwezi mtahiri mtoto hospitali yani sijui kushonwa sijui ganzi kwenye hiyo kitu ni BIG NO,niliwahi kupata ajali ya mguu karibu miaka miwili iliyopita nikashonwa ila ile ganzi till now haijapotea ndo iwe huko kwenye hazina kuu kweli? Haya matatizo sijui ya nguvu za kiume sijui na takataka gani huanzia huku....Binafsi sijawahi ona mtu mwenye tatizo la aina hiyo ambaye alipata jando la asili na kama yupo humu atoe ushuhuda.
[emoji3][emoji3]au sio..anamuacha mpaka 20yrs na govi lake tu..Usimpleleke jando mapema mpaka afike 18 maana akibalehe ataanza usumbufu ,akiwa ana govi mawenge ya kwa vibinti yanakuwa sio sana
Umri wowote ukiona amenza kudisa, mtahiri ili aanza kujifunza kukitumia mapema.
Jamani wadau nisaidieni mwenye kujua haya mambo, ni umri upi unaoshauriwa kitaalamu kumtahiri mtoto wa kiume, na je kuna njia ngapi za kufanya hiyo kitu.
Maana kuna maneno yanasema eti ukimfanyia akiwa bado mdogo kuanzia miaka 0 hadi mmoja eti atakuja kuwa dhaifu katika ile shughuli ya kikubwa, wengine wanasema ukimfanyia kakua ndio hiyo kitu itamtokea akiwa mkubwa
Pia njia ipi ni salama zaidi mimi najua ya kukata na kushonwa naambiwa ipo nyingine yakufunga na plastiki, je ipi ni nzuri?
Nategaemea msaada wenu waungwana, maana kunasehemu nilisoma eti matatizo mengi ya wanaume kushindwa kuwatimizia wepenzi wao tohara isiyo sahihi ni moja ya sababu
Ndi wanaume wetu wakipata hayo maumivu wakija tunawapa 'chululuu' ili wasahau waliyopitia.Yaani atatahiriwa bila ganzi?? Duh 😌😌 hayo maumivu yake, itakuaje?
Boarding hatokaa kwa Amani[emoji3][emoji3]au sio..anamuacha mpaka 20yrs na govi lake tu..
Hivi ulienda likizo wapi,Yaani atatahiriwa bila ganzi?? Duh 😌😌 hayo maumivu yake, itakuaje?
Yaani atatahiriwa bila ganzi?? Duh [emoji18][emoji18] hayo maumivu yake, itakuaje?
Nipo mkuu, how are you?Hivi ulienda likizo wapi,
Nimekusaka mpaka kwa kutumia vyombo vya habari sikufanikiwa kukupata.
Am fine, unataka kuniambia kuwa hukuwa kwa adui yangu.Nipo mkuu, how are you?
Adui gani tena mkuu? 🤪Am fine, unataka kuniambia kuwa hukuwa kwa adui yangu.
Kidume kama mimi.Adui gani tena mkuu? 🤪
Hamna banaKidume kama mimi.
Hakuna uhusiano wowote baina ya kutahiri mapema na nguvu za kiume.Umri wa miaka 12 ndo sahihi, maana mishipa mingi ya fahamu inaonekana inakopitia, ganzi inawekwa kulingana na umrikulko inavyowekwa kulingana bna uzito, sio rahisi kukata uzi ulio chini ya uume unaosaidia kuvuta mabao mengi nk.
Ukitaka kuakikisha tembelea mikoa ya kanda ya ziwa, wanatahili wakiwa wakubwa ndio maana hawana matatizo ya nguvu za kiume tofauti na pwani, utakuta jamaa ana umri wa miaka 25 eti hana nguvu za kiume anatumia vidonge, !!!!!!! nk
Sasa mnaangaliaje pono na mtoto asee?Mwanangu nilimfanyia tohara akiwa na mwaka na miezi miwili alipona chap sana njia ya kushina naona iko njema tu na kwa mtoto mdogo haina usumbufu. Nina shangazi yangu mwaka 2003 alimtahiri mwanae wa kiume akiwa darasa la nne kama sijakosea dogo alipata tabu maana akiangalia movie na sisi mchana unakuta movie ina mambo ya kula mate mfano siku moja tulikua tunaangalia movie ya joshua tree mwamba akimla dem denda chini ya daraja pale dogo akadinda kidonda kikaanza kutoa damu ikabidi tuwe tunamkataza kuangalia movie. Naamini akiwa mdogo hata kujitonesha inakua ngumu tofauti na akishaanza kukimbizana kama swala
Ni sawa ila kila asubuhi akiamka umfundishe "kulifodoa nje ndani" asafishe ule ugali !Mi mwenyewe dogo hadi amalize la 7 ndo atakatwa