NIMO PRDCTZR
Senior Member
- Feb 10, 2016
- 146
- 83
Apooo chachakwa wazazi au mzazi[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apooo chachakwa wazazi au mzazi[emoji4]
Wewe ni Myahudi?Tufanye siku ya nane baada ya kuzaliwa. Tuuige utamaduni wa Wayahudi. Mm naona hiyo imekaa njema.
Wokovu watoka kwa Wayahudi mkuu.Wewe ni Myahudi?
Akili za kudownload kabisa hizi. Kwahiyo wangekuwa wanazika kwa kuchoma moto napo ungetaka tuwaige.
Nilitahiriwa nikiwa form one tena kwa kampeni zile za Tohara sijui ni nini. Miaka 8-12, sio pungufu ya hapo wala zaidi ya hapo. Sina evidence lakini wakati tunafanyiwa tohara hospitali tulikuwa wengi na room kubwa tuliingia wengi. I can tell, siafikiani na tohara ya umri mdogo.Naomba tuambizane muda sahihi wa kumtahiri mtoto.
Miaka kumi naona inafaaKwa hiyo 12 - 15 ni sahihi
I'm also here to learn....., naskia inabidi asiwe mdogo sana chululu yake itakua fupi akaja kuchekwa na wakwe baadaye.
Weee siku ya nane!!!? Atakuwa na kibamiaMtahiri siku ya nane ikishindikana hapo usimtahiri hadi afikishe miaka 14 au 15 kukwepa team ' kiba...'
Yaweza kuwa kweli, mimi mwenyewe nilikatwa chululu nikiwa na miaka 15, ndio maana sina tatizo la ufupi wake, kwani wewe una watoto wangapi?I'm also here to learn. naskia inabidi asiwe mdogo sana chululu yake itakua fupi akaja kuchekwa na wakwe baadaye.
Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watotoNaomba tuambizane muda sahihi wa kumtahiri mtoto.