To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🤣Aisee🙌Mpaka akate roho ndiyo tutamuamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Aisee🙌Mpaka akate roho ndiyo tutamuamini.
Kuna watu hawajawai ku hustler ni baba angu mzazi mpaka anastaafu..Kiukweli hapa nilipo nachanyikiwa Sana wakuu sijui nifanyeje kiukweli Kama ingewezekana kuna uwezo wa kurudisha siku nyuma ningefanya hivyo lakini ndiyo hivyo haiwezekani hata kidogo aisee ndugu zangu mniombee kabisa
Unajua kipindi Niko kijana barobaro kwenye mwanzoni mwa miaka 20 nilikuwa nawasema watu wenye miaka kuanzia 30 inakuaje mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje
Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu 😭😭😭😀😀 samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.
Acha kubetiMimi Nina miaka 22 Presha ya kufanikiwa kama wenzangu ishaanza kunisumbua
Hakuna kitu kinanitisha kama hiki. 40 years na hueleweki maana nishawaona baadhi na kiukweli inasikitishaUsijali karibu ukubwani na tumekusamehe Cha msingi usipaniki maana kugonga 40 na huna kitu ni kawaida kabisa
Angalia usishikishwe ukuta tu dogoMimi Nina miaka 22 Presha ya kufanikiwa kama wenzangu ishaanza kunisumbua
Acha kejeli mbwa wewe😛Aliyekuzaa kakutelekeza pambana na dunia
Kwani weye ni wakutoka ukanda upi wa taifa letu nijuavyo upo ukanda wa kujimwambafai kama ni wa ukanda huo shida sii yakoila tu masikio yaliźidi kichwa.Kiukweli hapa nilipo nachanyikiwa Sana wakuu sijui nifanyeje kiukweli Kama ingewezekana kuna uwezo wa kurudisha siku nyuma ningefanya hivyo lakini ndiyo hivyo haiwezekani hata kidogo aisee ndugu zangu mniombee kabisa
Unajua kipindi Niko kijana barobaro kwenye mwanzoni mwa miaka 20 nilikuwa nawasema watu wenye miaka kuanzia 30 inakuaje mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje
Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu 😭😭😭😀😀 samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.
Na sio magorofa wala mataa ya barabarani ila maishaaaHahahaaa !? Pole Sana Kuna ulikua na akili za kijinga kama mpwayugu!?? Wahenga hawajawahi kukosea!? Walisema "kua uyaone"
hela zipooNa sio magorofa wala mataa ya barabarani ila maishaaa
Kuna jamaa anataka vidole gumba hivyo.Kiukweli hapa nilipo nachanyikiwa Sana wakuu sijui nifanyeje kiukweli Kama ingewezekana kuna uwezo wa kurudisha siku nyuma ningefanya hivyo lakini ndiyo hivyo haiwezekani hata kidogo aisee ndugu zangu mniombee kabisa
Unajua kipindi Niko kijana barobaro kwenye mwanzoni mwa miaka 20 nilikuwa nawasema watu wenye miaka kuanzia 30 inakuaje mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje
Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu 😭😭😭😀😀 samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.
Hahahah 😆 😆 piaa nii Vzur usijaari fanyaa maamuzi naa panga mipango umrii mdogo sana uoo chukuaa hatua now with in 3 years utakuwa mbalii sanaaMimi Nina miaka 22 Presha ya kufanikiwa kama wenzangu ishaanza kunisumbua
Utulivu uambatane na bonus ya bahati!!gemu inahitaji utulivu mnooo😁😁😁😁😁