Umri unaenda aisee, nachanganyikiwa! Samahani niliowatukana kwasababu umri mkubwa halafu hawana kitu

Umri unaenda aisee, nachanganyikiwa! Samahani niliowatukana kwasababu umri mkubwa halafu hawana kitu

Yaani life tough sana,mimi nna nyumba mbili lakini bado life linakabia juu.Kuna natamani kuanza kushona viatu ila najikaza kiume.Sasa hela kupata ijae ni ngumu ila sasa kuisha ni dakika sifuri
mzee unaleta utani, unasema una nyumba mbili?
Mimi kodi ya 50k inanifanya kichwa kinauma,
Yani hii degree ada ningenunulia bajaji ningepata 10k kila day.
Muhindi anakwambia nakupa 250k huku anaangalia pembeni asije kukuonea huruma.
 
Kiukweli hapa nilipo nachanyikiwa Sana wakuu sijui nifanyeje kiukweli Kama ingewezekana kuna uwezo wa kurudisha siku nyuma ningefanya hivyo lakini ndiyo hivyo haiwezekani hata kidogo aisee ndugu zangu mniombee kabisa

Unajua kipindi Niko kijana barobaro kwenye mwanzoni mwa miaka 20 nilikuwa nawasema watu wenye miaka kuanzia 30 inakuaje mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje

Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu 😭😭😭😀😀 samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.
Endelea kulima ufuta. Nasikia sasa hivi bei ni nzuri sana.
 
mzee unaleta utani, unasema una nyumba mbili?
Mimi kodi ya 50k inanifanya kichwa kinauma,
Yani hii degree ada ningenunulia bajaji ningepata 10k kila day.
Muhindi anakwambia nakupa 250k huku anaangalia pembeni asije kukuonea huruma.
We jamaa😁😁 , kwamba muhindi anakuambia nakupa 250k huku anaangalia pembeni asikuonee huruma dah
 
We jamaa😁😁 , kwamba muhindi anakuambia nakupa 250k huku anaangalia pembeni asikuonee huruma dah
Na anaona kama hayo mazungumzo yanampotezea mda.

Ila vijana wanaomaliza vyuo sasa nawaonea huruma kama hamna wa kuwashika mkono.

Siamini kama wahindi wanajua hapa Tanzania kuna vyuo, wanahisi sisi tunaishia kusoma na kuandika tuu.
 
1000145860.jpg
 
Una nyumba au unavibanda? Chukua mkopo au uza nyumba moja ufanye biashara sio kufikiria kushona viatu
Nilitaka kushangaa😂

Nikabaki najisemea kimoyomoyo... "huyu nae anajikosha tu 😂..., eti nyumba mbili anafikiria ashone viatu 😂😂😂

Inamaana zile kodi, mara 6 (yaani miezi sita kila moja) hakosi pesa za kuendesha maisha na kufanyia miradi ya maendeleo?! Nikajipitia kimya, nikasema hayanihusu, ila hapa kwako umemuuliza swali zuri lenye ukweli ndani yake. Otherwise hizi nyumba zitakuwa ni zile za Kigogo, Jangwani, msasani (maandazi road) au Mikocheni "A" chama, zinadidimia zenyewe ardhini siku hadi siku 😂
 
Kiukweli hapa nilipo nachanyikiwa Sana wakuu sijui nifanyeje kiukweli Kama ingewezekana kuna uwezo wa kurudisha siku nyuma ningefanya hivyo lakini ndiyo hivyo haiwezekani hata kidogo aisee ndugu zangu mniombee kabisa

Unajua kipindi Niko kijana barobaro kwenye mwanzoni mwa miaka 20 nilikuwa nawasema watu wenye miaka kuanzia 30 inakuaje mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje

Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu 😭😭😭😀😀 samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.

Usikate tamaa mkuu ,mimi nilinunua gari la milioni 10 nikiwa na 28 na kuanza kujenga nyumba nikiwa na 31....Bado napambana porini kwa kuchoma mkaa.

Jana niliona clip kuna jamaa kwasasa ana 32 alianza kukamata pesa akiwa na 22 akapambana kwenye aluminium akawa na ofisi kibao akafikisha hadi mtaji wa milioni 900 ,ukijumlisha na thamani ya magari yake 16 anafikisha zaidi ya 1B ,lakini kwasasa 2024 anauza genge mwanamke wa Dubai Habibii alimfilisi.
 
Back
Top Bottom