afike na atulie, watu tuma 56 na bado tumepanga na wala hatuna wasiwasi na maisha.Usijali karibu ukubwani na tumekusamehe Cha msingi usipaniki maana kugonga 40 na huna kitu ni kawaida kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
afike na atulie, watu tuma 56 na bado tumepanga na wala hatuna wasiwasi na maisha.Usijali karibu ukubwani na tumekusamehe Cha msingi usipaniki maana kugonga 40 na huna kitu ni kawaida kabisa
😂😂😂😂Mkuu jipange tufuta boda uanze kuendesha au bajaji utatoboa tuu! Unaweza kuingia 40 hivi hivi kima sihara….Kiukweli hapa nilipo nachanyikiwa Sana wakuu sijui nifanyeje kiukweli Kama ingewezekana kuna uwezo wa kurudisha siku nyuma ningefanya hivyo lakini ndiyo hivyo haiwezekani hata kidogo aisee ndugu zangu mniombee kabisa
Unajua kipindi Niko kijana barobaro kwenye mwanzoni mwa miaka 20 nilikuwa nawasema watu wenye miaka kuanzia 30 inakuaje mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje
Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu 😭😭😭😀😀 samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.
Mimi huyoo😁😁😁Utulivu uambatane na bonus ya bahati!!
Kuna watu wamepewa combinations hiyo, huwa hawayumbi hata kidogo.
Kila kifu anachofanya kina' click* kama alovyotaka iwe.
[emoji16][emoji16][emoji16]Shuka kkoo ni buku huna?
Wakati unaweka bando ya 15000 kwa mwezi[emoji848][emoji848][emoji848]
Yaani life tough sana,mimi nna nyumba mbili lakini bado life linakabia juu.Kuna natamani kuanza kushona viatu ila najikaza kiume.Sasa hela kupata ijae ni ngumu ila sasa kuisha ni dakika sifuriPaka useme ptuuu lanyeee na uteme mate pembeni.
Sema life kwa ground ni tough sana, life linakabia juu kinoma yani linafanya high line pressing.
Kuna mda nawaonea wivu wamasai wanaobadilisha chenji kwa makonda wa daladala vituoni.
Na hapa kwenye 40 uwe nyuki kweli kweli,wafelishaji wengi nao kweli kweli.Usiwe na presha, life starts at 40😊
Yaani life tough sana,mimi nna nyumba mbili lakini bado life linakabia juu.Kuna mda natamani kuanza kushona viatu maana jamaa wanapiga hela kulaza 20 kawaida ila najikaza kiume.Sasa hivi hela kupata ijae ni ngumu ila sasa kuisha ni dakika sifuri
Una nyumba au unavibanda? Chukua mkopo au uza nyumba moja ufanye biashara sio kufikiria kushona viatuYaani life tough sana,mimi nna nyumba mbili lakini bado life linakabia juu.Kuna natamani kuanza kushona viatu ila najikaza kiume.Sasa hela kupata ijae ni ngumu ila sasa kuisha ni dakika sifuri
Mkopo ni risk kubwa kuliko unavyofikiri,biashara zenyewe ziko wapi?bora ukusanye kodi upate hela ya kula lakini nyumba ibakiUna nyumba au unavibanda? Chukua mkopo au uza nyumba moja ufanye biashara sio kufikiria kushona viatu
Bado mdogo Sana wewe......muda wa kupambana na maisha unao bado hayo ya Umri hata yasikutese.mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje
Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu 😭😭😭😀😀 samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.
Maisha hayana formula wala hayaeleweki,nna 38 years nyumba mbili lakini naona Maisha bado najitafuta na life linanikabia juu.Lakini mwingine ana 45 hana nyumba hata moja na anafurahia maisha.Bado mdogo Sana wewe......muda wa kupambana na maisha unao bado hayo ya Umri hata yasikutese.