Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
mzee unaleta utani, unasema una nyumba mbili?Yaani life tough sana,mimi nna nyumba mbili lakini bado life linakabia juu.Kuna natamani kuanza kushona viatu ila najikaza kiume.Sasa hela kupata ijae ni ngumu ila sasa kuisha ni dakika sifuri
daaah, kuna mda ukipita manzese unaangalia majeneza unasema one day yes.Haha ndio maisha yalivyo kijana sisi wengine tunasubiri kufa na kuzikwa
Endelea kulima ufuta. Nasikia sasa hivi bei ni nzuri sana.Kiukweli hapa nilipo nachanyikiwa Sana wakuu sijui nifanyeje kiukweli Kama ingewezekana kuna uwezo wa kurudisha siku nyuma ningefanya hivyo lakini ndiyo hivyo haiwezekani hata kidogo aisee ndugu zangu mniombee kabisa
Unajua kipindi Niko kijana barobaro kwenye mwanzoni mwa miaka 20 nilikuwa nawasema watu wenye miaka kuanzia 30 inakuaje mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje
Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu πππππ samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.
We jamaaππ , kwamba muhindi anakuambia nakupa 250k huku anaangalia pembeni asikuonee huruma dahmzee unaleta utani, unasema una nyumba mbili?
Mimi kodi ya 50k inanifanya kichwa kinauma,
Yani hii degree ada ningenunulia bajaji ningepata 10k kila day.
Muhindi anakwambia nakupa 250k huku anaangalia pembeni asije kukuonea huruma.
Na anaona kama hayo mazungumzo yanampotezea mda.We jamaaππ , kwamba muhindi anakuambia nakupa 250k huku anaangalia pembeni asikuonee huruma dah
Nilitaka kushangaaπUna nyumba au unavibanda? Chukua mkopo au uza nyumba moja ufanye biashara sio kufikiria kushona viatu
Kiukweli hapa nilipo nachanyikiwa Sana wakuu sijui nifanyeje kiukweli Kama ingewezekana kuna uwezo wa kurudisha siku nyuma ningefanya hivyo lakini ndiyo hivyo haiwezekani hata kidogo aisee ndugu zangu mniombee kabisa
Unajua kipindi Niko kijana barobaro kwenye mwanzoni mwa miaka 20 nilikuwa nawasema watu wenye miaka kuanzia 30 inakuaje mpaka sasa haeleweki kumbe weeeh nilikuwa natukana mamba kabla sijavuka mto wakuu wakati nakaribia miaka 30 bado miaka 3 niikaribie Mambo yameanza kuwa vice Versa sijui ni laana za wana daaah sijui nifanyeje
Kumbe maisha ni Safari ndefu hivi? Sikuwahi kujua kabisa ila ndiyo hivyo sina budi kukubali na hali wakuu πππππ samahanini niliowananga watu humu jamii forum Na huku street nimeanza kumtembelea kila mtu Na kuanza kuwaomba msamaha.