Umri unaenda, nachanganyikiwa

Kwahiyo unashukuru wenzako wamekufa wewe umebak sio?
 
Sbukran
 
Upo mkoa gani ndugu
 
Njoo basi inbox mimi ni mwanaume nae eleweka
 
Sijui uko wapi nikupe soda, lakini kuna ulilo liacha wacha mimi nimalizie, kama unaenda mjini basi uwe na zali, la mwisho maisha ya miji inayokuwa ndiyo mazuri kwa anaye jitafuta.
 
Unavo sema haupo kwenye commited relationship huwa una maana gani???..... yakubali mahusiano yako na ujue ulikosea wapi??? wanawake baadhi wanapenda maisha ghali ya kukua haraka haraka.
 
Ndg. Je, Miezi kadhaa hii ukiwa tayari na Miaka 27, Je umeshaanza weka tik kwa yepi?, Lakini pamoja na vyote ulivyosema huna, Je nini umejifunza na umepata kwa miaka 27 duniani. Tujuze kama hutojali.
 
Toka 2008 uko humu bado hujajua kuandika tuu mkuu.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ tatizo ni makuzi yake kipindi anafundishwa kusoma na kuandika, mwalimu wake alikuwa na haraka sana.

Pia kuna baadhi walikatishwa shule mapema, wale wa chini ya miembe.
 
Mangi in the building, ngoja ninywe mbege kwanza hapa kibosho πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…