Umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati hofu kubwa sana na changamoto nyingi maishani

Umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati hofu kubwa sana na changamoto nyingi maishani

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
Kipindi cha umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati wa changamoto nyingi maishani. Watu wanapitia hali ya kujuta na mawazo mengi kuhusu jinsi walivyotumia miaka yao ya 20's.

Baadhi ya majuto ya kawaida kwa watu wenye umri huu yanaweza kujumuisha:
  1. Kutokuwekeza mapema:
  2. Kutokujitunza kiafya:
  3. Kutojifunza au kuongeza elimu:
  4. Kukosa kujaribu mambo mapya
  5. Kutokujali mahusiano

    Kwa wale wenye umri wa miaka 30-35, tafadhali tushirikishe majuto yenu, tunataka kujifunza kutoka kwenu!

 
Kipindi cha umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati wa changamoto nyingi maishani. Watu wanapitia hali ya kujuta na mawazo mengi kuhusu jinsi walivyotumia miaka yao ya 20's.

Baadhi ya majuto ya kawaida kwa watu wenye umri huu yanaweza kujumuisha:
  1. Kutokuwekeza mapema:
  2. Kutokujitunza kiafya:
  3. Kutojifunza au kuongeza elimu:
  4. Kukosa kujaribu mambo mapya
  5. Kutokujali mahusiano

    Kwa wale wenye umri wa miaka 30-35, tafadhali tushirikishe majuto yenu, tunataka kujifunza kutoka kwenu!
Kama 30-35 anajuta je 70 atafanyaje?......by the way elewa kwamba changamoto huja ili mtu ajifunze na sio ajute.....
 
Back
Top Bottom