Umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati hofu kubwa sana na changamoto nyingi maishani

Umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati hofu kubwa sana na changamoto nyingi maishani

Kipindi cha umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati wa changamoto nyingi maishani. Watu wanapitia hali ya kujuta na mawazo mengi kuhusu jinsi walivyotumia miaka yao ya 20's.

Baadhi ya majuto ya kawaida kwa watu wenye umri huu yanaweza kujumuisha:
  1. Kutokuwekeza mapema:
  2. Kutokujitunza kiafya:
  3. Kutojifunza au kuongeza elimu:
  4. Kukosa kujaribu mambo mapya
  5. Kutokujali mahusiano

    Kwa wale wenye umri wa miaka 30-35, tafadhali tushirikishe majuto yenu, tunataka kujifunza kutoka kwen

Kipindi cha umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati wa changamoto nyingi maishani. Watu wanapitia hali ya kujuta na mawazo mengi kuhusu jinsi walivyotumia miaka yao ya 20's.

Baadhi ya majuto ya kawaida kwa watu wenye umri huu yanaweza kujumuisha:
  1. Kutokuwekeza mapema:
  2. Kutokujitunza kiafya:
  3. Kutojifunza au kuongeza elimu:
  4. Kukosa kujaribu mambo mapya
  5. Kutokujali mahusiano

    Kwa wale wenye umri wa miaka 30-35, tafadhali tushirikishe majuto yenu, tunataka kujifunza kutoka kwenu!
Labda ungesema kijana wa miaka😎 55-60 ndo aanze hayo majuto.
 
Mi nilijuta sana nikiwa kwenye 20-23. Nilikua naona kama maisha yamefika mwisho na siwezi tena kuyafurahia.

Hii ni baada ya kuona ndoto zangu nilizokua nazo toka utotoni zimeshakua ngum sana kuzitimiza, yani hazitowezekana tena kutimia.

Baada ya kupambana na io changamo, nashkuru ilipita salama na sasa najiona ni mtu ambae bado nina mda mwingi wa kutimiza ndoto na naamini zitatimia.

Nilichojifunza ni kua kile kilikua kipindi muhimu sana kukipitia kwa sababu nilijifunza mengi sana ya kimaisha ambayo nisingeweza kujifunza nikiwa kwenye hali ya kawaida.

NYAKATI NGUMU NI MUHIMU
 
Kipindi cha umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati wa changamoto nyingi maishani. Watu wanapitia hali ya kujuta na mawazo mengi kuhusu jinsi walivyotumia miaka yao ya 20's.

Baadhi ya majuto ya kawaida kwa watu wenye umri huu yanaweza kujumuisha:
  1. Kutokuwekeza mapema:
  2. Kutokujitunza kiafya:
  3. Kutojifunza au kuongeza elimu:
  4. Kukosa kujaribu mambo mapya
  5. Kutokujali mahusiano

    Kwa wale wenye umri wa miaka 30-35, tafadhali tushirikishe majuto yenu, tunataka kujifunza kutoka kwenu!
Na ndio umri unao determine aina ya mustakabali wako ukubwani/uzeeni. Vijana kazaneni, ukifika age hiyo ya 35 chaneli hazieleweki rudi square 1, Panga majeshi upya ingia pori jipya kama inawezekana
 
Mimi ninakaribia 36 halafu mbona sijapitia hayo majuto? Kuna some accomplishments nimefanya vitu niliwaza kuvimiliki nimevipata, maisha yanasonga nimejipa muda na imani nisijute niyafurahiye maisha. Nikipata nile, niwekeze, nifurahi na nikikosa niongeze juhudi ya kutafuta. Nitajuta kuanzia 60 Mungu akinipa umri wa kustaafu na kama nikifika umri huo nikashindwa kunywa bia hotelini kweli nitajuta.
 
Yaani miaka 30-35 ujute???labda kama uko jela kwa kutia mimba mwanafunzi,au umekatwa mikono kwa wizi.

Huo ndio muda wa kutafakari na kuchukua hatua kwa yale ambayo hukuyafanya kwa wakati sahihi.

Huu sio muda wa kukesha club na bar tena,sio muda wa kuendesha magari kwa speed kuangalia ya nani ina nguvu,hapa macho ya wengi yameanza kukuangalia afya ya mwili na akili ni muhimu sana,sio wakati wa kutafuta wanawake wenye makalio makubwa au wanaobebeka kirahisi kitandani.
Waliosema maisha yanaanzia 40 hawakukosea,maana huo ndio muda wa tathmini pia bado sio majuto.

Majuto ktk umri huu yanatakiwa yawe katika mfumo wa kushtuka,sio kukata tamaa.
 
Yaani miaka 30-35 ujute???labda kama uko jela kwa kutia mimba mwanafunzi,au umekatwa mikono kwa wizi.

Huo ndio muda wa kutafakari na kuchukua hatua kwa yale ambayo hukuyafanya kwa wakati sahihi.

Huu sio muda wa kukesha club na bar tena,sio muda wa kuendesha magari kwa speed kuangalia ya nani ina nguvu,hapa macho ya wengi yameanza kukuangalia afya ya mwili na akili ni muhimu sana,sio wakati wa kutafuta wanawake wenye makalio makubwa au wanaobebeka kirahisi kitandani.
Waliosema maisha yanaanzia 40 hawakukosea,maana huo ndio muda wa tathmini pia bado sio majuto.

Majuto ktk umri huu yanatakiwa yawe katika mfumo wa kushtuka,sio kukata tamaa.
Upo sahihi Kbsa mkuu
 
Back
Top Bottom