Umuhimu wa specialisation katika taaluma ya habari: Balile amhenyesha Tundu Lissu katika kikao na wahariri, ambana vilivyo katika masuala ya sheria

Umuhimu wa specialisation katika taaluma ya habari: Balile amhenyesha Tundu Lissu katika kikao na wahariri, ambana vilivyo katika masuala ya sheria

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ni muhimu sana waandishi wakawa na specialisation. Taaluma ya habari ni kibebeo cha taaluma maalum ambayo mtu anayo.

Nimesikiliza mjadala katika jukwaa la wahariri hakika utaaluma wa Balile katika sheria ulimfanya Lissu ayumbe, akaishia kutoa maneno ya kashfa na matusi na hata kujaribu kuhamisha mjadala.

Hongera sana Deodatus Balile.

Tunahitaji waandishi wawe na fani ya uhandisi, ardhi, milango miji, kodi, na mengine kedekede. Hayo yatatufanya tununue magazeti ili tupate taarifa za kitaaluma.

Faustine Kapama wa Daily News nampa kongole, japo yeye anaripoti tu mambo ya mahakamani bila kufanya critical analysis
 
Ni muhimu sana waandishi wakawa na specialisation. Taaluma ya habari ni kibebeo cha taaluma maalum ambayo mtu anayo.

Nimesikiliza mjadala katika jukwaa la wahariri hakika utaaluma wa Balile katika sheria ulimfanya Lissu ayumbe, akaishia kutoa maneno ya kashfa na matusi na hata kujaribu kuhamisha mjadala.

Hongera sana Deodatus Balile.

Tunahitaji waandishi wawe na fani ya uhandisi, ardhi, milango miji, kodi, na mengine kedekede. Hayo yatatufanya tununue magazeti ili tupate taarifa za kitaaluma.

Faustine Kapama wa Daily News nampa kongole, japo yeye anaripoti tu mambo ya mahakamani bila kufanya critical analysis
Hakika ndugu Balile kamhenyesha kamarada Tundu Lissu....

Mapungufu yake makubwa mh.Lissu ni kujitengenezea MARKING SCHEME yake ....yaani anapenda kuulizwa MASWALI anayotaka yeye....ni kama vile kinachoulizwa basi kiwe kile kilicho kichwani mwake....
 
Huyo anayechanganya maembe,malimao,maandazi,soksi🤣🤣🤣.
Mtu mjinga atamsifu mwandishi anayejipendekeza serikalini apate cheo.
Anapewa fact yy analeta mifano ya marekani na uingereza? Hivi utawala wakule na uungwana wao tunafanana?
 
Huyo anayechanganya maembe,malimao,maandazi,soksi🤣🤣🤣.
Mtu mjinga atamsifu mwandishi anayejipendekeza serikalini apate cheo.
Anapewa fact yy analeta mifano ya marekani na uingereza? Hivi utawala wakule na uungwana wao tunafanana?
Anamsifu mwandishi ambaye hajui kuwa kati ya Sheria na Katiba ni Katiba iliyo juu kuliko Sheria zote🤣🤣🤣🤣🤣

Kweli CCM wamenajisi akili za watu wao🤣🤣🤣
 
Sera yetu 2025 - 2030
No reforms no election
 
Ni muhimu sana waandishi wakawa na specialisation. Taaluma ya habari ni kibebeo cha taaluma maalum ambayo mtu anayo.

Nimesikiliza mjadala katika jukwaa la wahariri hakika utaaluma wa Balile katika sheria ulimfanya Lissu ayumbe, akaishia kutoa maneno ya kashfa na matusi na hata kujaribu kuhamisha mjadala.

Hongera sana Deodatus Balile.

Tunahitaji waandishi wawe na fani ya uhandisi, ardhi, milango miji, kodi, na mengine kedekede. Hayo yatatufanya tununue magazeti ili tupate taarifa za kitaaluma.

Faustine Kapama wa Daily News nampa kongole, japo yeye anaripoti tu mambo ya mahakamani bila kufanya critical analysis
Wewe ni partner wake Balile kwenye ukilaza wake, au siyo..?

Your partner's thoughts and questions were completely nonsense...

Na huyo eti ndiye Mhariri wa chombo fulani cha habari ambaye hajui kuwa sheria inayopoka mamlaka ya Katiba (sheria mama) automatic sheria hiyo inakuwa batili...

Cha ajabu, eti unamsifu huyu kuwa specialist wa sheria, really...??
 
Ni muhimu sana waandishi wakawa na specialisation. Taaluma ya habari ni kibebeo cha taaluma maalum ambayo mtu anayo.

Nimesikiliza mjadala katika jukwaa la wahariri hakika utaaluma wa Balile katika sheria ulimfanya Lissu ayumbe, akaishia kutoa maneno ya kashfa na matusi na hata kujaribu kuhamisha mjadala.

Hongera sana Deodatus Balile.

Tunahitaji waandishi wawe na fani ya uhandisi, ardhi, milango miji, kodi, na mengine kedekede. Hayo yatatufanya tununue magazeti ili tupate taarifa za kitaaluma.

Faustine Kapama wa Daily News nampa kongole, japo yeye anaripoti tu mambo ya mahakamani bila kufanya critical analysis
🤣🤣🤣🤣 Acha ujinga
 
Ni muhimu sana waandishi wakawa na specialisation. Taaluma ya habari ni kibebeo cha taaluma maalum ambayo mtu anayo.

Nimesikiliza mjadala katika jukwaa la wahariri hakika utaaluma wa Balile katika sheria ulimfanya Lissu ayumbe, akaishia kutoa maneno ya kashfa na matusi na hata kujaribu kuhamisha mjadala.

Hongera sana Deodatus Balile.

Tunahitaji waandishi wawe na fani ya uhandisi, ardhi, milango miji, kodi, na mengine kedekede. Hayo yatatufanya tununue magazeti ili tupate taarifa za kitaaluma.

Faustine Kapama wa Daily News nampa kongole, japo yeye anaripoti tu mambo ya mahakamani bila kufanya critical analysis
Wafuasi wa Lissu wao wanaamini kupaniki kwa Lissu na kuanza kutumia lugha za kejeli ndio weledi kumbe ni ujinga. Mwalimu wangu Mzee Enea Mhando aliwahi kusema, kujenga hoja hakuhitaji kuongea kwa ukali na kutemetema mate, bali ni kusimamia kwa hoja na mantiki ya kile unachokiamini.
 
Hakika ndugu Balile kamhenyesha kamarada Tundu Lissu....

Mapungufu yake makubwa mh.Lissu ni kujitengenezea MARKING SCHEME yake ....yaani anapenda kuulizwa MASWALI anayotaka yeye....ni kama vile kinachoulizwa basi kiwe kile kilicho kichwani mwake....
🤣🤣🤣🤣 Kumbe na hii ni ID yako. Ongeza ID nyingine ili kutetea utumbo wa mada yako
 
Back
Top Bottom