Umuhimu wa specialisation katika taaluma ya habari: Balile amhenyesha Tundu Lissu katika kikao na wahariri, ambana vilivyo katika masuala ya sheria

Umuhimu wa specialisation katika taaluma ya habari: Balile amhenyesha Tundu Lissu katika kikao na wahariri, ambana vilivyo katika masuala ya sheria

..kuchagua na kuchaguliwa.

..kushiriki siasa bila kusumbuliwa na kuonewa.
Acheni matusi na dharau....fanyeni siasa za kistaarabu....vinginevyo.....tafsiri yoyote ile huwa ni sahihi katika uwanda wa siasa.....
 
Acheni matusi na dharau....fanyeni siasa za kistaarabu....vinginevyo.....tafsiri yoyote ile huwa ni sahihi katika uwanda wa siasa.....

..kwa hiyo Ccm wanaoteka na kuengua wagombea wa vyama vya upinzani ndio wastaarabu?
 
..kwa hiyo Ccm wanaoteka na kuengua wagombea wa vyama vya upinzani ndio wastaarabu?
....lini CCM imeteka mtu?!!

Acheni visingizio vya kujitekenya na kucheka....mkijiteka wenyewe mnatengeneza zengwe la kuisingizia CCM.....siasa koko kabisa.....
 
Yaani huo utoto umepost hapa ukitegemea watu wataukimbilia. Umeona hakuna wachangiaji unaishia kuupigia debe! Mjadala ule tumeusikia na alichoongea Lisu kimenyooka vibaya.
Naona na wewe umeukimbilia utoto
 
Ni muhimu sana waandishi wakawa na specialisation. Taaluma ya habari ni kibebeo cha taaluma maalum ambayo mtu anayo.

Nimesikiliza mjadala katika jukwaa la wahariri hakika utaaluma wa Balile katika sheria ulimfanya Lissu ayumbe, akaishia kutoa maneno ya kashfa na matusi na hata kujaribu kuhamisha mjadala.

Hongera sana Deodatus Balile.

Tunahitaji waandishi wawe na fani ya uhandisi, ardhi, milango miji, kodi, na mengine kedekede. Hayo yatatufanya tununue magazeti ili tupate taarifa za kitaaluma.

Faustine Kapama wa Daily News nampa kongole, japo yeye anaripoti tu mambo ya mahakamani bila kufanya critical analysis
Mbona mwandishi wa habari mwenzake Paschal Mayala alisema Balile ndiyo aliburuzwa.
 
Mbona mwandishi wa habari mwenzake Paschal Mayala alisema Balile ndiyo aliburuzwa.
Acha kumsingizia Mayala, vinginevyo., labda wakati Mayalla anaongea alikuwa na njaa
 
Ni muhimu sana waandishi wakawa na specialisation. Taaluma ya habari ni kibebeo cha taaluma maalum ambayo mtu anayo.

Nimesikiliza mjadala katika jukwaa la wahariri hakika utaaluma wa Balile katika sheria ulimfanya Lissu ayumbe, akaishia kutoa maneno ya kashfa na matusi na hata kujaribu kuhamisha mjadala.

Hongera sana Deodatus Balile.

Tunahitaji waandishi wawe na fani ya uhandisi, ardhi, milango miji, kodi, na mengine kedekede. Hayo yatatufanya tununue magazeti ili tupate taarifa za kitaaluma.

Faustine Kapama wa Daily News nampa kongole, japo yeye anaripoti tu mambo ya mahakamani bila kufanya critical analysis
Wewe ni partner wake Balile kwenye ukilaza wake, au siyo..?

Your partner's thoughts and questions were completely nonsense...

Na huyo eti ndiye Mhariri wa chombo fulani cha habari ambaye hajui kuwa sheria inayopoka mamlaka automatic sheria hiyo inakuwa batili...

Cha ajabu, eti unamsifu huyu kuwa specialist wa sheria, really...??
Wafuasi wa Lissu wao wanaamini kupaniki kwa Lissu na kuanza kutumia lugha za kejeli ndio weledi kumbe ni ujinga. Mwalimu wangu Mzee Enea Mhando aliwahi kusema, kujenga hoja hakuhitaji kuongea kwa ukali na kutemetema mate, bali ni kusimamia kwa hoja na mantiki ya kile unachokiamini.
Sasa wewe mbona unatematema mate hovyo hapa kwa ujinga wako?
 
Back
Top Bottom