likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Wewe ulitaka fact gani kwa mfano.
The pros and cons of 2,100megawatts, hilo halihitaji mjadala.
Project hii ipo inapingwa na UN toka enzi za Mwalimu.
Tukumbuke ni watu hawahawa walipinga hata ujenzi wa TAZARA miaka ya mwanzoni mwa 1970s.
Ni kweli ila pia sio dalili nzuri sana kwa yanayotunyemelea maana inaonekana kana kwamba tunatengwa kiaina kimataifa. Huku UN kule US kwa issue ya ushirikiano na NK. Si busara kusema tu "shikilia hapo hapo"; wao wameshikilia mpini sisi makali. Busara ni kutafuta suluhu sahihi ya namna ya kutoka tuliponasa ili tusonge mbele bila mikwaruzano isiyo ya lazima na "wakubwa". Mwisho wa siku tutaumia sisi tukiendelea kushupaza shingo. Sina hakika kama utanielewa.
Msitake kujifanya mnaipinga UN kuhusu kugomea huo mradi, ukweli kuhusu ujenzi wa huo mradi ni kukosa hela. Laiti hela zingekuwepo leo hii huo mradi ungekuwa umeshaanza. Awamu iliyopita kelele ilikuwa ni uchumi wa gas, leo hii hakuna anayeongelea gas na tunataka kurukia mradi mwingine huku hakuna hata cent kumi. Pata majibu ya msingi kwanza kwanini sio gas bali ni stiegler gorge?
umeme wa gesi una tatizo gani kwani kuendelezwa? inawezekana tunahitaji vyote viwili, hebu tungoje muda hutaamua, na pengine Magu ana plan zake, mkumbuke huyu jamaa anapenda vitu vya kuonekana usishangae anataka 5000mgw nchi nzima.SG lazima tujenge hapa Dr. Magufuli namuunga mkono.
Kama UN wangemkemea na serikali yake kuacha kuharibu umoja wa kitaifa, kutumia nguvu, kuwaonea wapinzani hata kusababisha vifo vya watanzania wenzentu , kuacha watu wafanye maandamano kwa amani.
Hapo ningewaona watu wa maana na taasisi yenye akili ila kuzuia SG project wanajionesha walivyo vilaza hadi huko UN.
UN na USA wakafunge wanyama huko Washington DC au Pentagon ila sisi huku Tanzania SG lazima tujenge.
Kwa sasa, tunahitaji SG project kuliko tunavyohitaji wanyama ambao mafisadi tu ndiyo wanaofaidika kwa kuwaua na kukata pembe wakati wananchi hawana umeme.
To hell with UN but SG project must be realized for the betterment of lives of millions of Tanzanians.
Mkuu wewe inaelekea ni kijana wa juzi juzi tu.Mradi wa steiglers gorge ni unnecessary na ecological destructive, hilo halina mjadala.
Tuna gesi ambayo mpaka leo iko under utilised.
Tuna makaa ya mawe, the cheapest source of energy tunayoweza kutumia. Its destructive pia lakini on the good side yako kwenye maeneo ambayo ni remote and not in one of the largest protected reserve site in the world.
Tuna uwezo wakuproduce wind energy in a large quantity, ila mpaka leo hakuna any signs ya kuanzisha mradi huo.
Tuna a long coastline yenye uwezo wakutuwezesha kuproduce energy kupitia tidal waves.
Ila vyote hivyo hamna mpango navyo au hamtaki kuvitekeleza in full.
Juzi juzi a few years back serikali imetoka kuiomba UN kufanya boundary change ya selous kwa ajili ya uranium mining ambayo in the end itakuja kuproduce a ton of radioactive waste ambayo ita-affect the game reserve.
Hapo hapo kuna swala la ujangili humo kwenye hiyo reserve, kwenye idadi ya tembo wameshuka toka 60,000+ in 2009 mpaka 10,000 in 2013.
Tena sasa mnataka mjenge a hydro plant ambayo ita-flood a large area of the reserve na kuharibu the ecosystem ya eneo hilo,just from the construction alone.
Yani sisi ni kuharibu haribu tuu...
Hydro plants zetu nyingi if not all, zimetengenezwa wakati wa mkoloni, hivi mnadhani wangeshindwa kujenga hiyo hydro plant kwenye hiyo reserve. Mnadhani ni wajinga sana mpaka wakaamua kuachana na hiyo idea. Tena walikuwa na uwezo both financially na engineering wise, kwasababu kama waliweza kutekeleza a large project such as reli ya kati, project kama hii isingewashinda.
Muda mwingine tusiwe wabishi, natuangalie impact ya vitu tunavyotaka kufanya.
Spot on mkuu!tindo,
Mkuu
Gas siyo renewable energy ila SG project ni long life project kwa hiyo bora tuiendeleze hiyo SG project.
Gas ilikuwa kisiasa zaidi na kifisadi mno mno.
Any way, ije mvua au jua ila Tanzania kwa sasa SG project ni ya muhimu sana kwa nchi hii hata hivyo imechelewa sana kutekelezwa.
Zile tambo za umeme wa gesi kuwa tutauza hadi nje ya mipaka ya nchi imeishia wapi?Magu asilegeze kamba, ashikilie apo apo. Go Magu go. Ili tupate freedom ya nishat na hatimae ya uchumi.
Hahahaha wabongo bhana kwahyo wanaokuhujumu ndio hao hao mikopo yao mnawaomba kila siku..... Wanawajengea reli na bomba alafu wakishauri eti wahujumu ssa kma hawawatakii mema si wangewanyima mikopoMagu asilegeze kamba, ashikilie apo apo. Go Magu go. Ili tupate freedom ya nishat na hatimae ya uchumi.
Kwa Magu wataula wa chuya! Prezdaa Magu songa mbele baba, kurudi nyuma, mwiko!Nimesoma katika gazeti la The Guardian on sunday, tar 25 Feb 2018, ati UN(Umoja wa Mataifa), wanapinga kujengwa kwa kituo cha kuzalisha umeme kiasi cha 2,100MW ati kwa sababu za mazingira.
Huu ni uhujumu, full stop!
UN inatumiwa tu, ili ujumbe uonekane ati unatoka chombo ambacho ni fair, lakini ujumbe huo ni kazima unatoka nchi zinazofaidika na matatizo yetu ya nishati.
Kampuni za kimarekani kama AGGREKO, DOWANS na nyingine nyingi ni wazi zisingependa kuona mradi huu wa Stieglers Gorge ukifanikiwa, maana watakosa ulaji wanaofaidika nao leo.
Kama ingewapendeza UN, basi Three Gorges Dam ya China, Aswan Dam ya Misri, Akosombo Dam ya Ghana vyote visingejengwa kwa sababu za kimazingira.
Nampongeza na Rais Magufuli na kumpa moyo kushika moyo ule ule ili nchi ijitawale kinishati.
Mradi wa steiglers gorge ni unnecessary na ecological destructive, hilo halina mjadala.
Tuna gesi ambayo mpaka leo iko under utilised.
Tuna makaa ya mawe, the cheapest source of energy tunayoweza kutumia. Its destructive pia lakini on the good side yako kwenye maeneo ambayo ni remote and not in one of the largest protected reserve site in the world.
Tuna uwezo wakuproduce wind energy in a large quantity, ila mpaka leo hakuna any signs ya kuanzisha mradi huo.
Tuna a long coastline yenye uwezo wakutuwezesha kuproduce energy kupitia tidal waves.
Tuna uwezo wa kupower miji mingi midogo Tanzania kwa kutumia umeme wa jua tu.
Ila vyote hivyo hamna mpango navyo au hamtaki kuvitekeleza in full.
Juzi juzi a few years back serikali imetoka kuiomba UN kufanya boundary change ya selous kwa ajili ya uranium mining ambayo in the end itakuja kuproduce a ton of radioactive waste ambayo ita-affect the game reserve.
Hapo hapo kuna swala la ujangili humo kwenye hiyo reserve, kwenye idadi ya tembo wameshuka toka 60,000+ in 2009 mpaka 10,000+ in 2013. Tumekaa tu, wala hakuna serious effort kukabiliana na hilo.
Tena sasa mnataka mjenge a hydro plant ambayo ita-flood a large area of the reserve na kuharibu the ecosystem ya eneo hilo,just from the construction alone.
Yani sisi ni kuharibu haribu tuu...
Hydro plants zetu nyingi if not all, zimetengenezwa wakati wa mkoloni, hivi mnadhani wangeshindwa kujenga hiyo hydro plant kwenye hiyo reserve. Mnadhani ni wajinga sana mpaka wakaamua kuachana na hiyo idea. Tena walikuwa na uwezo both financially na engineering wise, kwasababu kama waliweza kutekeleza a large project such as reli ya kati, project kama hii isingewashinda.
Muda mwingine tusiwe wabishi, natuangalie impact ya vitu tunavyotaka kufanya.
Hujui hela zitakazopatikana ndizo zitasaidia kupata hivo vitu na vingine?Kajengeni vyoo na Madawati kwanza
Za gas hazijapatikana ?Hujui hela zitakazopatikana ndizo zitasaidia kupata hivo vitu na vingine?
tindo,
Mkuu
Gas siyo renewable energy ila SG project ni long life project kwa hiyo bora tuiendeleze hiyo SG project.
Gas ilikuwa kisiasa zaidi na kifisadi mno mno.
Any way, ije mvua au jua ila Tanzania kwa sasa SG project ni ya muhimu sana kwa nchi hii hata hivyo imechelewa sana kutekelezwa.