Kumekuwa na mgongano wa maslahi binafsi ya wachezaji na maslahi ya kitimu ndio yanasababisha hizi kelele, Wachezaji wanaogopa sana kuanzia benchi au / na kupewa muda kidogo sababu mikataba ikiisha ni ngumu kupata timu nzuri lakini kocha anaweka maslahi ya timu kupata ushindi mbele zaidi.
Yasemekana kwenye mikataba ya hawa wachezaji husika, kulikuwa na makubaliano special ya kuwalinda kwamba wapewe kipaumbele cha kuanza kila mechi kubwa lakini uhalisia ni tofauti, wanasugua benchi na kuingia dakika za mwisho kusukutua.
Binafsi naona wachezaji wawe wanajiongeza, Ngoma na Chama na ma agent WAMEPIGWA !! lakini zaidi ni kwa wachezaji hawajiongezi kwamba ni kocha ndie anaepanga kikosi, timu ikifungwa lawama ni kwa makocha.
Yasemekana kwenye mikataba ya hawa wachezaji husika, kulikuwa na makubaliano special ya kuwalinda kwamba wapewe kipaumbele cha kuanza kila mechi kubwa lakini uhalisia ni tofauti, wanasugua benchi na kuingia dakika za mwisho kusukutua.
Binafsi naona wachezaji wawe wanajiongeza, Ngoma na Chama na ma agent WAMEPIGWA !! lakini zaidi ni kwa wachezaji hawajiongezi kwamba ni kocha ndie anaepanga kikosi, timu ikifungwa lawama ni kwa makocha.