Ellerie Bexley
Member
- Feb 6, 2025
- 29
- 67
- Thread starter
- #61
AsanteVizuri sana. Hapo changamoto ni mbili tu: Tamaa na Wanaume. Sina haja ya kueleza kila kitu kiko wazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteVizuri sana. Hapo changamoto ni mbili tu: Tamaa na Wanaume. Sina haja ya kueleza kila kitu kiko wazi.
Nani kasema X wangu anainjoi......Nalegeza kidogo
Awaogope Intelligent businessman mshamba_hachekwi Mwachiluwi Poor Brain
Hawa vijana wana tabia mbaya si mchezo.
Samahani bioa kupepesa kama kweli upo vzri katika kujitafuta naomba tuwe pamoja maana mimi natafuta mdada kama wewe..Hi.
Ushauri gani unaweza kumpa binti aliye in her early 20s ambaye anajiandaa kuhamia mji mkubwa kwa mara ya kwanza, kujihusisha na kazi ya waitress asiye na exposure ya maisha yoyote? Anajiandaa kuishi mbali na wazazi, kukutana na mazingira mapya, watu wapya, marafiki wapya, na hali mpya, ikiwa ni pamoja na kukutana na different men and women from different places, kukutana na watu wabaya na wema, watu wa asili tofauti
Ushauri wenu utasaidia
Akiogopa wanaume nyege atamtoa nani sasaNakazia maneno ya watu huko juu .
Mwambie Aogope wanaume
Bado najitafuta lkiniSamahani bioa kupepesa kama kweli upo vzri katika kujitafuta naomba tuwe pamoja maana mimi natafuta mdada kama wewe..
Kikubwa uwe seriously tuu mimi nitakupa kila unachotaka ambacho kipo chini ya uwezo wangu..
Kama una mtu wako basi
And Babies bring joy😌Boys bring babies weka akilini
Ndo nimekuambia hv kama upo seriously njo tuyapange..Bado najitafuta lkini
But not all babies bring joyAnd Babies bring joy😌
Kama hana tako asije mjini..atanishukuru siku si nyingi😂😂Dah
Kwanini😹Kama hana tako asije mjini..atanishukuru siku si nyingi
Mjini tuje na Tako ila sio akili😹😹Kama hana tako asije mjini..atanishukuru siku si nyingi
Asantesana❤️🙏Aogope kua CHAWOTE,asidhani kuna siri hapa duniani,akilambwa na watu kuanzia watatu,watajuana na taarifa zitawafikia wengine,namba yake itagombaniwa kinoma,halafu mwisho wa siku watakata shauri mioyoni mwao kua huyu SIYO WA KUOA,ni kumchapa tu,ila HAWATAKWAMBIA,utakua kama gari la VETA la kujifunzia,halafu wanaoolewa ni wengine.Uhuru utumike vizuri.
Asante dada❤️Kila mtu na akili yake kama alikuja Kwa ajil ya kazi basi afanye kazi kama alikuja Kwa mambo mengine basi afanye hayohayo
Mpaka mtu anatoka kwao anakuja mjin inamaana anajua anachoenda kufanya sio jambo la kuamka na kupanda garna kwenda mjin lazma alikaaakajitafakar na mashaur yake ya ubongo
😹Ataenda kufyatuliwa na .abazazi hapo mjini.
Na sikupi ushauri.
Binti wa miaka 20, mwenye tako mjini maisha yake ni mazuri kuridi hawa viportable visivyo na mkia ila vina mastersKwanini😹
Akili utaipata huku huku mjini..kitambulisho kiwe kishudu tu. Natamani siku moja mh mkuu wa mkoa atangaze kuwarudisha kwenye vijiji vya ujamaa wasio na mikia ili wakalinde kwelea kwelea kwenye mpungaMjini tuje na Tako ila sio akili😹😹