Una ushauri gani kwa Binti anayeanza maisha mapya mjini?

Una ushauri gani kwa Binti anayeanza maisha mapya mjini?

Akili utaipata huku huku mjini..kitambulisho kiwe kishudu tu. Natamani siku moja mh mkuu wa mkoa atangaze kuwarudisha kwenye vijiji vya ujamaa wasio na mikia ili wakalinde kwelea kwelea kwenye mpunga
Wenye Tako hawaolewi
 
Hi.

Ushauri gani unaweza kumpa binti aliye in her early 20s ambaye anajiandaa kuhamia mji mkubwa kwa mara ya kwanza, kujihusisha na kazi ya waitress asiye na exposure ya maisha yoyote? Anajiandaa kuishi mbali na wazazi, kukutana na mazingira mapya, watu wapya, marafiki wapya, na hali mpya, ikiwa ni pamoja na kukutana na different men and women from different places, kukutana na watu wabaya na wema, watu wa asili tofauti

Ushauri wenu utasaidia
Awe mtu wa Mungu
 
Watu wanasema aogope wanaume, hivi wakuu mmesahau mshike mshike wa nye.ge au mnamtia moyo tu hapa? 😂

Mkuu wewe nenda mjini, fanya kazi zako na ufanye na mapenzi pia ila daima tumia kinga.

Wajinga wakitaka kukuhonga wewe hongeka ila usijaribu kumchuna mwanaume, utalipia ana kwa shari au heri.

Mimi sina mengine zaidi ya yote utajichagulia chakufanya ukishafika hapo Nairobi.
 
Wazazi hawana msaada?
Mpaka kujua anapendelea nini huwezi kumshauri kihivyo
Utaambiwa kaa mbali na wanaume kumbe ndio hulka

Ni ngumu kukushauri
 
Avoid men atajioa. Huyo???

"Avoid men who only bring chaos. Him? Leave him behind and live your life with wisdom and understanding. Don’t fear anything."

Yaendee maisha Kwa hekima zote
 
Aisee naona kuna Wimbi la mabinti kuhamia mijini.
 
Ogopa kua omba omba.

wote wanaolalamika uogope wanaume walikua wategemezi.

kua na pesa zako, usipende wanaume kisa wanahudumia tu,

ukilitambua hilo upo mahali salama.

Tafuta pesa zako.
 
Watu wanasema aogope wanaume, hivi wakuu mmesahau mshike mshike wa nye.ge au mnamtia moyo tu hapa? 😂

Mkuu wewe nenda mjini, fanya kazi zako na ufanye na mapenzi pia ila daima tumia kinga.

Wajinga wakitaka kukuhonga wewe hongeka ila usijaribu kumchuna mwanaume, utalipia ana kwa shari au heri.

Mimi sina mengine zaidi ya yote utajichagulia chakufanya ukishafika hapo Nairobi.
Thank you
 
Back
Top Bottom