CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
aje tu lakini ajue, city hunter's wanamsubiri kwa hamu kubwa mno!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye Tako hawaolewiAkili utaipata huku huku mjini..kitambulisho kiwe kishudu tu. Natamani siku moja mh mkuu wa mkoa atangaze kuwarudisha kwenye vijiji vya ujamaa wasio na mikia ili wakalinde kwelea kwelea kwenye mpunga
Sasa ani ogope akati hata sijui🙄🤣Nalegeza kidogo
Awaogope Intelligent businessman mshamba_hachekwi Mwachiluwi Poor Brain
Hawa vijana wana tabia mbaya si mchezo.
SawaUoga ujinga,Mjini unaishi kwa kukwepa mishale sio kuiogopa.
Awe mtu wa MunguHi.
Ushauri gani unaweza kumpa binti aliye in her early 20s ambaye anajiandaa kuhamia mji mkubwa kwa mara ya kwanza, kujihusisha na kazi ya waitress asiye na exposure ya maisha yoyote? Anajiandaa kuishi mbali na wazazi, kukutana na mazingira mapya, watu wapya, marafiki wapya, na hali mpya, ikiwa ni pamoja na kukutana na different men and women from different places, kukutana na watu wabaya na wema, watu wa asili tofauti
Ushauri wenu utasaidia
Duuh🤒😬Akiogopa wanaume nyege atamtoa nani sasa
Ntakuja na flat screen yanguKama hana tako asije mjini..atanishukuru siku si nyingi
Fine, vipi upande wa receiption? Au nako sura huna!Ntakuja na flat screen yangu
Mtavuruga uchi wakeSasa ani ogope akati hata sijui🙄🤣
AiseeeeMtavuruga uchi wake
KibongeNakazia maneno ya watu huko juu .
Mwambie Aogope wanaume
Thank youWatu wanasema aogope wanaume, hivi wakuu mmesahau mshike mshike wa nye.ge au mnamtia moyo tu hapa? 😂
Mkuu wewe nenda mjini, fanya kazi zako na ufanye na mapenzi pia ila daima tumia kinga.
Wajinga wakitaka kukuhonga wewe hongeka ila usijaribu kumchuna mwanaume, utalipia ana kwa shari au heri.
Mimi sina mengine zaidi ya yote utajichagulia chakufanya ukishafika hapo Nairobi.