Una ushauri gani kwa kijana wa kiume aliyopo umri wa 18-29.

Una ushauri gani kwa kijana wa kiume aliyopo umri wa 18-29.

Waishi humo wasisahau kujilinda, afya bora ni muhimu sana.
Ni kweli kipengere cha afya wanakipuuza sana. Chipsi na energy drinks wamefanya kuwa ndio vyakula na vinywaji vya kila siku wakati sio vizuri kwa afya.

Kitu kingine ni ngono zembe, vijana wamesahau kabisa matumizi ya kondomu
 
1. Kuwa mbahili. Soma vitabu vingi. Fanya biashara au jiongeze kielimu.

2. Wanawake na pombe humaliza fedha sana. Kuwa na manzi mmoja anayeweza kujihudumia walau kidogo. Usijipe mzigo kulea girlfriend wako kwa kila kitu.

3. Usijipe umuhimu sana kwa watu.
Watu wameishi bila msaada wako kwa miaka na miaka na hizo shida zao, hivyo wewe huwezi kuzimaliza zote na hata bila msaada wako wataendelea kudunda tu. So, msaada uwe wa kadri tu. Yaani kuwa mchoyo wa jasho lako.

4. Usipumbazwe na mambo ya dini, yakakupotezea muda na fedha.
Kusali hakuongezi chochote maishani mwako. Kutokusali pia hakuongezi chochote. Jitihada zako, ujuzi na maarifa ndivyo vitakavyokufaa maishani.
Umenena vyema
 
Ni kweli kipengere cha afya wanakipuuza sana. Chipsi na energy drinks wamefanya kuwa ndio vyakula na vinywaji vya kila siku wakati sio vizuri kwa afya.

Kitu kingine ni ngono zembe, vijana wamesahau kabisa matumizi ya kondomu
Screenshot_20240921_233640.jpg

Ngono inawamaliza vijana, hawasemi ila wanaugulia kimya kimya na yote hiyo ni kwasababu hawajali afya zao. Matumizi ya kinga ni muhimu sana kwa faida ya afya lakini wanapuuza kwa kujifariji watakosa utamu.

Tusichoke kuwakumbusha kuhusu hili la afya.
 
Mimi sijafika 30+

Ila naweza kushare some hints to be considered.

At the age of 29+ jitahidi uwe Unapambania sana kujenga familia na sio relatives

Nikisema familia namaanisha familia yako wale watu ambao unashirikiana nao kutafuta MAISHA na kusaidiana katika hili na lile..


Ndugu yako anaweza kuwa sio familia yako Ila rafiki anaweza kuwa familia yako.


Hivyo at the age of 29 make sure you build a family and not relative .

Network jaribu Kuwa na network katika kila sehemu uliyopo - iwe chuoni , iwe kazini , iwe nyumbani.


Connection - kuwa na connection mbalimbali na watu ambao wamekuzidi kila kitu na ambao umewazidi kila kitu. Connection huwa inasaidia Ku -achieve dreams zako kirahisi.


Kuheshimu watu - hasa watu usiowafahamu kuanzia mitandaoni jiepushe na kuwa na personal attack mfano kutukana wanawake au wanaume. That is hell.


GOD /universe at the age of 29 make sure unaelewa kuwa ipo nguvu inayoendesha haya maisha you need to connect ur self with ur higher power either GOD /universe.

Give back - unabidi kutambua kuwa katika kipato chako kuna riziki za watu so usiwe mchoyo katika kutoa.


Kujipenda
Penda watu
Hekima
Hakika, na wewe pia haya uliyoandika yafnye kuwa muongozo wako. Ukifika 30 utaanza kuona miaka inaenda haraka sana tofauti na 20s
 
Hakika, na wewe pia haya uliyoandika yafnye kuwa muongozo wako. Ukifika 30 utaanza kuona miaka inaenda haraka sana tofauti na 20s



OK Ila Mimi umri sio jambo ambalo huwa nalichukulia serious Sana.

Nikiingia 3rd floor ntawekeza katika mambo matatu

Financial stability
Well -being
Give back
 
Uongoo niamini mimi ,25 mwisho wa sex,26 mpaka 30 awe ameshajitafuta ,na kajipata anaoa na anatunz familia kuanzia 32.
Mwanaume kujipata sio mchezo especially kama unatoka familia ya kinyonge, iyo miaka minne uliyoitaja inaweza isistoshe.

Kwa mwanaume mambo sio rahisi kama mwanamke, a woman have her pussy to fall back to when nothing else is working for her, but a man have nothing, its him against the world.

Kitu ambacho mwanaume anaweza kutumia mpaka miaka mitano kufanya kazi ndio akipate, mwanamke anaweza kukipata ndani ya nusu saa tu kwa kufungua mapaja yake, kwaiyo mwanaume hana muda wa kupoteza, miaka 20 tu kijana anatakiwa awe tayari ashaanza kupambania mdoto zake.
 
Mwanaume kujipata sio mchezo especially kama unatoka familia ya kinyonge, iyo miaka minne uliyoitaja inaweza isistoshe.

Kwa mwanaume mambo sio rahisi kama mwanamke, a woman have her pussy to fall back to when nothing else is working for her, but a man have nothing, its him against the world.

Kitu ambacho mwanaume anaweza kutumia mpaka miaka mitano kufanya kazi ndio akipate, mwanamke anaweza kukipata ndani ya nusu saa tu kwa kufungua mapaja yake, kwaiyo mwanaume hana muda wa kupoteza, miaka 20 tu kijana anatakiwa awe tayari ashaanza kupambania mdoto zake.
Sio wote wanatoa pussy wengine wana hustle tena sio kidogo
 
Katika umri wa miaka 30 ndipo maisha ya mwanaume yanaanza kujibu au kuonyesha muelekeo. Hapa ndipo huwa tunagundua wapi tulikosea wapi tulipatia.

Kwa mabroo, wakina baba na wazee ambao mpo 30+ una ushauri gani kwa madogo sana sana kwenye suala la mahusiano na uchumi.

Mwaga sumu kwenye comments madogo wachukue yanayowafaa.
1. Ahakikishe akifika 30 years of age, awe ana mtoto tayari wa umri wowote.
2. Ahakikisha kama ni ujenzi anaufanya mapema iwezekanavyo
3. Ahakikishe hakutanishi ada na ujenzi
4. Asifuate mkumbo wa huku au kule ni mbali hivyo siwezi nunua kiwanja au kumiliki nyumba huko.
5. Amiliki maeneo mengi kadri ya uwezo wake. Ardhi ina-appreciate kila siku
 
1. Ahakikishe akifika 30 year, awe ana mtoto tayari wa umri wowote.
2. Ahakikisha kama ni ujenzi anaufanya mapema iwezekanavyo
3. Ahakikishe hakutanishi ada na ujenzi
4. Asifuate mkumbo wa huku au kule ni mbali hivyo siwezi nunua kiwanja au kumiliki nyumba huko.
5. Amiliki maeneo mengi kadri ya uwezo wake. Ardhi ina-appreciate kila siku
Points zako zote hazna faida bali zinawatesa wengi
 
Umenikumbusha kuna siku mdogo angu rubii aliandika jf unaweza kutukanwa na mtu hana hata kitanda....nilichekaaa sisahau.

Muda ndo huu kijana, panga, amka, tekeleza..... Maana yake ukipanga jambo amka muda huo fanya, epuka sana nita....nita...nita zinachelewesha hizi.
kama mm tu kila siku nasema nitakuja pm lkn siji...
 
Back
Top Bottom