Unabii kuhusu Rais mwanamke aliyepo Afrika Mashariki (ulitolewa 2021)

Unabii kuhusu Rais mwanamke aliyepo Afrika Mashariki (ulitolewa 2021)

Kweli na Kuna mengi kazungumza katika video hiyo ya dakika kama 5 sema sikuandika maana TISS si watu wa kuwachezea ila alichokisema mwaka 2021 mwezi wa August inatosha kufahamu huyu Rais mwanamke kutoka Afrika ya Mashariki ni nani.
Aache uhuni august 21 mbona rais mwanamke afrika mashariki tulikuwa naye tayari kwanini hizo ramli zake asingeziona mwaka 2016 huko [emoji3]
 
Mungu hujipigania maana ananguvu ,sasa huyo Mungu wenu mnaye mpigania ina maana hana nguvu?
 
Aache uhuni august 21 mbona rais mwanamke afrika mashariki tulikuwa naye tayari kwanini hizo ramli zake asingeziona mwaka 2016 huko [emoji3]
Bado miaka miwili tu tutajua Kila kitu.
 
Tabiri za kishetani dhidi ya muislamu hazina nguvu.

اللَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الْحَيُّ الْقَيُّومُ ۚ لَا تَأْخُذُهُ سِنَةٌ وَلَا نَوْمٌ ۚ لَّهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ مَن ذَا الَّذِي يَشْفَعُ عِندَهُ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ ۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ ۚ وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ

(AL - BAQARA - 255)
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
Hili suala la kuleta udini wa jinsi hii ndio ushetani wenyewe!

Umejaa roho ya vita,mapambano na kutojiamini.
 
Tumwombe Mungu atuondolee huu uongozi unaokumbatia mafisadi, na baadae wafunguliwe mashitaka.
 
Tabiri za kishetani dhidi ya muislamu hazina nguvu.

اللَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الْحَيُّ الْقَيُّومُ ۚ لَا تَأْخُذُهُ سِنَةٌ وَلَا نَوْمٌ ۚ لَّهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ مَن ذَا الَّذِي يَشْفَعُ عِندَهُ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ ۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ ۚ وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ

(AL - BAQARA - 255)
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
Hatoboi 2025, ndivyo itakavyokuwa
 
Aache uhuni august 21 mbona rais mwanamke afrika mashariki tulikuwa naye tayari kwanini hizo ramli zake asingeziona mwaka 2016 huko [emoji3]
Shekh yahya naye alitabiri hivyo hivyo, ulimwengu wa roho ni bayana
 
Mwaka 2021, Mchungaji Ian Ndlovu kutoka Zimbabwe alisema kuwa Roho wa Mungu amemwambia kuwa awaambie kuhusu Raisi mwanamke kutoka Afrika Mashariki.

Aliambiwa kuwa, wote wanaompenda Raisi huyu mwanamke wanapaswa wamwombee sana maana aliona atapitia matukio mawili huko miaka ya mbele ambapo atafanya makosa mawili kutokana na kupewa ushauri mbaya na watu wake anaowaamini waliopo kwenye uongozi wake.

Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.

Atakayetaka kufuatilia ujumbe huu anaweza kumsikiliza hapa kwenye link nitakayotuma hapa.

Mimi simjui huyu Rais mwanamke mpaka sasa.

Link:
Mkuu ubarikiwe Sana kwa taarifa hi ngoja Wana maombi tuingie maombi
 
Acha uongo SSH hakuna jambo lenye mashiko kafanya! Eti kaongeza madarasa, vituo vya afya blah! blah! nyingi! Kajificha ndani ya mambo aliyoyafanya JPM. Anzisha jambo jipya. Mfano. Panua barabara ya njia nane kuanzia Kibaha mpaka Chalinze kila mtu aone!
Vyote hvyo Ni vya magu kila kitu yey alichoweza kufanya Ni panga pangu tu
 
Ujinga tu huu.
Nampenda mam ako wa dini yako ya mnyazi mungu ila kwa Kweli anaingixwa Chaka Sana had uteuz anachomekewa sasa kwa ishu nyeti za nchi c anachomekewa embu muambia aachane na hyo ishu ya badndari na akitaka amteuwe hata mwanae amsadie ktk bandari


Kama alivyofanya rais bohari wa Nigeria kumteua kaka ake awe waziri wa vlwizara nyeti ya nishati kudhibiti upigaji wa watu

Hvyo hvyo mam ako afanye hvyo amteuwe bint ake asimamie hyo bandari atuepushe na matapeli was Dubai
 
Back
Top Bottom