Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna cha matokeo wala nini kamanda. Funza wanasubiri.Matokeo ya ujane, mtaolewa kisongo, na kwingineko, na kutumbuliwa mpaka mkome, nyie funza!
Funza wanakusubiri, au unabisha kamanda?Na ww pia unaamini kuwa ni mzoga mtarajiwa?
Hueleweki.Hayo ni ya kila mmoja na hayana majutio kama ya 7of
Na lile alilosema akitumaliza sisi wapinzani atawarudia nyinyi ,rejea kilichompata Nape , January Makamba , Membe .Mpaka sasa maono matatu yameshatimia. Jiwe, Sabaya, Bashiru na Bunge
Lema sio wakuchezea
Hiyo siyo News, Habari ni yule Mwamba wenu! Yule harudi tena, Wewe mfuate tu huko kwenye mafunza wenzenu!Hamna cha matokeo wala nini kamanda. Funza wanasubiri.
Usijibaraguze kamanda, funza wakungoja wakutafune vizuri.Hiyo siyo News, Habari ni yule Mwamba wenu! Yule harudi tena, Wewe mfuate tu huko kwenye mafunza wenzenu!
Wameanza kusubiri baada mungu wenu kuondoka?! Hizo dua za Kuku hazimtishi mtu! Kubali tu kwamba, umeachwa mkiwa na utaendelea kula joto la upwekwe kwa maisha yako yote ya hapa duniani!Usijibaraguze kamanda, funza wakungoja wakutafune vizuri.
Kweli walibeba maono ya nyumbu ndio maana leo hakuna Mbunge Nyumbu hata mmoja Bungeni!Mbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha:
Ukimsikiliza alivyokua akitahadharisha mfumo ule wa ununuzi wa korosho.
Ukimsikiliza alivyokua akikosoa mada mbalimbali za miswada ya uundaji wa sheria.
Pia pale alipokua anaongea na DC Sabaya kwa njia ya simu akimuonya mara tatu tatu kwamba ipo siku utakuja kulipia haya. Acha yale mambo ndiyo leo hii yana-trend.
Yale yale yalioongelewa miaka miwili nyuma na Lema(haya maono yote ya yapo katika youtube waweza sikiliza)
Kamanda alikua na maono.
Hakika Yeye na hata wenzake akina Heche, Msigwa, Sugu, Lissu walibeba maono na walileta challenge nzuri ambayo ingetuimarisha kama taifa kuelekea maendeleo.
Japo tunawamiss lakini twategemea siku moja mtarejea mjengoni.
Huchomoki kamanda, utatafunwa tu hata usemeje.Wameanza kusubiri baada mungu wenu kuondoka?! Hizo dua za Kuku hazimtishi mtu! Kubali tu kwamba, umeachwa mkiwa na utaendelea kula joto la upwekwe kwa maisha yako yote ya hapa duniani!
wote imekula kwao. Sidhani kama watarudia kushabilka ujinga.Na lile alilosema akitumaliza sisi wapinzani atawarudia nyinyi ,rejea kilichompata Nape , January Makamba , Membe .
Yameachwa na maumivu haya mayatima ya Jiwe. Tulisema kila aliyeshabikia upuuzi maumivu yatamkuta ndio haya. Kitu chini puu! ghafla bina vuu. Unacheza na Mungu?Wameanza kusubiri baada mungu wenu kuondoka?! Hizo dua za Kuku hazimtishi mtu! Kubali tu kwamba, umeachwa mkiwa na utaendelea kula joto la upwekwe kwa maisha yako yote ya hapa duniani!
Hakuna haja lakini Jiwe hakuondoka?Mshauri achukue nafasi ya TB Joshua
Naunga mkono hoja.Mbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha:
Ukimsikiliza alivyokua akitahadharisha mfumo ule wa ununuzi wa korosho.
Ukimsikiliza alivyokua akikosoa mada mbalimbali za miswada ya uundaji wa sheria.
Pia pale alipokua anaongea na DC Sabaya kwa njia ya simu akimuonya mara tatu tatu kwamba ipo siku utakuja kulipia haya. Acha yale mambo ndiyo leo hii yana-trend.
Yale yale yalioongelewa miaka miwili nyuma na Lema(haya maono yote ya yapo katika youtube waweza sikiliza)
Kamanda alikua na maono.
Hakika Yeye na hata wenzake akina Heche, Msigwa, Sugu, Lissu walibeba maono na walileta challenge nzuri ambayo ingetuimarisha kama taifa kuelekea maendeleo.
Japo tunawamiss lakini twategemea siku moja mtarejea mjengoni.
Tuwekee humu maongezi baina ya mahasimu wawili hao.Big up kwako mzee wa maono Gdbless Lema ni mapema mno
Akiwa anatumikia ubunge wa arusha mjini kipindi kile tunaongelea miaka miwili au mitatu iliyopita amewahi kumuonya sabaya kwa njiaya simu iliyovuja mitandaoni kuhusu mwenendo wa dc huyo kipindi cha utawala wake lakini sabaya anasikika akimbeza na kumdharau Lema wazi wazi!
Laiti angemsikilia pengine yote haya yasingetokea na hili iwe ni funzo kwa viongozi wengine pindi wawapo madarakani waache tabia za unyanyasaji na uonevu...wakumbuke nchi hii inatawaliwa kwa sheria.
Yale maneno yatajirudia kchwan cku zake zoteTuwekee humu maongezi baina ya mahasimu wawili hao
Hivi naye Sabaya atavaa jezi za orange au atakuwa considered kivingineBig up kwako mzee wa maono Gdbless Lema ni mapema mno
Akiwa anatumikia ubunge wa arusha mjini kipindi kile tunaongelea miaka miwili au mitatu iliyopita amewahi kumuonya sabaya kwa njiaya simu iliyovuja mitandaoni kuhusu mwenendo wa dc huyo kipindi cha utawala wake lakini sabaya anasikika akimbeza na kumdharau Lema wazi wazi!
Laiti angemsikilia pengine yote haya yasingetokea na hili iwe ni funzo kwa viongozi wengine pindi wawapo madarakani waache tabia za unyanyasaji na uonevu...wakumbuke nchi hii inatawaliwa kwa sheria.
Hata angefungwa raisi lazima avae jezi la njano. Jana kapewa namba na magwanda. Zile suti mpaka atokeHivi naye Sabaya atavaa jezi za orange au atakuwa considered kivingine