Unabii wa Godbless Lema kwa Ole Sabaya umetimia?
Ukiandika kizungu cha ugoko eti ndio unajionaa, ha ha ha upuuzi mtupu. Tunasubiri shimo la jamaa yako, na siku sio nyingi zijazo.
Unalinganisha mbuyu na mchicha? Huyu wetu ni nabii tu, wenu aliyesepa alikuwa mungu wenu! Pengo mlilopata haliwezi kulinganishwa na yeyote!
Kuhusu kidhungu, ni Sawa tu, Kiswahili chenyewe najifunza, mimi ni Maasai, Bwashee!
 
Mbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha:

Ukimsikiliza alivyokua akitahadharisha mfumo ule wa ununuzi wa korosho.

Ukimsikiliza alivyokua akikosoa mada mbalimbali za miswada ya uundaji wa sheria.

Pia pale alipokua anaongea na DC Sabaya kwa njia ya simu akimuonya mara tatu tatu kwamba ipo siku utakuja kulipia haya. Acha yale mambo ndiyo leo hii yana-trend.

Yale yale yalioongelewa miaka miwili nyuma na Lema(haya maono yote ya yapo katika youtube waweza sikiliza)

Kamanda alikua na maono.

Hakika Yeye na hata wenzake akina Heche, Msigwa, Sugu, Lissu walibeba maono na walileta challenge nzuri ambayo ingetuimarisha kama taifa kuelekea maendeleo.

Japo tunawamiss lakini twategemea siku moja mtarejea mjengoni.
Maono gani wakati usiku mchana fisadi wenye uwezo wamekua wanapanga kumwangamiza sabaya kwa namna alivyowajibika kwa maslahi ya umma. Wasichojua wanamapinduzi kama sabaya wamejitoa kwa maslahi ya umma. Hata lema alivyokua anamtabiria jpm kifo sio maono. Fisadi wasiompenda walijua tatizo lake la moyo wakawa wanapeana matumaini ya mwisho wake. Bahati na kwa uwezo wa mungu jpm akaishi kuliko matarajio yao.
 
Alitabiri kwamba Magufuli watamsau mapema sana na kweli wameanza kujitokedha adharani kupinga falsafa zake.

Ogopa sana njaa iliyokimbilia kichwani
 
Philosophy ya Lema anajua kuitumia kwenye njia nyingi hasa kwenye hoja
 
Mbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha:

Ukimsikiliza alivyokua akitahadharisha mfumo ule wa ununuzi wa korosho.

Ukimsikiliza alivyokua akikosoa mada mbalimbali za miswada ya uundaji wa sheria.

Pia pale alipokua anaongea na DC Sabaya kwa njia ya simu akimuonya mara tatu tatu kwamba ipo siku utakuja kulipia haya. Acha yale mambo ndiyo leo hii yana-trend.

Yale yale yalioongelewa miaka miwili nyuma na Lema(haya maono yote ya yapo katika youtube waweza sikiliza)

Kamanda alikua na maono.

Hakika Yeye na hata wenzake akina Heche, Msigwa, Sugu, Lissu walibeba maono na walileta challenge nzuri ambayo ingetuimarisha kama taifa kuelekea maendeleo.

Japo tunawamiss lakini twategemea siku moja mtarejea mjengoni.
Mungu mbariki Nabii wako Lema
 
Maono gani wakati usiku mchana fisadi wenye uwezo wamekua wanapanga kumwangamiza sabaya kwa namna alivyowajibika kwa maslahi ya umma. Wasichojua wanamapinduzi kama sabaya wamejitoa kwa maslahi ya umma. Hata lema alivyokua anamtabiria jpm kifo sio maono. Fisadi wasiompenda walijua tatizo lake la moyo wakawa wanapeana matumaini ya mwisho wake. Bahati na kwa uwezo wa mungu jpm akaishi kuliko matarajio yao.
🤣🤣🤣Mungu ni mkali wa kuadhibu. Aliua wengi sasa yako wapi?
 
Vifo vingine ni vya kawaida tu, lakini ninyi wafiwa mmeachwa vibaya, hata mjitieje moyo, mume wenu kasepa zake na harudi!
Huyo jamaa alikuwa anaandika .. "kila goti litapigwa kwa Magufuli"!Tukawaambia hiyo ni kufuru kwa Mungu na wala hawakutuelewa.Yamewakuta wao na shangazi zao.😂😂😂😂
 
Maono gani wakati usiku mchana fisadi wenye uwezo wamekua wanapanga kumwangamiza sabaya kwa namna alivyowajibika kwa maslahi ya umma. Wasichojua wanamapinduzi kama sabaya wamejitoa kwa maslahi ya umma. Hata lema alivyokua anamtabiria jpm kifo sio maono. Fisadi wasiompenda walijua tatizo lake la moyo wakawa wanapeana matumaini ya mwisho wake. Bahati na kwa uwezo wa mungu jpm akaishi kuliko matarajio yao.
Kumhusisha Sabaya na uanamapinduzi, kunaoneshi jinsi ambavyo chama chenu kimeenda mbali na Mapinduzi! Kwa taarifa yako, Sabaya ameshitakiwa na jamuhuri ya Muungano ya Tanzania, kwa makosa ya rushwa, utakatishaji pesa haramu, ujambazi, kutengeneza genge la uhalifu na kuna tuhuma za ubakaji!
Sabaya ni mmoja kati ya samaki walio katika kapu la Mapinduzi, ambao wameoza!
 
Back
Top Bottom