Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Bado shimo la Lema. Ha ha ha upo hapo kamanda?Mkanye juu ya shimo alilofukiwa meko, mtasuburi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado shimo la Lema. Ha ha ha upo hapo kamanda?Mkanye juu ya shimo alilofukiwa meko, mtasuburi sana.
Vifo vingine ni vya kawaida tu, lakini ninyi wafiwa mmeachwa vibaya, hata mjitieje moyo, mume wenu kasepa zake na harudi!Bado shimo la Lema. Ha ha ha upo hapo kamanda?
Mbona unaweweseka?Vifo vingine ni vya kawaida tu, lakini ninyi wafiwa mmeachwa vibaya, hata mjitieje moyo, mume wenu kasepa zake na harudi!
He is gone never to return!Mbona unaweweseka?
Ukiandika kizungu cha ugoko eti ndio unajionaa, ha ha ha upuuzi mtupu. Tunasubiri shimo la jamaa yako, na siku sio nyingi zijazo.He is gone never to return!
Unalinganisha mbuyu na mchicha? Huyu wetu ni nabii tu, wenu aliyesepa alikuwa mungu wenu! Pengo mlilopata haliwezi kulinganishwa na yeyote!Ukiandika kizungu cha ugoko eti ndio unajionaa, ha ha ha upuuzi mtupu. Tunasubiri shimo la jamaa yako, na siku sio nyingi zijazo.
Maono gani wakati usiku mchana fisadi wenye uwezo wamekua wanapanga kumwangamiza sabaya kwa namna alivyowajibika kwa maslahi ya umma. Wasichojua wanamapinduzi kama sabaya wamejitoa kwa maslahi ya umma. Hata lema alivyokua anamtabiria jpm kifo sio maono. Fisadi wasiompenda walijua tatizo lake la moyo wakawa wanapeana matumaini ya mwisho wake. Bahati na kwa uwezo wa mungu jpm akaishi kuliko matarajio yao.Mbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha:
Ukimsikiliza alivyokua akitahadharisha mfumo ule wa ununuzi wa korosho.
Ukimsikiliza alivyokua akikosoa mada mbalimbali za miswada ya uundaji wa sheria.
Pia pale alipokua anaongea na DC Sabaya kwa njia ya simu akimuonya mara tatu tatu kwamba ipo siku utakuja kulipia haya. Acha yale mambo ndiyo leo hii yana-trend.
Yale yale yalioongelewa miaka miwili nyuma na Lema(haya maono yote ya yapo katika youtube waweza sikiliza)
Kamanda alikua na maono.
Hakika Yeye na hata wenzake akina Heche, Msigwa, Sugu, Lissu walibeba maono na walileta challenge nzuri ambayo ingetuimarisha kama taifa kuelekea maendeleo.
Japo tunawamiss lakini twategemea siku moja mtarejea mjengoni.
La Lema bado ni kweli, in fact me n u pia tumo.Bado shimo la Lema. Ha ha ha upo hapo kamanda?
Hakuna cha nini wala nini, acha kuweweseka wewe.La Lema bado ni kweli, in fact me n u pia tumo.
Ila la dikteta mapema sana amekufa na mavi yake jamani
Mungu mbariki Nabii wako LemaMbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha:
Ukimsikiliza alivyokua akitahadharisha mfumo ule wa ununuzi wa korosho.
Ukimsikiliza alivyokua akikosoa mada mbalimbali za miswada ya uundaji wa sheria.
Pia pale alipokua anaongea na DC Sabaya kwa njia ya simu akimuonya mara tatu tatu kwamba ipo siku utakuja kulipia haya. Acha yale mambo ndiyo leo hii yana-trend.
Yale yale yalioongelewa miaka miwili nyuma na Lema(haya maono yote ya yapo katika youtube waweza sikiliza)
Kamanda alikua na maono.
Hakika Yeye na hata wenzake akina Heche, Msigwa, Sugu, Lissu walibeba maono na walileta challenge nzuri ambayo ingetuimarisha kama taifa kuelekea maendeleo.
Japo tunawamiss lakini twategemea siku moja mtarejea mjengoni.
🤣🤣🤣Mungu ni mkali wa kuadhibu. Aliua wengi sasa yako wapi?Maono gani wakati usiku mchana fisadi wenye uwezo wamekua wanapanga kumwangamiza sabaya kwa namna alivyowajibika kwa maslahi ya umma. Wasichojua wanamapinduzi kama sabaya wamejitoa kwa maslahi ya umma. Hata lema alivyokua anamtabiria jpm kifo sio maono. Fisadi wasiompenda walijua tatizo lake la moyo wakawa wanapeana matumaini ya mwisho wake. Bahati na kwa uwezo wa mungu jpm akaishi kuliko matarajio yao.
AmiiniMungu mbariki Nabii wako Lema
Huyo jamaa alikuwa anaandika .. "kila goti litapigwa kwa Magufuli"!Tukawaambia hiyo ni kufuru kwa Mungu na wala hawakutuelewa.Yamewakuta wao na shangazi zao.😂😂😂😂Vifo vingine ni vya kawaida tu, lakini ninyi wafiwa mmeachwa vibaya, hata mjitieje moyo, mume wenu kasepa zake na harudi!
Umemsikia mwenzio mh Mwigulu NchembaKwani ulikuwa hutaki?
Kumhusisha Sabaya na uanamapinduzi, kunaoneshi jinsi ambavyo chama chenu kimeenda mbali na Mapinduzi! Kwa taarifa yako, Sabaya ameshitakiwa na jamuhuri ya Muungano ya Tanzania, kwa makosa ya rushwa, utakatishaji pesa haramu, ujambazi, kutengeneza genge la uhalifu na kuna tuhuma za ubakaji!Maono gani wakati usiku mchana fisadi wenye uwezo wamekua wanapanga kumwangamiza sabaya kwa namna alivyowajibika kwa maslahi ya umma. Wasichojua wanamapinduzi kama sabaya wamejitoa kwa maslahi ya umma. Hata lema alivyokua anamtabiria jpm kifo sio maono. Fisadi wasiompenda walijua tatizo lake la moyo wakawa wanapeana matumaini ya mwisho wake. Bahati na kwa uwezo wa mungu jpm akaishi kuliko matarajio yao.
Nabii atakufa tu hivi karibuni.Umemsikia mwenzio mh Mwigulu Nchemba
Hata JIWE amekufa sembuse NabiiNabii atakufa tu hivi karibuni.
Atakufa na atageuka kuwa mzoga huyo nabii wako.Hata JIWE amekufa sembuse Nabii